Uwanja wa Taifa: Simba SC 4-0 Gendarmarie Nationale FC, Kombe la Shirikisho Barani Afrika

70' Jezi namba 5 wa Gendarmarie FC anapewa kadi ya njano kwa kuchezea vibaya Kichuyaa
 
72' Kichuyaa anakwenda kwenye benchi na nafasi yake anachukua Mzamir Yassin
 
Kapombeee laaaa. Boccooooo Offside
 
D
Dk ya 24 kipindi cha pili Simba 3, Gendarmarie 0
 
75' Said Ndemla anakwenda benchi na nafasi yake anachukua Mwinyi Kazimoto
 
Kapombeee anapiga shuti laaaa nje.
 
81' Anaingia Kadri Aden upande wa Gendarmarie FC
 
Okwiiiii la Konaaaaa inapigwaaaa la la unakolewa
 
Nafasi kwa Gendarmarie sasa anakwendaaaa Offside
 
Huyu Mtangazaji kila saa anaposema anakwenda "Kwasi...Kapombe..Kapombe...Okwi Okwiiiiiiii".....najikuta namwambia malizia basi fala wewe.
 
sijatumwa, hii siyo timu ya kujivuna kuwa tumeifunga. mimi ni mpenzi wa Simba kwa miaka kama 40 iliyopita.. lkn ukweli ni huo. Hivi ni vitimu vidogo kutoka nchi hoeehae!
Wewe acha kutulisha Matango hapa wewe sio Mpenzi was Simba,wapenzi was Simba Tunawajua....mbona Jana Yanga kashinda Ka goli kamoja kwa Timu Dhaifu hukuongea....tena wao Yanga wanasema Ushindi ushindi Tuuu!
Point 3.
 
Wewe acha kutulisha Matango hapa wewe sio Mpenzi was Simba,wapenzi was Simba Tunawajua....mbona Jana Yanga kashinda Ka goli kamoja kwa Timu Dhaifu hukuongea....tena wao Yanga wanasema Ushindi ushindi Tuuu!
Point 3.
If you face reality, and make reformation, you improve! Hiki ni kitimu kidogo, huko mbele kuna timu kubwa (nadhani???), inabidi kiwango cha mchezo kiwe juu sana kwa vitimu kama hivi! Mpaka kinaleta penalty! huoni kuwa pamoja na kukifunga lkn standard ya uchezaji siyo that much high kwa kitimu kama hiki!
 
90' za mtanange huu Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na Refa anaonyesha 3' za nyongeza
 
Goooooooooaal goooooooooaal

90 +3 ' Okwiiiii Okwiiiii anaandika bao la nne kwa shuti kali la adhabu

Simba SC 4-0 Gendarmarie Nationale FC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…