Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaa. Kweli aisee Mtani.Huyo bwana upara ndio engine ya Yanga siku akikosekana ni either mgawane point au mwache point 3 mezani......
Kocha wenu alifanya jambo la maana sana kwenda kumfuta zambia katika kilimo cha mahindi [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]