Inasemekana aliwakataaNaomba kuuliza hivi ni kweli kuwa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere huko nyuma aliwahi kupinga haya makabila
wasiwe Viongozi ( namaanisha ) Marais katika nchi hii kwa sababu kubwa kwamba wanaendekeza mno Ukabila na kwamba ni Wakabila wa Kutukuka?
- Wahaya
- Wachagga
- Wasukuma
- Wanyakyusa
Nitashukuru nikipata majibu kutoka kwa Wajuvi na wale Wazee wa zamani mliokuwepo na Mchonga kipindi hicho.
Wahaya
Wachaga
Wanyakyusa
Hao wote kwa kubebana.....ila akawakataa Wasukuma kwa kuwa ni kabila kubwa akitokea kiongokzi upande huo na akaamua kuwabeba watakuwa wao tu..........inasemekana lkn
Nitupie mawe nikajenge msingi
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]