OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mechi 4 tu kati ya games 12 zilizobakiSimba inahitaji ishinde mechi ngapi kati ya zilizo baki ili ichukue kombe? Kwa wanaofahamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi 4 tu kati ya games 12 zilizobakiSimba inahitaji ishinde mechi ngapi kati ya zilizo baki ili ichukue kombe? Kwa wanaofahamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo umesema weweHata tukiwafunga goli 10 Aibu tulioipata tar 8 bado ipo palepale.
Alisema atashuka nayo kama alivyopanda nayo.Akina Mwigulu wametelekeza timu - Singida United mpaka inafungwa goal nane, duh - Mwigulu Nchemba !
Mechi 4 tu
Mechi 4 tu kati ya games 12 zilizobaki
sawa team mchicha mwiba mmebustiwa na morson mkapata mzukaPiga Bao za kutosha Tawi la Yanga hao...
Hapo nimeona umeweka fixture ya mwaka 2018 na mwaka 2019 maanake huyu marehemu wa sasa aliyepigiwa bomu mochwali alikuwa ni mzima wa afya na anajiweza kwa kipindi hicho. Au una maanisha kwamba hata kwenye hizo fixture uliyoweka hapo hii Singida ya msimu 2018/2019 alikuwa anashika mkia? Na pia je alishinda mechi mbili tu katika mecho zote alizocheza kama ilivyo kwao katika msimu huu?Imagine kuna waliowahi kudraw na kuruhusu goli na waliopo mochwari(wafu) [emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1384415
Hapo nimeona umeweka fixture ya mwaka 2018 na mwaka 2019 maanake huyu marehemu wa sasa aliyepigiwa bomu mochwali alikuwa ni mzima wa afya na anajiweza kwa kipindi hicho. Au una maanisha kwamba hata kwenye hizo fixture uliyoweka hapo hii Singida ya msimu 2018/2019 alikuwa anashika mkia? Na pia je alishinda mechi mbili tu katika mecho zote alizocheza kama ilivyo kwao katika msimu huu?
Timu inayoshika mkia kwa kushinda gemu mbili tu katika mechi 27 alichocheza ndani ya msimu huu, ni dhaifu kupita maelezo. Kufungwa magoli hata kumi haistui
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo nalo ulikuwa na mashaka nalo?
Kweli Mkuu ? Kuna jamaa alinitisha aliniambia mechi 7 ingawa sikumuamini
Sent using Jamii Forums mobile app
Patashika ya Ligi Kuu kuwania Taji la Vodacom Premier League (VPL), kuendelea kupigwa leo Jumatano ya March 11, 2020 ambapo Mabingwa wa Nchi, Simba SC, ambao ni vinara wa VPL, wakiwa na alama 68 kwa michezo 27 wanapambana na Singida United ambao wanashika nafasi ya 20 kwa alama 12 wakiwa wamecheza michezo 27 ya VPL.
Simba SC kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliofanyika kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid waliweza kuibuka na ushindi wa bao 1-0, Je Singida United anaweza kuichelewesha Simba kwenye safari ya kuwania ubingwa wa VPL? Tusubiri dakika 90 za mchezo kuamua
Kumbuka mchezo huu wa VPL ni kuanzia saa 10:00 za jioni. Usikose Ukaambiwa
Umefungwa miaka minne mfulilizo..kipofu kaona mwezi... last time unashinda vs Simba ulikua ni msimu wa 2015 kabla ya hiyo juziSafi. Hizo ndio size yenu. Hata mfunge 100 no one cares as long as hamuwezi kufunga timu kubwa. Japo mmeshinda nane; hata kesho tukirejea game hamuwezi kutufunga.
Ni vyema mkajifurahisha kwa level hizo.
Mlivyo cheza nae kwanini hamkufunga hizo goli ?? mlifunga mbili sijui moja, kwann hamkumfunga hizo 10?Hapo nimeona umeweka fixture ya mwaka 2018 na mwaka 2019 maanake huyu marehemu wa sasa aliyepigiwa bomu mochwali alikuwa ni mzima wa afya na anajiweza kwa kipindi hicho. Au una maanisha kwamba hata kwenye hizo fixture uliyoweka hapo hii Singida ya msimu 2018/2019 alikuwa anashika mkia? Na pia je alishinda mechi mbili tu katika mecho zote alizocheza kama ilivyo kwao katika msimu huu?
Timu inayoshika mkia kwa kushinda gemu mbili tu katika mechi 27 alichocheza ndani ya msimu huu, ni dhaifu kupita maelezo. Kufungwa magoli hata kumi haistui
Sent using Jamii Forums mobile app
Cabron wewe tumechukua point 3 jumapiliNyie kenge mna point ngapi ambao mmetuzidi uwezo?
Sent from my Infinix X606B using Tapatalk