Tetesi: Uwazi wa RC Makonda na StarTv siri hii hapa nje ndani

Word.

Maarifa hayaishiii kwenye kufaulu mitihani ya darasani.

Bahati mbaya sana Wasomi wetu wa Kitanzania hudhani GPA za University ndiyo kuwa na uwezo mkubwa wa Kimaarifa wakati kumbe kiuhalisia siyo kweli. Kuna kupata bahati ya kusoma lakini ili uwe mzuri zaidi yakupasa pia uwe na IQ ya kutosha ambayo umezaliwa nayo na ndiyo maana katika hili huwa sifichi kulisema japo Mimi ni Mshabiki wa CCM kuwa japokuwa Elimu ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA Mheshimiwa Freeman Alkaeli Mbowe ni ndogo ila amebarikiwa sana na Mwenyezi Mungu kuwa na IQ nzuri tena pengine inayowashinda Viongozi wengine wengi wenye Degree, Masters na Doctorates zao. Kuna Viongozi wa CCM yangu huwa wakiongea halafu nikijua hata Viwango vyao vikubwa vya Elimu walivyonavyo huwa nazima Tv na hata kupandwa na hasira kwa aina ya upupu / upuuzi wanaousema ila nisiwe mnafiki huwa nikimsikia tu Mbowe anazungumza huwa navutiwa kumsikiliza na huwa namwelewa sana Baba wa Watu na nadhani busara, staha na hekima yake ingeigwa na Viongozi wengine pengine hizi takataka kero za Kiuongozi tunazoziona sasa zisingekuwepo abadan.
 
Gentamicin Intravenous Infusion [emoji382] for fast relief!

Hongera Mkuu kwa dose Mubashara,
Wenye macho wameona, wenye kuhitaji wamechukua na wasiohitaji nao ni chaguo lao

Akhasante sana Mkuu na kama kawaida yangu Kazi yangu Kuu ni kunyoosha tu bila unafiki, uwoga wala upendeleo wowote ule.
 
Kweli mkuu, nadhani kuna gap kati ya intellectual ability na uwezo wa kufaulu mitihani. Wengi wetu tuna uwezo wa kukariri na kufaulu mitihani ya darasani tu. Intellectuals wapo wachache sana.
 
Napata tabu sana kuuamini huu uzi moja kwa moja, sjui kwanini. Hayo mazungumzo ya siri kati ya Makonda na Dialo kayaskiaje ilihali kasema walikuwa wawili?. Duu hiyo inshu ya kupewa ukatibu sasa ndio kaniacha hoi, Ccm ni taasisi kubwa, hata kama ni Manyumbu ukatibu hauwezi kuuzwa kijinga hivyo, Tena na Makonda? Hapana nakataa, mleta Uzi mi nipo neutral ila nimeshindwa kuelewa na kuamini
 
Kweli mkuu, nadhani kuna gap kati ya intellectual ability na uwezo wa kufaulu mitihani. Wengi wetu tuna uwezo wa kukariri na kufaulu mitihani ya darasani tu. Intellectuals wapo wachache sana.

Umemaliza kila kitu Mkuu akhsante sana. Uko vizuri mno!
 
Ni sawa ndugu lakini wewe ni nani na umeyatoa wapi haya maneno?ujiseme na utupe ushahidi wa uliyoyasema
 
Mmmmh,huyu Jamaa ana agenda gani hasa.,mbna anatumia nguvu kubwa kiasi hichi...,kwani hzo harakati zake zina manufaa gani ki ivo mpka kwa taifa mpka kufikia kutaka kufanya mpango Wa kulipia deni kubwa namna hiyo analodaiwa Dialo...!!!????
 
Hii habari naweza kuiamini kwa sababu nilimuona makonda kwa macho yangu pale malaika akiwa na kundi la malaya
 
Hata shetani anajua kushika kalamu!!!!
USI-CONFUSE MWANDIKO WA THE ALMIGHT JAH NA WA baali.
Povu la nini sasa, nina uhuru wa kuchangia hapa,ama lazima tufanane mitizamo nawewe?najua nawe kesho ni miongoni mwa mtakaotizama kipindi cha Makonda.

Mlisusa kuandika habari zake lakini now kila uzi unaomhusu mnafungua na kuchangia jamani mtakonda bure kwa chuki.
 
Tatizo la Serekali legelege iliyo jikimbikizia mafaraka kwa watu wache tu...... Mtu kama makonda kibongo bongo ni kama PM kwa sasa, agusiki..... Wakati RC ni kiongozi wa kawaida tu.
 
Na baada ya Kuoa sasa anatumia neno gani katika kuwasilisha hicho Kiungo korofi lakini kitamu kwa Mwanaume yoyote yule aliye rijali?
Alipitia changamoto flani sasa hivi amemrudia muumba hataki kabisa kuzungumzia hicho kiungo
 
Hahaha..wazee wa ngada wanatetemeka, mnachokiogopa ni nini hasa? nishaanda popcorn za kesho asubuhi, kwa nini hamtaki kuusikiliza ukweli lakini?
 
Hahaha..wazee wa ngada wanatetemeka, mnachokiogopa ni nini hasa? nishaanda popcorn za kesho asubuhi, kwa nini hamtaki kuusikiliza ukweli lakini?
Hawa wivu na chuki tu zinawasumbua hawana kingine yaani wamejaa povu kuliko clouds yenyewe.
 
Huyu Makonda anawahangaisha sana.
Sasa kama walikutana wawili kwa siri haya yote umeyapata wapi au ndio m'mbea mpe picha story ataandika mwenyewe..?
Mlisema hamtaangalia kipindi chake sasa haya yote ya nin..?
Huko huko Malaika mlisema Alivamia kipindi XXL wapo kwenye show mpaka watangazaji wakakesha ili tu wasidhurike leo mnasema alikuja mapema tu na kuonana na Dialo.
Mbona mnasahau mliloongea juzi kila siku mnakuja na jipya?
 
Hakuna kibaya hapa. Kila upande kwa maana ya Makonda na Diallo wanafaidika na hii mission.
Maslahi Kwanzaa, hutakiwi kua na Adui au Rafiki wa kudumu.

Wanastahili pongezi Sana
 
Acha atengeneze pesa, acheni majungu.
Anapofirisika huna msaada wowote kwake
 
Reactions: nao
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…