Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

Huo wembe inasemekana umekuwa butu baada ya wanaoumiliki kuanza kunyolea ndevu zao na pubic hair.😁
 
Ndio maana katiba mpya ni ya muhimu sana aliyotufanyia shujaa wa afrika yametosha na katushtua ya kuwa kwa katiba hii tutawaachia wanetu majanga
 
Kuna chama au taasisi isiyo na wahuni?
Mkuu nimekuuliza na wewe unaniuliza. Si ungenijibu kwanza halafu ndio ukaniuliza na wewe swali lako??

Narudi kukuuliza, kwahiyo Mdude Nyagali ni muhuni tu??
 
Evarist Chahali umeniudhi sana twitter lakini ulichoandika ndio ukweli... Hapa kuna watu itawauma lakini hawana namna ya kufanya. Kama kweli inawauma sana watanzania basi wachukue action lakini hakuna mwenye uwezo.

Ingekuwa SA hata muda wa kutoa kitisho online usingekuepo zaidi ya kuona watu barabarani tu. Upinzani Tanzania una hali ngumu sana.
 
Umeandika ukweli mtupu!

Mawazo yako ni kama ya kwangu ila ya kwako yameenda kina zaidi.

Ila ukweli huu Chadema hawataki kuusikia! Ndiyo maana tofauti ya Makada wa CHADEMA na MATAGA binafsi siioni. Ni bomba mbili tu zilizofungwa sehemu mbili tofauti ila zote zinapeleka maji kwenye tank moja.
 
Mkuu nimekuuliza na wewe unaniuliza. Si ungenijibu kwanza halafu ndio ukaniuliza na wewe swali lako??

Narudi kukuuliza, kwahiyo Mdude Nyagali ni muhuni tu??

Kama una uelewa mzuri hilo ni jibu lililo katika mtindo wa swali. Huyo Mdude ni muhuni kama alivyo Sabaya na Makonda.
 
Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.

Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.

Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."

Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?

Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.

Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.

Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.

Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.

Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.

Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"


Acha upotoshaji, umesahau moshi wa Lindi? time will tell
 
Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.

Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.

Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."

Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?

Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.

Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.

Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.

Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.

Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.

Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"


WANACHADEMA WATAKUWA WAMEMUAMBIA ANAENDA RESS SANA ANAWAHARIBIA CHAMA NAONA KATULIA ATULIZE DISH MAANA LIMEYUMBA SANA
 
Samia ni dikteta kwa sababu hafuati sheria, kutumia kigezo cha kuwafutia kina Mbowe kesi ndio u-justify Samia sio dikteta ni ufinyu wa kufikiri, hii nchi inaendeshwa kwa sheria sio hisani.
Hebu subiri...kina Mbowe hawakufutiwa kesi bali walishinda rufaa dhidi ya kesi ile...mama hakumtoa Mdude gerezani bali alishinda kesi!
 
Mbowe kaenda kuiga hadi mavazi ya EFF hadi aibu kabisa
Wabongo kwa kuiga hatujambo🤣🐒👇
fotor_1626947112413.jpg
 
Kwamba kilichojiri Mwanza hakipendezi, ni suala la wazi kwa mtu yeyote anayetaka kuona Tanzania yenye amani na mshikamano.

Hata hivyo, matukio kama haya yanaibua tafakuri ambazo baadhi ya wenzetu wanaweza wasizipende.

Majuzi tulimsikia Mdude akimtahadharisha Mama Samia kuwa "wembe uliotumika kumnyolea Magufuli utatumika kwake (Mama Samia) pia." Hakukuwa na wembe as such bali alimaanisha kuwa endapo "Mama Samia akiwazingua Chadema nao watamzingua."

Well, kwa kilichojiri Mwanza, ni wazi "Mama kawazingua Chadema." Swali ni je, nao wana uwezo wa kumzingua?

Nimeona Mheshimiwa Lissu akiwataka Watanzania kuingia mtaani kutokana na kukamatwa kwa Mbowe na viongozi wenzake. Nadhani Mheshimiwa ameshasahau kuwa alipotoa wito kama huo kuwa watu waingie mtaani Novemba 2 mwaka jana baada ya "uchafuzi wa kihistoria," hata viongozi wenzie hawakujitokeza mtaani.

Lakini hata tukiacha tukio hilo, tangu 1995 hadi 2005, Mkapa aliwazingua Wapinzani lakini hakuna aliyemfanya chochote. Jk nae akarudia 2005 hadi 2015, na hakufanywa chochote, na majuzi Magufuli akafanya aliyotaka kufanya dhidi ya Wapinzani na hakupata resistance yoyote mpaka anaingia kaburini.

Kwahiyo, hata Mama Samia akiamua "kuiga mfano wa watangulizi wake" hakuna wa kumfanya chochote. Sad but true.

Majuzi walipokamatwa akina Lwaitama, ilisubiriwa "huruma ya serikali" kuwatoa rumande. Hakukuwa na jitihada zozote zaidi ya kelele za mtandaoni. Na leo inakatika, same story. "Oh Mama Samia ni dikteta," "Oh atakiona," same empty words.

Ukweli mchungu ni huu, endapo Mama Samia ataamua "kuwazingua wapinzani" hakuna wa kumzuwia. Ukweli huu mchungu unapaswa kuwa sehemu ya mikakati ya upinzani katika kupanga ajenda zao. Kwamba kujimwambafai mitandaoni ilhali likitokea la kutokea watu wanaufyata, ni mkakati fyongo. Kwa kifupi, confrontational politics haziwezi kuuwezesha upinzani kutimiza ajenda zake. Kunahitajika njia mbadala. Hiyo ni mada ya wakati mwingine.

Baadhi yetu tulionya, though, baada ya Mama Samia kutahadharisha kuhusu "chokochoko"


Yaani hii ni typical mindset ya mijitu mioga kwenye hii nchi, hata kama hili tayari lilishakimbia.
Angalau baadhi ya watu wa CHADEMA wanaojesha ujasiri wa wazi wa kupambania maslahi ya watanzania na sio kwenye mitandao bali barabarani na huko kwenye makongamano yao. Watu wenye akili tunapaswa kuwaunga mkono kwa hali na mali. Wamekuwa wakionyesha leadership kwenye kipindi kigumu sana.

Sijui kwanini watu wana hii mindset. Mikondoo halafu perepeche nyingi yaani, maneno mingi kama hili lileta uzi. Halafu inalalamika, mara tozo, sijui ajira, maisha magumu! Halafu wachache ambao wamejitoa kupambana tunawavunja moyo na maneno uchwara kama haya.

Halafu hili si ndio lilimpigia kampeni yule dhalimu aliyetutesa! Eti lilisema ni consultancy na Kinana atalilipa!

Mindset ambazo ni defeatist zinaturudisha nyuma.
 
Takataka kabisa kama wewe ni kachero kwanini umekimbia nchi?

Pumbavu
Hili ni zaidi ya pumbavu. Yaani linakera sana.
Mjadala wa katiba na mapambano halisi ya baadhi ya watu unayashusha kwa mada petty kama hii.
Sipendi personal attacks lakini hilo jamaa ni pimbi sana halafu inaonekana ni lioga pia. Very defeatist.
 
Duniani hakuna mtu ambae haigi hata MAENDELEO tuliyonayo tumeiga kwa Wazungu hivo kuiga kitu sio kosa.

Kuna mahali nimsema kuwa kuiga ni kosa ?

Ukiiga ubunifu wako nao unatakiwa sio unaiga kitu ambacho kwenye mazingira yako kinakuwa hakina tija sana .

Katiba sio ajenda kubwa kwa wananchi wao wanapoteza muda na kuushusha ushawishi wao .

Utake iko hivyo usitake itakuwa hivyo.
 
Ni wakati sasa Mwenyekiti wa Chademaa ang'atuke apishe wengine aina ya siasa zake hazileti tija kwa sasa.
 
wanapima kina cha maji kwa nn kipind cha magu hawakujaribu
 
Kaka mm Hawa cdm nimejitoa wajinga Sana enzi za magufuli tumewasupport kumpinga magufuli ,Leo Samia amekubali kuwasikiliza ,kawasamehe waliofungwa kiuonevu lkn bado wanamtukana,mbowe kavaa manguo ya waasi,yaan kaona mwanamke kawa rais ndo anataka kumsumbua mbona kwa magu hakufanya hvyo,yaan Ni bora bas hata angesubiri uchaguz ndo aanze vituko yaan kaona magu kafa kaibuka kwa fujo hv
Kipindi cha Magu mimi mwenyewe niliwaunga mkono sana! Ila kwa hili wameteleza. Ajabu iliyokubwa nilidhani kejeli, dharau na matusi ya jumla na rejareja huwa wanayatoa Mataga tu kumbe makamanda/makada wao nao vilevile.

Ijapokuwa ajenda yao ni nzuri ila katika hili Chadema hawatoungwa mkono na raia na huwezi ukasikia mtaani au kijiwe wanazungumza masuala ya Mbowe, sijui Chadema wala katiba. Watu hawana habari wanashughulika na maisha yao. Zaidi makada ambao ni kundi lilelile lililopo Jf na Twitter.

Kuna mambo ambayo wangeyagusa wangeanza nayo kama ajenda zao wangeungwa na wengi kwa sababu nguvu ya wanasiasa ni umma. Mtanzania hana habari kabisa na katiba! Yeye anachokitaka maisha yake yawe nafuu na ugumu ambao ulisababishwa na awamu iliyopita. Ingelikuwa ni vyema wangejikita na haya na kuangalia mapungufu na athari hasi ya sehemu za bajeti zilizopitishwa wangeungwa mkono na raia.

Kuna mambo yangewakwamisha tu mbeleni. Hapa ndiyo ingelifaa kuwaambia raia tunahitaji katiba mpya ili mambo yawe sawa! Kwa wanachokifanya sasa hivi kwa mambo ambayo Mama Samia aliyowafanyia kwa waliyofanyiwa awamu iliyopita, ukilinganisha na kauli wanazozitoa viongozi wake na wanayoyafanya imma yawe sahihi au yasiwe sahihiwataonekana wanaleta fujo tu! Na ndivyo wengi wa raia watakavyowatafsiri.
 
Katiba nzuri ni faida ya wananchi wote. Unless uko kwenye system ya kufaidika kwa katiba iliyopo, ni kwa faida yako pia. BTW mimi napiga kelele siyo kwa sababu niko kwenye siasa, au inaniathiri sana sasa hivi la hasha. Najaribu kuangalia mambo kwa upana.
Ukiwa barabarani hata kama ni haki yako ukiona kuna dhara linataka kutokea jihami.

Sawa upo kwenye haki lakini utadhurika. Siasa ni sayansi.
 
Back
Top Bottom