joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Sawa amini hivyo na mimi niamini hivi...Nakariri mimi au wewe? Suluhu ni pale scoreline ikisoma 0-0 unless na wewe ni mmoja wa wale washamba uliyekuja mjini na ng'ombe.
Sawa amini hivyo na mimi niamini hivi...
Case solved!
Huu ni uzembe makubwa. Unagharimu timu zetu.Hapa Kazi Tu.
SawaThere was not even case. Just some idiocacy on your part.
Basi tufanye Dar yote unaishi pekee. Sidhan hata ikiwa ushawahi kuongia uwanjani hapo sembuse kuangalia mpira wa leo kwenye TV. Ungefanya mojawapo ya hayo usingeongea ujinga wako huuTatizo mko Chato huko mnaamini watangazaji wa radio waliosomea kwenye vyuo kama Tandabui...
Sasa hivi ni mvua gani ya kustopisha game?
Huo upepo uko wapi?
Uwanja ule umezibwa pembeni huo upepo uwanjani unaingilia wapi..
Watu wa Chato bana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba ukajengwe chato!!!!!!hii mvua usishangae uwanja wa taifa tukaamka kesho ukawa upo chato tanzania kila kitu kinawezekana
Usiogope mkuu watajitahidSi ndio tutapigwa nyingi sana...!
Pana Boya mmoja [HASHTAG]#Anabweka[/HASHTAG] Sana Hapa Anadai hakuna mvua Kubwa wala Nini Wakati Kajifungia Chumbani anapika Vitumbua.
Mara ya mwisho mimi kuingia uwanja wa taifa we ulikua bado hujaja mjini!Basi tufanye Dar yote unaishi pekee. Sidhan hata ikiwa ushawahi kuongia uwanjani hapo sembuse kuangalia mpira wa leo kwenye TV. Ungefanya mojawapo ya hayo usingeongea ujinga wako huu
kweli kabsa. hapo wameliweka rohon subir wafike Misr sasaKwa kilichotokea Leo..waarabu wanaweza kusema tumewafanyia hujumaa...kumbe miundo mbinu mibovuu
Vipi mkuu haujaisha bado?Mpira unaendelea Dakika ya 89 Bado 2 -2 Uwanja umejaa maji