mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Wanachi wa dar es salaam wanataka kumuaga rais wao. Kwa yanayoendelea hapa uwanjani leo hawamalizi
Mungu baba wa mbinguni endelea kulipigania taifa lako la Tanzania.
Kama ulivyofanya kwa wana wa Israel ukafanye na Tanzania pia.
Uliwachukua Mussa na Haruni lakini ulikua umewaandalia Joshua.
Tunakushukuru sababu umemchukua John Pombe Magufuli na kutuachia Samia Suluhu Hassan.
Tunakuomba kwa rehema zako umpe hekima, muepushe na watu wasio sahihi na ukampe wasaidizi sahihi na wazalendo ili aweze kutufikisha kule tunakotaka kufika🙏
Mungu baba wa mbinguni endelea kulipigania taifa lako la Tanzania.
Kama ulivyofanya kwa wana wa Israel ukafanye na Tanzania pia.
Uliwachukua Mussa na Haruni lakini ulikua umewaandalia Joshua.
Tunakushukuru sababu umemchukua John Pombe Magufuli na kutuachia Samia Suluhu Hassan.
Tunakuomba kwa rehema zako umpe hekima, muepushe na watu wasio sahihi na ukampe wasaidizi sahihi na wazalendo ili aweze kutufikisha kule tunakotaka kufika🙏