Vyura kwenye huu uzi hawaji labda wabahatishe japo sare ndo utawaona hapa.Asante sana mkuu wazunguwawili nimepata supu mapema sana ikitoka Kiembesamaki kuja hapa Dar..Sasa kazi kushuhudia huu mtanange wa vuta nikuvute, kanyaga nikuruke, piga nizuie...!
Itajulikana dakika 90 kuamua
Eeeh waonee huruma kidogo ndugu, sasa kama wakifika dk ya 60 tu pumzi huwa inakata sasa hizo 180 ni habari mbaya hiyo.Hiv Ifantinto hawezi kuturuhusu tukapiga dk 180 yaan 90 half na pumzi ya msimbazi ilivyo hatari ha ha
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku nyingi dada hatujaonana my super womanMashabiki ya Yanga tujuane mapema vile tunachukua ushindi mapema
Yanga Daima mbele..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umedanganywa na Mshana,Giza haliwezi ishinda Nuru!
Mkuuu nishafika niko Mitaa ya Klabuni happa kupata Tisheti yenye Mmteule Mgongoni. Vijana wako vizuri hapa Langoni tukutane jukwaaani leo!Mkuu mmteule upo? Game muhimu sana kwako, haya karibu kwenye kipute kushuhudia burudani ya aina yake..!
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Viongozi wa Yanga wakiongozwa na Mwenyekiti Msolla, wakizungumza na wachezaji pamoja na benchi la ufundi jana kuelekea mechi ya watani wa jani, Yanga Vs Simba
Picha chini, Viongozi wa Simba wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi Dewji, wakizungumza na wachezaji na benchi la ufundi jana kuelekea mechi ya watani wa jadi, Yanga Vs SimbaView attachment 1380593View attachment 1380594
Kongole👏Mi yanga damu lakini for sure ni ngumu kusema leo tunashinda hata kama ni uzalendo lakini ukweli lazima usemwe.
Haters watasema mi sio shabiki wa yanga
It's Scars