Uwanja wa Uhuru | Vodacom Premier League (VPL), Simba SC dhidi ya Singida United

Uwanja wa Uhuru | Vodacom Premier League (VPL), Simba SC dhidi ya Singida United

Imagine kuna waliowahi kudraw na kuruhusu goli na waliopo mochwari(wafu) [emoji23][emoji23][emoji23]


View attachment 1384415
Hapo nimeona umeweka fixture ya mwaka 2018 na mwaka 2019 maanake huyu marehemu wa sasa aliyepigiwa bomu mochwali alikuwa ni mzima wa afya na anajiweza kwa kipindi hicho. Au una maanisha kwamba hata kwenye hizo fixture uliyoweka hapo hii Singida ya msimu 2018/2019 alikuwa anashika mkia? Na pia je alishinda mechi mbili tu katika mecho zote alizocheza kama ilivyo kwao katika msimu huu?

Timu inayoshika mkia kwa kushinda gemu mbili tu katika mechi 27 alichocheza ndani ya msimu huu, ni dhaifu kupita maelezo. Kufungwa magoli hata kumi haistui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo nimeona umeweka fixture ya mwaka 2018 na mwaka 2019 maanake huyu marehemu wa sasa aliyepigiwa bomu mochwali alikuwa ni mzima wa afya na anajiweza kwa kipindi hicho. Au una maanisha kwamba hata kwenye hizo fixture uliyoweka hapo hii Singida ya msimu 2018/2019 alikuwa anashika mkia? Na pia je alishinda mechi mbili tu katika mecho zote alizocheza kama ilivyo kwao katika msimu huu?

Timu inayoshika mkia kwa kushinda gemu mbili tu katika mechi 27 alichocheza ndani ya msimu huu, ni dhaifu kupita maelezo. Kufungwa magoli hata kumi haistui

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani marehemu alikufa lini?
 
Patashika ya Ligi Kuu kuwania Taji la Vodacom Premier League (VPL), kuendelea kupigwa leo Jumatano ya March 11, 2020 ambapo Mabingwa wa Nchi, Simba SC, ambao ni vinara wa VPL, wakiwa na alama 68 kwa michezo 27 wanapambana na Singida United ambao wanashika nafasi ya 20 kwa alama 12 wakiwa wamecheza michezo 27 ya VPL.

Simba SC kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliofanyika kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid waliweza kuibuka na ushindi wa bao 1-0, Je Singida United anaweza kuichelewesha Simba kwenye safari ya kuwania ubingwa wa VPL? Tusubiri dakika 90 za mchezo kuamua

Kumbuka mchezo huu wa VPL ni kuanzia saa 10:00 za jioni. Usikose Ukaambiwa


Safi. Hizo ndio size yenu. Hata mfunge 100 no one cares as long as hamuwezi kufunga timu kubwa. Japo mmeshinda nane; hata kesho tukirejea game hamuwezi kutufunga.

Ni vyema mkajifurahisha kwa level hizo.
 
Safi. Hizo ndio size yenu. Hata mfunge 100 no one cares as long as hamuwezi kufunga timu kubwa. Japo mmeshinda nane; hata kesho tukirejea game hamuwezi kutufunga.

Ni vyema mkajifurahisha kwa level hizo.
Umefungwa miaka minne mfulilizo..kipofu kaona mwezi... last time unashinda vs Simba ulikua ni msimu wa 2015 kabla ya hiyo juzi
...hehehe kweli masikini kapata...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo nimeona umeweka fixture ya mwaka 2018 na mwaka 2019 maanake huyu marehemu wa sasa aliyepigiwa bomu mochwali alikuwa ni mzima wa afya na anajiweza kwa kipindi hicho. Au una maanisha kwamba hata kwenye hizo fixture uliyoweka hapo hii Singida ya msimu 2018/2019 alikuwa anashika mkia? Na pia je alishinda mechi mbili tu katika mecho zote alizocheza kama ilivyo kwao katika msimu huu?

Timu inayoshika mkia kwa kushinda gemu mbili tu katika mechi 27 alichocheza ndani ya msimu huu, ni dhaifu kupita maelezo. Kufungwa magoli hata kumi haistui

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlivyo cheza nae kwanini hamkufunga hizo goli ?? mlifunga mbili sijui moja, kwann hamkumfunga hizo 10?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msimu wa 2019/2020

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu,simba mabingwa...hayo yote unayoandika ni blah blah za haters,nakuelewa

Nimeambatanisha na picha
20200311_174046.png
 
Back
Top Bottom