45+3'
Kuelekea kuwa mapumziko uwanja wa Uhuru, Singida Utd wakiwa hoi bin taabani
Chaima golikipa yupo chini tena akipata matibabu baada ya kupata rabsha kwa mara nyingine, amenyanyuka mpira unaendelea
Naaaaaaam mpira ni mapumziko simba wakitoka mbele ya mabao 6 kwa bila.
VPL, HT: Simba SC 6-0 Singida United