Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

Ukiwa barabarani hata kama ni haki yako ukiona kuna dhara linataka kutokea jihami.

Sawa upo kwenye haki lakini utadhurika. Siasa ni sayansi.
Mfano wa barabarani hauendani na kudai katiba. Hivi unadhani kuna siku watakuonea huruma wabadilishe mambo kwa sababu wewe umenyenyekea? Halafu unathubutu kusema siasa ni sayansi! Ungekuwa unaamini siasa ni sayansi ungesema watu wanyenyekee? Taja hata ncho moja ambayo mambo yalibadilika kwa wananchi kunyenyekea kwa viaongozi. Nchi zote unazoziona zenye maendeleo sasa hivi ungesoma historia yao ndiyo ungejua wewe unatwanga maji kwenye kinu.
 
Jasusi uchwara wewe unatafuta huruma ya mama
 
Ni kweli kwamba wanachotegemea CHADEMA ni NGUVUVYA UMMA.. Wakati dola inamiliki Mahakama, wao wanalalia MAHAKAMA YA WANANCHI, wakati Dola ina Polisi, wao wanategemea kushawishi UMMA uwaunge mkono.
Inajulikana pia kwamba watanzania, ama kwa sababu ya walipataje uhuru wao, au tamaduni zao, ni waoga wa kukabiliana na nguvu za Dola, na mamlaka pia. Ni kama kundi la Nyati ambao kwa wingi wao wangeweza kabisa kuwashinda.
Samia kajizingua mwenyewe. Siasa zinahamia mahakamani, ambapo mara nyingi CHADEMA wanashinda.

Kinachotakiwa ni uwepo wa watu ambao wapo tayari kuumia kwa niaba ya wengine, ili mapambano yaendelee, tukisubiri nyasi zikauke, moto ulipuke. Katika historia, haiwezekani kundi la watu likandamize wengine milele. Utafika wakati mabadiliko lazima yatokee. CHADEMA wana jukumu zito sana
 
We mnafiki huna Lolote kachero Fake unabrok watu twitter unakimbilia huku.
Jamaa ni Mshamba sana sijawahi kuona, nadhani ndio maana hata alifukuzwa TISS. Alikuwa akimpinga sana JPM na kujifanya yupo upande wa opposition, baada ya Mama Samia kuwa replaced kila siku yeye anahangaika na CDM kwa kuandika makala fake anaziicha uchambuzi wa kijasusi kumbe ni upuuzi mtupu wenye kujipendekeza zaidi kwa kuwasema vibaya wapinzani. Ukimkosoa kidogo anakimbilia kukublock ili abaki wa wajinga wachache ambao watakubaliana na ujinga wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…