OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tunapigania kufikisha point 100 plus
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 4 mfululizo unachezea tu bao za kutosha ,endelea na sherehe shabiki maandazi.sawa team mchicha mwiba mmebustiwa na morson mkapata mzuka
Sijakataa wala kubisha ubingwa wa simba, itakuwa unakili kuwa unanielewa halafu kumbe hunielewi point yangu ni ipi. Singida ndani ya msimu huu imekuwa timu dhaifu zaidi kuliko timu zote, embu fikiria ndani ya mechi 27 imeshinda mechi mbili tu. Kwahiyo kufungwa goli hata 10 haistui. Na leo Simba walikuwa wanatamani hata wawafunge magoli 10+ ili kuwapa furaha mashabiki wake baada ya kushindwa kufanya hivyo siku ya jumapiliMkuu,simba mabingwa...hayo yote unayoandika ni blah blah za haters,nakuelewa
Nimeambatanisha na picha
View attachment 1384477
Labda kumbukumbu huna, nakukumbusha tu kuwa kabla ya mambo hayajawa mabaya zaidi kwa Singida; mechi ya kwanza ya Singida vs Simba, Simba walishinda kwa goli moja tu huku mechi ya kwanza ya Singida vs Yanga matokeo yakiwa magoli 3 kwa 1. Singida imeporomoka sana kwenye kuburuza mkia hana mpinzani kwa msimu huuMlivyo cheza nae kwanini hamkufunga hizo goli ?? mlifunga mbili sijui moja, kwann hamkumfunga hizo 10?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu shukrani!Angalia uzi kamili au fuatilia comments zangu mpaka mwisho utapata matokeo mkuu
Ila kwa kukumbusha tu Simba SC wameshinda mabao 8-0 dhidi ya Singida VPL
...Ghazwat
lile la bao la kuwashikisha ukuta kawapiga morson mkuu punguza hasiraMiaka 4 mfululizo unachezea tu bao za kutosha ,endelea na sherehe shabiki maandazi.
Hongereni kwakupiga bomu mochwari....Angalia uzi kamili au fuatilia comments zangu mpaka mwisho utapata matokeo mkuu
Ila kwa kukumbusha tu Simba SC wameshinda mabao 8-0 dhidi ya Singida VPL
...Ghazwat
Hiyo lugha yako siyo rafiki hata kidogolile la bao la kuwashikisha ukuta kawapiga morson mkuu punguza hasira
singida mmecheza nae January tu hapo, sio zaman.. , tena Morrson alikua mchezaj tayari na alicheza. kwann hamkuwafunga hizo goli ?? kwann waliwafunga goli ??Labda kumbukumbu huna, nakukumbusha tu kuwa kabla ya mambo hayajawa mabaya zaidi kwa Singida; mechi ya kwanza ya Singida vs Simba, Simba walishinda kwa goli moja tu huku mechi ya kwanza ya Singida vs Yanga matokeo yakiwa magoli 3 kwa 1. Singida imeporomoka sana kwenye kuburuza mkia hana mpinzani kwa msimu huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi na Yanga mlishindwa kupenyeza kwa refa maana Rais wa CAF alikuwepo. Kaondoka na ni business as usual.Mkuu Sibonike Kama mngetumia nguvu ya March 8 kwa game zote za Vpl, mbona mngekuwa mnaongoza ligi, lakini sasa sijui mnakwama wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
huna akili ww, na mkicheza vibaya sitashangaa msimu ujao msiweze kuingia hata shirikishoMechi na Yanga mlishindwa kupenyeza kwa refa maana Rais wa CAF alikuwepo. Kaondoka na ni business as usual.
Fikisheni tu...lakini kwa waelewa wa soka la tz wanajua wazi kuwa ushindi wa leo wa 8-0 ulipangwa kuleta utulivu ndani ya klabu kufuatia kipigo Cha 1-0 kutoka yanga....ni sawa na walipochapwa mtibwa 3-0 kufuatia kipigo Cha 1-0 kutoka jktTunapigania kufikisha point 100 plus
Kwahiyo point yako ni ipi? Maana Simba na Yanga wameshakutana wenyewe kwa wenyewe mara mbili ndani ya msimu huu na matokeo yanajulikana. Sasa embu sema nini point yako kwamba Singida sio wabovu au unataka kusema kipi?singida mmecheza nae January tu hapo, sio zaman.. , tena Morrson alikua mchezaj tayari na alicheza. kwann hamkuwafunga hizo goli ?? kwann waliwafunga goli ??
Sent using Jamii Forums mobile app