Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie hao 💃💃tulishasema kama ni Kombe wachukue tu kwani waamuzi walishajitahidi kuwasogeza juu.Mechi ya jana ndio imefunga rasmi pazia la ligi, Wanayanga hatufuatilii tena ligi mpaka msimu ujao. ligi yetu imeisha, tunawaachia simba mpambane na akina namungo ndio size yenu!
Hizi ni kauli za kujifariji kama kauli nyingine hivyo tunasoma kisha tunasema Hihihihihihihihihihihihiiiiiiiiii
Wataishia kucheza hizi game za ndani tu hawa. Uchawi hauvuki mipaka ya nchi.
Naona mnaitafuta imani za nafsi. 😂😂 Haya Uwanja ni wenu.Kabisa mkuu
Maneno ya mkosaji, nendeni mkanywe vijuice vyenu vya MOKombe pekee ambalo Vyura wanaweza kushinda ndani ya miaka 8 ijayo ni kuifunga Simba SC.
Ila hawa Vyura wanadhiki sana mechi ya January 4 waliahidiwa magodoro wakakamia mechi wakapata sare.
Jana wameahidiwa MIL 6 kila mchezaji wamekamia mechi wameshinda. Nina imani siku wakiambiwa mukiifunga SIMBA SC mutalipwa mishahara yenu kila mechi hawa Vyura watatufunga zaidi ya goli 10.
Lau kama mungelikamia mechi za Mbeya City na Coastal Union kama mnavyoikamia Simba SC mungelikuwa munaongoza ligi.
Hongereni wanawake kwa Kupata furaha kwenye siku yenu.
Hili nalo neno lakini. 😅😅😅Baada ya Benad Morrison kupanda mpira, sasa amewapanda Simba.
Na Mo Ukwaju. 🤣🤣Maneno ya mkosaji, nendeni mkanywe vijuice vtenu vya MO
Haipunguz maumivu hii wala haibadili ukweli kuwa Simba wamefungwa kimokoooBinafsi ninajivunia kuwa shabiki wa SIMBA SC.
Timu ambayo ikifungwa Mashabiki wake wanakubali walizidiwa mbinu za mchezo ila jana ingelishinda Simba SC mashabiki wa Vyura fc ungeliwasikia Simba wamebebwa.
Hongereni wanawake kwa Kupata furaha kwenye siku yenu.
SIMBA SC Mabingwa watarajiwa kwa miaka 8 mfululizo ijayo. DIE HAD FAN.
Kazoea kushabikia ubovuOKW BOBAN SUNZU ndiye simba damu, aje atueleze hapa. October hiyooo
Kombe chukueni ali mradi sisi tumeowaBinafsi ninajivunia kuwa shabiki wa SIMBA SC.
Timu ambayo ikifungwa Mashabiki wake wanakubali walizidiwa mbinu za mchezo ila jana ingelishinda Simba SC mashabiki wa Vyura fc ungeliwasikia Simba wamebebwa.
Hongereni wanawake kwa Kupata furaha kwenye siku yenu.
SIMBA SC Mabingwa watarajiwa kwa miaka 8 mfululizo ijayo. DIE HAD FAN.
Walisahau kumjumuisha refa kwenye Mipango yaoLeo hakuna cha Chama, Luis wala Mkude, wote wametepeta Leo.
Asanteni japo nanyi huwa mnavinywaNa Mo Ukwaju. í ¾í´£í ¾í´£
Mbaya zaidi Mo naye hatiani kujitoa mtabaki kama vifaranga waliolowa maji ya mtaro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi sijawahi aiseee. Situmiagi kitu cha Mo. 😎😎Asanteni japo nanyi huwa mnavinywa