Dong Jin
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 968
- 2,034
hawana huo ubavu, jana wote tumeona walivyochezeshwa kindumbwendumbwe chalia...Ngoja waje watoe mapovu kama yote wana hasira hao balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawana huo ubavu, jana wote tumeona walivyochezeshwa kindumbwendumbwe chalia...Ngoja waje watoe mapovu kama yote wana hasira hao balaa
Ila Mtani bwana hivyo mngeshinda nyie ndio usingekuwa uchawi. 😂😂Salamu nimezipokea Mtani, hongereni sana.
Leo ndo nimeamini, uchawi upo.
Ila Mtani bwana hivyo mngeshinda nyie ndio usingekuwa uchawi. 😂😂
Kubalini tu kiwango chenu mwisho kwa Azam ila si kwa Yanga.
Ahsante. 🙏🙏
Tulishasema ubingwa chukueni ila kipigo kipo pale pale.Shadeeya nilikuomba unifanyie hesabu yangu ndogo tu mbona unanibania?
68-50=? Baada ya hapo tutaongea eeh mamii😀
Hahahaaaa. Niwe mkweli ubingwa unanoga kwa kumfunga Mtani wako. Sasa kwenu safari hii unakuwa mchungu zaidi ya shubiri.Mtani kwa matokeo ya jana mna haki miliki ya kuongea chochote, hata huu ubingwa tunaouchukua tutawakabidhi tu.
Hii ni fedheha kabisa.
Hahahaaaa. Niwe mkweli ubingwa unanoga kwa kumfunga Mtani wako. Sasa kwenu safari hii unakuwa mchungu zaidi ya shubiri.
Yes ni fedhea hasa Mtani. Ila yatapita. 😂😂😂
Hivi Mtani we umeshindwaje kuzitumia sa ili tuwe sawa. 🤔🤔🤔Ila sema kwa sababu mmetumia ndumba, sisi tunahesabu kwamba tumefungwa na uchawi siyo timu
Hizi huwa naziita kauli za kushindwa Mtani. 😅Ila sema kwa sababu mmetumia ndumba, sisi tunahesabu kwamba tumefungwa na uchawi siyo timu
Dah! Wachezaji wetu wangejua tunavyosakamwa huku mtaani!NA HUU UZI TUTAUFUKUA WIKI NZIMA. 💃💃💃💃💃💃
Ilikua siku yenu Shadeeya, mnahaki ya kushangilia sana, ndio maana tuliwaachia mtufunge tusiwaharibie siku yenu wanawake🤣🤣🤣Hivi jana ndio ilikuwa siku ya wanawake eeee? 🙈🙈🙈
Wanawake Oyeeeeeeee. 🤣🤣
Hahahaaaa.Dah! Wachezaji wetu wangejua tunavyosakamwa huku mtaani!
Mkude kacheza faulo muhimuSijuii kawalooogaaa kaangàlieni chanzo cha golii
Naona unajitoa ufahamu Ses. 🤣🤣🤣Ilikua siku yenu Shadeeya, mnahaki ya kushangilia sana, ndio maana tuliwaachia mtufunge tusiwaharibie siku yenu wanawake🤣🤣🤣