Uwanja wa Uhuru umefurika sana!, watu Washindwa kuaga. Watakiwa kujipanga barabarani kuelekea Uwanja wa ndege ili waweze kupunga mkono

Mungu ni mwenye Ukuu sana na kazi yake haina makosa. Kila binadamu akiwemo Magufuli si wakamilifu.
Wangapi walidhihaki, yuko wapi Mungu wake aliyekuwa anamtaja kila siku!
Kwa machozi na umati huu, Mungu wake amemuinua mbele ya macho ya Dunia nzima. Wote tunashangaa, nani kawaambia watu hawa waje kwa wingi huu na walie vile!
 
Ili kuwatendea haki Wakazi wa Dar es salaam tunaomba kamati ya mazishi ya hayati Magufuli muongeze walau siku moja ili zoezi hili liitimishwe kesho.

Uwanja umefurika na nje misururu ni mirefu sana.

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1730918
Huo ndy mfano wa safari ya mwisho ya mtu mwema hapa duniani.

Taswira ya safari njema ya mbinguni inaanza kuonekana hapa hapa duniani hata kabla ya kuzikwa kaburini..

Magufuli ni mfano wa mtu mwema.


Nenda rais wa wanyonge

Nenda mtu mwema

Nenda my true leader of all times

Hakika umeumaliza mwendo kwa heshima kubwa..
 
Wangeonesha watu wasingeenda uwanjani kama hivi[emoji848]
 
Ili kuwatendea haki Wakazi wa Dar es salaam tunaomba kamati ya mazishi ya hayati Magufuli muongeze walau siku moja ili zoezi hili liitimishwe kesho.

Uwanja umefurika na nje misururu ni mirefu sana.

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1730918
Mwanza itakuwa zaidi ya pale, wageni wamejaa kila mahali, ilitakiwa waupe mkoa wa mwz cku mbili.Kuna Wananchi wengine wanaona hawatapata nafasi ya kumuaga hapa Mwanza wametangulia Chato.
 
Kuongeza siku ni jambo moja na kuchukua tahadhari za kiafya ni jambo lingine
 
Ili kuwatendea haki Wakazi wa Dar es salaam tunaomba kamati ya mazishi ya hayati Magufuli muongeze walau siku moja ili zoezi hili liitimishwe kesho.

Uwanja umefurika na nje misururu ni mirefu sana.

Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1730918
Hawajajipanga, hata wangeongeza siku sidhani kama zoezi lingeisha. Watu walikua wqnamikinika bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…