Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Sawa kumbe tuko pamoja. Nafurahi kusikia hivyo.Nashabikia yanga.
Yule yanga damuKuna mdada anaitwa Nifa ...ni Simba Damu hivi yupo.
Mzee utakuja kufa hujaanza kuandika hata mirathiNaelekea uwanjani. Naenda kuishabikia Azam. Nataka Azam ishinde ili mrudi kwenye namba tatu yenu.
Simba wanabebwa sana na refa, nadhani wameishapenyeza rupia
Ft
1-1
Azam gl penalty
Simba anapigwa bila huruma.Mwisho wa ligi
1.YANGA
2.SIMBA
3.AZAM
Leo ndio leo. Haya sasa Watani zangu leo mdhihirishe ule ubora wenu sababu tambo zilikuwa nyingi sana.
Watani zangu Da Shunie, Ghazwat, Barafu ya moto msikimbie pale saa kumi itakapofika.
Mie leo niko Azam aiseee.
Naelekea uwanjani. Naenda kuishabikia Azam. Nataka Azam ishinde ili mrudi kwenye namba tatu yenu.
wacha wafu wazikane wenyewe leo, "jamaa" atapita katikati yao very soon. Wait n see.
Hawa mikia fc leo hawachomoki
Kiroho safi nawaombea japo mpate point moja
Hahaaa. Nilikuwa mbali kidogo. Ila Mtani mpira ni dk 90 ujue.
Wana Jangwani muda huu.....!!
Wana Simba
Azam
Hehheheh looo laiti ungejua......Mkuu lakini angalau uliweza Kutoka uwanjani baada ya Mchezo Kuisha?
Isijekuwa ulitolewa Kwa Ambulance!!