Uwanja wa Taifa | Dar Derby, Vodacom Premier League (VPL) Yanga SC yaibamiza Simba SC kwa goli 1 - 0 ; Morrison akata mzizi wa fitina

Wachezaji wengi wa Yanga walikuwa katika kiwango bora sana, mtu anashindwa hata ampe nani man of the match maana karibia wote wamejitahidi kutimiza majukumu yao kwa zadi ya asilimia 50.

Vipi kuhusu Metacha Mnata michomo ya wazi aliyoipangua? Vipi msumbufu Benard Morison aliyeisumbua ngome ya Simba na ndiye aliyetenganisha matokeo ya Derby?
Vipi Juma Makapu, jana alikuwa kama vile kijana wa miaka 21 au 22 alicheza kwa akili kubwa nakuwaziba midomo watu waliombeza kuwa bora angeanza Yondani kuliko yeye?
Tshishimbi, na Haruna niyonzima, Mapinduzi balama je vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
woyo woyoyyo woyyoooo, wakuwapi hao mbulukenge mikia hao, eheeee wameingia mittin? sasa tunawafuata huko huko mittini, salama yao washuke tuu kutoka huko mittin, tuwachape kidude kingine alafu warudi tena huko mittin!
 
Wapewe tu 200M yao kila mchezaji ali perform kwa kiwango cha juu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
tutawatania mwaka mzima kwa taarifa yako sherehe mwezi mzima hadi mlazwe hospital!
Tehtehteh shangazi hiyo Sasa ni roho mbaya...aaah....ok....Kwanza walizidi midomo....na iwe hivyo usemalo....tehteh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…