Tetesi: Uwazi wa RC Makonda na StarTv siri hii hapa nje ndani

Waaibike mara ngapi?
 
Kuna dada mmoja mweusi bongebonge ana umbile la hatari,alimfanya mtangazaji,ana macho makubwa hivi,sijui Siku hizi yuko wapi

Na kengine keusi hivi kako mwanza eti kaafisa utawala,
Kwa sasa jamaa anaokoteza tu
 
Masikini diallo,from hero to zero,kampuni inakufa,utajiri umekwisha,amekwisha sasa diallo,kaisha kabisa,tangu kutengeneza majiko ya umeme mpaka kuomba hela kwa vitoto kama DAB
Yaani kabisa mnaamini Diallo anaweza kufirisika kwenye utawala wa awamu ya tano?Mnajidanganya sana nyie Nyumbu na kweli nimeamini huu mchezo hamuuwezi
 
Sasa hapo siwezi kujua mkuu maana sijaona kama Baba Jesca anawabeba wasukuma ila nachokiona ni baadhi ya wasukuma kujibeba au kujikweza kupitia jina la Baba Jesca.......ila kumbuka mkuu nimesema "inasemekana" huenda Nyerere hakusema haya!!
Uliona wapi meno ya mbwa yanaumana?
 
Anachofanya dialo ni kuokoa sahara na kwa sababu yamemfika shingoni hana budi kukubali ndio maana amekubali
 
Hivi mbona nasikia kuwa sizonje ni mzinza?

Yap si tu Mzinza Mkuu bali kiuhalisia ni Msubi Kikabila ila Usukuma ulimsaidia tu Geographically ili kumuwezesha kushinda na hata Wasukuma wenyewe wameshaaminishwa kuwa ni mwenzao ili tu wazidi kuwa nae pamoja kwani uwingi wa Wasukuma ambao wapo maeneo mengi ya nchi ni turufu kubwa na nzuri kwa ushindi wake tena coming 2020.
 
Haya yote wewe ulikuwepo kwenye vikao vya Makonda na Dialo? Au kutunga story za kipumbavu ili kuchafua watu, we ushasema Star tv wako kibiashara sasa kama Makonda analipa airtime wewe inakuuma nini? Acha majungu kama mwanamke wa uswahilini.
 
Mungu akuepushe na watekaji pamoja na milio ya SMG
 
Haya yote wewe ulikuwepo kwenye vikao vya Makonda na Dialo? Au kutunga story za kipumbavu ili kuchafua watu, we ushasema Star tv wako kibiashara sasa kama Makonda analipa airtime wewe inakuuma nini? Acha majungu mke kama mwanamke wa uswahilini.
Taarifa zilizonifikia hivi punde ni kwamba mazungumzo ya maharamia hao wawili yamerekodiwa , tuendelee kuwashukuru wasamalia wema waliofanya kazi hiyo .
 
Mkuu hiyo ni kweli lkn amini kabisa kuwa 50% ya walio mpiga tafu sasa hivi wamesha badili mawazo yao na wanajilaumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…