Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mkuu Diallo huyu alipeleka watu Russia kujifunza kutengeneza majiko ya umeme pale Nyakato industry Area, maana kuna kingine Rc alikifanya kuwabania vijana wa Xxl kwa Seba Ndege walipokuwa Mwanza wasipate airtime watu wanavyomuonaMasikini diallo,from hero to zero,kampuni inakufa,utajiri umekwisha,amekwisha sasa diallo,kaisha kabisa,tangu kutengeneza majiko ya umeme mpaka kuomba hela kwa vitoto kama DAB
Sasa hapo siwezi kujua mkuu maana sijaona kama Baba Jesca anawabeba wasukuma ila nachokiona ni baadhi ya wasukuma kujibeba au kujikweza kupitia jina la Baba Jesca.......ila kumbuka mkuu nimesema "inasemekana" huenda Nyerere hakusema haya!!
Kwa hiyo sio msiba tena uliompeleka ande huko, mnatabu kweli kweli...chumvi nyingiiiuu
Kuna madai eti hizo mali zilikuwa za mzungu mmoja,akampiga fitna akafukuzwa yeye akabaki nazo!!Acha mkuu Diallo huyu alipeleka watu Russia kujifunza kutengeneza majiko ya umeme pale Nyakato industry Area, maana kuna kingine Rc alikifanya kuwabania vijana wa Xxl kwa Seba Ndege walipokuwa Mwanza wasipate airtime watu wanavyomuona
Watanzania tunapenda umbea kuliko kazi. Ndo sababu tunaishia kuwa masikiniNaitamani sana siku watanzania tutakapo anza kujadili issues na sio kujadili gossips na umbea umbea tu usio kuwa na tija
We have to change guys
Inatisha... Acha kwanza nikale kuku KFC, mwenye hamu ya kuku aje tujoin, tupunguze hasira
Hatuwezi sababu ya upuuzi wa viongozi kuendekeza mambo ya ujuhaNaitamani sana siku watanzania tutakapo anza kujadili issues na sio kujadili gossips na umbea umbea tu usio kuwa na tija
We have to change guys
Naitamani sana siku watanzania tutakapo anza kujadili issues na sio kujadili gossips na umbea umbea tu usio kuwa na tija
We have to change guys
Hizo kuku za KFC sijawahi kuona radha yake aisee,
Tutabadilika tukipata viongozi wenye weledi na sio wa kubebana.Naitamani sana siku watanzania tutakapo anza kujadili issues na sio kujadili gossips na umbea umbea tu usio kuwa na tija
We have to change guys
Dunia DUARALeo hii Dialo ni wa kusaidiwa na Bashite,kweli dunia kizungumkuti!