Tetesi: Uwazi wa RC Makonda na StarTv siri hii hapa nje ndani

Mtaongea sana lakini Najua Sikuhiyo Hadi kuku zitakuwa Live haha
 
Kama Dialo atakuwa katibu mkuu wa ccm then chama kitakuwa cha kikanda rasmi na Nadhani coming 2020 Kuna kampeni kubwa dhidi Yao zitaendeshwa
 
Kama Dialo atakuwa katibu mkuu wa ccm then chama kitakuwa cha kikanda rasmi na Nadhani coming 2020 Kuna kampeni kubwa dhidi Yao zitaendeshwa
Kuna jamaa mmoja ana cheo kikubwa cha utendaji ni mjomba wake filipo,
 
Kuna jamaa mmoja ana cheo kikubwa cha utendaji ni mjomba wake filipo,
Hakika
Pattern yake ya kufikiri unaona kabisa ni mnufaika wa mfumo. Haongei kama mtanzania mwenye kuona Mambo kwa uhalisia zaidi. It is true Wengi wetu tupo biased kwa kuwa mfumo wa sasa umetutupa nje lkn pia umetuacha na sintofahamu za uhakika wa ugali wetu.
Pamoja na yote hayo, bado utawala huu haujakaa sawa kwenye demokrasia, huo ukombozi wa mnyonge na umekuwa na double standards. Kibaya kuliko yote ni investment kwenye trust watu waliyompa mkuu, ndio chanzo cha vilio vyote hivi! Watu wako disappointed mno, kelele hizi ni vilio vya wapiga kura waliomchagua ni kama wanajutia zaidi. Kuliko vilio vya wapiga deal.
Wale waliokula awamu ile bado wapo leo kina homeshopping Centre wamerudi na majina mapya na wanaingia maeneo muhimu kama kawa
 
Yawezekana kuna mambo nikawa sikubaliani na Diallo, lakini huyo Diallo siyo maskini au hana uwezo wa kufanya mambo yake hadi afikie kiasi cha kuomba msaada kwa Makonda. Huu ni uvumi uliopitiliza.
 
Acha taarifa za porojo kama hukuwa ndani ya maongezi yao wewe umejuaje taarifa hizo kama siyo uongo
Sasa hivi CDM wamebaki kutunga uongo ambao hata haudumu mwizi miwili but Magu keshawajulia anawakimbiza mchakamchamka mpaka wamechanganyikiwa hawajui waongelee jambo gani
 
Mtahangaika sana vibalaka wa biashara zileeeee.....pole sana!
Siyo nimelike kukufurahisha Bali kujoke na hicho kiswahili chako! Vibalaka=vibaraka. Kibaraka wa DAB mkubwa! Hivi ninyi mnaounga mkono mambo ya kijinga yanayofanywa na MTU huyu kwa kodi zenu huku mama, Dada na jamaa zenu wakifia mahosptalini kwa kukosa huduma na watoto wenu wakikosa vitabu mtakuwa mmelogwa si bure! Fungueni macho na maskio ya bongo zenu acheni upumbavu na ushabiki usio na tija.
Hivi, bei ya sembe mtaani kwako ni kiasi gani?
 
Mbona Mako anaonekana kuwa na uwezo na madaraka zaidi ya RC anaokana kuwa mteule na msaidizi wa karibu wa president
 

Hujui chochote na wasomaji puuzieni habari hizi! Niwaambie Dialo anausaka ukatibu mkuu CCM kwa udi na uvumba na amegundua kwamba Makonda ndio mshika filimbi wake, na kwamba ili yeye awe katibu mkuu lazima kwanza amgombanishe Kinana na JPM, pia amgombanishe Lukuvi, anayeshikilia ukatibu mkuu hadi sasa, na JPM. Dialo aliusubiri ubunge wa kuteuliwa ahatimaye akakosa vyote na likichobaki ni ukatibu mkuu. Huko nako atakosa na kujua kwamba ametumika na JPM kama mpira wa kiume...ukweli tupu huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…