Tetesi: Uwazi wa RC Makonda na StarTv siri hii hapa nje ndani

Tetesi: Uwazi wa RC Makonda na StarTv siri hii hapa nje ndani

Masikini diallo,from hero to zero,kampuni inakufa,utajiri umekwisha,amekwisha sasa diallo,kaisha kabisa,tangu kutengeneza majiko ya umeme mpaka kuomba hela kwa vitoto kama DAB
Acha mkuu Diallo huyu alipeleka watu Russia kujifunza kutengeneza majiko ya umeme pale Nyakato industry Area, maana kuna kingine Rc alikifanya kuwabania vijana wa Xxl kwa Seba Ndege walipokuwa Mwanza wasipate airtime watu wanavyomuona
 
Sasa hapo siwezi kujua mkuu maana sijaona kama Baba Jesca anawabeba wasukuma ila nachokiona ni baadhi ya wasukuma kujibeba au kujikweza kupitia jina la Baba Jesca.......ila kumbuka mkuu nimesema "inasemekana" huenda Nyerere hakusema haya!!

Nakubalina nawe tena kwa 100% kuwa Raia namba Moja nchini hawabebi Wasukuma ila Wasukuma wenyewe ndiyo wanajitengenezea mazingira kwa kutumia Kabila lake kitu ambacho kiukweli kinamuharibia sana Raia namba Moja nchini na kiukweli inabidi aliangalie sana hili. Nimejaribu kufanya kajiutafiti kangu kadogo tu hasa kwa administration nzima ya Serikali hii ya awamu ya Tano lakini Wasukuma ni wa kuwahesabu kama siyo wa kuwatafuta sana Uongozini. Nahisi kuna Wasukuma wachache pengine wakiongozwa na Paul Makonda ndiyo wanamwaribia Raia namba Moja na Wasukuma wote ambao binafsi nawajua, wamenilea na hata kunisaidia na hawana hizi tabia za ajabu ajabu kama tunazoziona sasa.
 
Mtabaki na majungu hivyohivyo

mwenzenu ndio ashatoka hivyo
 
Hivi jamani si mlisema mmesusia kuposti habari za Makonda? Sasa mbona mnampost nyie wenyewe?
Tafuteni hela awamu ya tano siasa zimekuwa ngumu.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Acha mkuu Diallo huyu alipeleka watu Russia kujifunza kutengeneza majiko ya umeme pale Nyakato industry Area, maana kuna kingine Rc alikifanya kuwabania vijana wa Xxl kwa Seba Ndege walipokuwa Mwanza wasipate airtime watu wanavyomuona
Kuna madai eti hizo mali zilikuwa za mzungu mmoja,akampiga fitna akafukuzwa yeye akabaki nazo!!
 
Naitamani sana siku watanzania tutakapo anza kujadili issues na sio kujadili gossips na umbea umbea tu usio kuwa na tija
We have to change guys

Tungekuona Wewe ndiyo umekuwa wa Kwanza kujadili hizo so called issues zako labda tungekuelewa ila tatizo na Wewe umeingia kule kule wa Wapenda kujadili gossips na tunafurahi kuungana na Wewe mpenda gossip wetu wa Kutukuka. Logically change should first start with you then it goes to others.
 
Mjinga
Mjinga
Mjinga
Mjinga
Mno anaemwogopa makonda kwa sababu ya baba jescer


Lkn akiwa tayari kumkosea Mungu


Ukweli haujawahi kuuwawa ila huwa unacheleweshwa na wanijana
 
Back
Top Bottom