HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
La roho mbayaBaraza gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
La roho mbayaBaraza gani?
Video clips zinaonesha watu wenye majonziWengine wanaenda kutazama huo umati
Wengine ni event tu..hawana cha huzuni wala nini...
Busara azikwe mapema yaishe..
Hata tukiombeleza mwezi mzima nothing will change ..
kwa Maoni yangu siku mbili Zaid ziongezwe, hata mkoa wa Mwanza waweke siku mbili, mazishi yawe siku ya JUMAPILI.Ili kuwatendea haki wakazi wa Dar es salaam tunaomba kamati ya mazishi ya hayati Magufuli muongeze walau siku moja ili zoezi hili liitimishwe kesho.
Uwanja umefurika na nje misururu ni mirefu sana.
Maendeleo hayana vyama!
Pale Ufipa vyoo vyenu vina milango?Aisee Mataga nendeni mkampumzishe huyo Mzee,
hapo mnamnyanyasa tu, waliomuona wamewakalisha ambao hawajaweza kumuona.
Mwanza watacancel mtaenda Geita!Wakiongeza huko na Mwanza waongeze pia
Wewe unasikia karaha!!Hiv mnajisikia raha sana kukaa na marehemu????
Comrade katika kipindi hichi kigumu unachopitia ni bora ujikite kumuombea marehemu mzee pombe na kujiepusha na mijadala ya jazba.Pale Ufipa vyoo vyenu vina milango?
Nilimkumbuka tu Lema wa Ufipa!Comrade katika kipindi hichi kigumu unachopitia ni bora ujikite kumuombea marehemu mzee pombe na kujiepusha na mijadala ya jazba.
Comrade vipi Mzee Mgaya anasemaje kuhusu VP ajaye?Nilimkumbuka tu Lema wa Ufipa!
Ni mipango mibovu tu! Wangeweka utaratibu wa kutoruhusu watu kubaki uwanjani. Ukishatoa heshima yako, endelea mbele na kutoka nje, nako endelea na shughuri zako. Yaani uondoke maeneo hayo!Kwa kweli sio kwa nyomi lile yaani wamewanyima wana daslam haki yao!!wangekaa 3 days Dar,Znz wasingeenda wangebaki hapa hapa Dar j4 wangeenda Dom.
Yaani watu wengi sana na vurugu pia zipo
Wananchi wameonyesha namna walivyompenda na kumuamini rais wao. Wapewe nafasi hata ya siku moja zaidi. Mtu akae kwenye foleni imeanzia keko na jua ili umpuuze tu useme ni event.Wengine wanaenda kutazama huo umati
Wengine ni event tu..hawana cha huzuni wala nini...
Busara azikwe mapema yaishe..
Hata tukiombeleza mwezi mzima nothing will change ..
Haiwezekani, akapigwa dawa kali kabisa, akawekwa makumbusho? Kwa ukumbusho wa vizazi vijavyo?Ili kuwatendea haki Wakazi wa Dar es salaam tunaomba kamati ya mazishi ya hayati Magufuli muongeze walau siku moja ili zoezi hili liitimishwe kesho.
Uwanja umefurika na nje misururu ni mirefu sana.
Maendeleo hayana vyama!
Muhimu sana kuheshimu hisia za mtu, sio wote walimchukia na wengi walimpenda huyu mzeeWananchi wameonyesha namna walivyompenda na kumuamini rais wao. Wapewe nafasi hata ya siku moja zaidi. Mtu akae kwenye foleni imeanzia keko na jua ili umpuuze tu useme ni event.