Mmeshinda ngapi? Hivi unajua warabu wanavyocheza wakiwa nyumbani na ugenini ni tofauti ambapo ugenini huhitaji sare au kufungwa magoli machache.Tuache ubishi kuna gap kubwa kati ya Simba na Yanga. Simba anacheza mpira mpaka raha.
Upuuzi mkubwa huu, hii mechi Simba tulikua tunashinda 3 au 4 maana muda umeme unakatika tulikuwa tunacheza kwa intensity kubwa na tulikua tunashambulia kwa kasi sana. Ila kwa poor management ya uwanja ya hawa viongozi uchwara angalia team imekosa matokea.
Haji Manara andika barua FIFA [emoji41]
Waambie hao wanaopigwa na makirikiri kwao ....bumbavTuache ubishi kuna gap kubwa kati ya Simba na Yanga. Simba anacheza mpira mpaka raha.
Yote hii ilikuwa ni kutaka sifa tu kucheza jioni wakati umeme wenyewe wa manati! Tff iweke kanuni ktk sheria zake kuwa mechi zote za kimataifa zichezwe kuanzia saa kumi kamili mchana sharp. Hii ni aibu kwa nchi.Hii ni aibu kubwa TFF, ni mara ya pili umeme umekatika. Mara ya kwanza ni hile fainali ya Cecafa na leo tena umekatika.
TFF watazamwe vizuri, ni aibu uwanja kama ule kukosa standby genereta.
Simba hii hii inayotoka droo na Mwadui? Au umezidiwa na mahaba?Tuache ubishi kuna gap kubwa kati ya Simba na Yanga. Simba anacheza mpira mpaka raha.
Huu ni upuuzi wa hali ya juu. Natumaini kama mtu hatajiuzulu mwenyewe mapema kesho basi atumbuliwe tu hamna namna. Kwanza wanaitia aibu nchi achilia mbali kuikosesha Simba goli zaidi ya mbiliYaaan una mawazo kama yangu as if ndo ulikuwa kwenye ubongo wangu....
Tungewafumua 4 hawa pumbavu zao
Kuna sare tasa ambayo in suluhu au bila bila. Hakuna msamiati was suluhu tasa.Kama suluhu ni score line inaposoma 0 - 0, na suluhu tasa maana yake nn??
Mavugo tuliambiwa jina lake halikupelekwa CAF na angecheza tu endapo Simba ingefika Hatua ya Makundi. Hii imekaaje had Leo kacheza???
Nafikiri una allergy na maji ya mvua!Hivi umeme wa Tanzania haupatani kabisa na mvua? Yaani! Au tuanze na 'viwanda' vya kufua umeme kwanza? Aibu sana hii.
Sasa vituo vya television vya nje vinavyoonyesha hii mechi vinasemaje?
Hivi Kikanuni kukoje kama mpira haukwisha ktk muda unaostahili, Vipi kesho watamalizia dakika zao au ndio hayahaya matokeo?Simba hii hii inayotoka droo na Mwadui? Au umezidiwa na mahaba?
Atakayeubisha ukweli huu akapimwe akili, na hali itakuwa mbaya zaidi kwa Simba, waarabu wanarudi kwao huku wakiamini wamefanyiwa hujuma na Simba, na hawa waarabu ni mabingwa wa fitina, nisiandike mengi.Technically Simba and Yanga they are out of the competitions!
Kama suluhu ni score line inaposoma 0 - 0, na suluhu tasa maana yake nn??
Nasubiri jibu na mimiHivi Kikanuni kukoje kama mpira haukwisha ktk muda unaostahili, Vipi kesho watamalizia dakika zao au ndio hayahaya matokeo?