kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Yanga wafanya mazingaombwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo point yako ni ipi? Maana Simba na Yanga wameshakutana wenyewe kwa wenyewe mara mbili ndani ya msimu huu na matokeo yanajulikana. Sasa embu sema nini point yako kwamba Singida sio wabovu au unataka kusema kipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app