Tetesi: Uwazi wa RC Makonda na StarTv siri hii hapa nje ndani

Tetesi: Uwazi wa RC Makonda na StarTv siri hii hapa nje ndani

Naomba kuuliza hivi ni kweli kuwa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere huko nyuma aliwahi kupinga haya makabila
  1. Wahaya
  2. Wachagga
  3. Wasukuma
  4. Wanyakyusa
wasiwe Viongozi ( namaanisha ) Marais katika nchi hii kwa sababu kubwa kwamba wanaendekeza mno Ukabila na kwamba ni Wakabila wa Kutukuka?

Nitashukuru nikipata majibu kutoka kwa Wajuvi na wale Wazee wa zamani mliokuwepo na Mchonga kipindi hicho.
Aliyaogopa (pamoja na ukabila) pia kwa sababu ya
● kuwa na idadi ya watu wengi
● kuwa na watu wengi walioelimika
● kuwa na misimamo, kutokukubali kuburuzwa.
 
Nay aliongea ukweli kabisa.
Nchi inaendeshwa kwa kiki.

Watu wanagombea font ferd kwenye magazeti na TV
 
Haya yote wewe ulikuwepo kwenye vikao vya Makonda na Dialo? Au kutunga story za kipumbavu ili kuchafua watu, we ushasema Star tv wako kibiashara sasa kama Makonda analipa airtime wewe inakuuma nini? Acha majungu mke kama mwanamke wa uswahilini.
Rudisheni rambirambi za wafiwa wacha kujitoa akili
 
yaani mnavyotumia nguvu nyingi kupambana na makonda mgekuwa mnazitumia kuimarisha chama mgekuwa mbali sana
 
  • Thanks
Reactions: nao
Watanzania kwa kweli tunakipaji cha kutunga na kueneze Propaganda.. mpaka unaweza usitambue kama ni uwongo ama ni ukweli. Kwa hili tunaliweza.
 
  • Thanks
Reactions: nao
upload_2017-5-21_14-28-47.png
upload_2017-5-21_14-28-47.png
upload_2017-5-21_14-28-47.png
 
Huyu Dialo na kampuni yake ya Sahara media walipoanza kuwasaliti Watanzania 2015 kipindi cha uchaguzi mkuu mdipo chanzo cha mambo kumwendea vibaya
 
Back
Top Bottom