Uwaziri Mkuu wa Majaliwa ni wa Mungu mwenyewe

Uwaziri Mkuu wa Majaliwa ni wa Mungu mwenyewe

Asikubali tena kubeba uchafu wowote na kuutetea bali asimame na nchi na asimamie haki. Ni bora watesi wako wakakutoa kwenye kiti kwa kusimamia haki kuliko kuondolewa kwa aibu.
inaonekana Mzee Kasim kawagomea kwenda kuutetea ule mkataba 😀
 
Kila mtu ana kumbukumbu namna Kassim alivyoipata hii nafasi. Wakati jina linasomwa kwa mara ya kwanza alikuwa nje kabisa ya bunge akiendelea na shughuli zake.

Kibinadamu kabisa hakuna aliyedhania kama waziri mkuu angekuwa Kassim sababu hakuwahi kuwa hata waziri kamili wala hakuonekana mtu wa mtandao.

Kiuhalisia ni Mungu mwenyewe ndiye alimpa hii nafasi. Apangacho Mungu mwanadamu hawezi kukitengua, asimame imara kwa imani atimize majukumu yake.

Asikubali tena kubeba uchafu wowote na kuutetea bali asimame na nchi na asimamie haki. Ni bora watesi wako wakakutoa kwenye kiti kwa kusimamia haki kuliko kuondolewa kwa aibu.

Siku zote sisi wananchi ndio mahakimu..kama sio leo kesho.
Kwamba yeye alikua hana hilihili wala lile alikua zake pale Chako ni Chako akipiga viepe? Ndipo Mkastua kuwa ameteuliwa kuwa Waziri Mkuu, ndiyo akaanza kukimbia kuelekea Ikulu?
 
Kwamba ,amegoma kubadilishwa kwasheria juu ya rasilimali Ili dp world waishi
 
Wewe ni muongo. Kabla kuteuliwa anajulisgwa kabisa na kukubali. The same kwa mawziri na ma DC wengine. Hakuna teuzi za kushtukizia kama hujui.

Acheni fiksi
Mkalidayo kwenye ubora wake
 
Kula chuma hicho
Be aware broo!😲 hicho kifungu kinaelezea power of president but sio naibu wazir mkuu,,ni kweli president anaweza kufanya chochote some time hata kutoka out of constitution but for his/her interest. Hasa kwenye hizi nchi zetu ambazo ziko matakoni mwa Dunia. Hapo amejaribu kueleza power of president namna alivyo na uwezo wa kuadd au hata kucancel any position ktk vyeo mbalimbali ambayo kimsingi hata havipo kwenye katiba.
But remember In democratically inatakiwa kuwa no one to be above the law but in Africa president kuwa above the law is normal..
NB. Acha kumfatilia kigogo mlopokaji huyo yeye mwenyew hajijui kuwa wakiume au wakike
 
[QUhuyu OTE="sheiza, post: 47653910, member: 27141"]
Kila mtu ana kumbukumbu namna Kassim alivyoipata hii nafasi. Wakati jina linasomwa kwa mara ya kwanza alikuwa nje kabisa ya bunge akiendelea na shughuli zake.

Kibinadamu kabisa hakuna aliyedhania kama waziri mkuu angekuwa Kassim sababu hakuwahi kuwa hata waziri kamili wala hakuonekana mtu wa mtandao.

Kiuhalisia ni Mungu mwenyewe ndiye alimpa hii nafasi. Apangacho Mungu mwanadamu hawezi kukitengua, asimame imara kwa imani atimize majukumu yake.

Asikubali tena kubeba uchafu wowote na kuutetea bali asimame na nchi na asimamie haki. Ni bora watesi wako wakakutoa kwenye kiti kwa kusimamia haki kuliko kuondolewa kwa aibu.

Siku zote sisi wananchi ndio mahakimu..kama sio leo kesho.
[/QUOTE]
Huyu mzee ananyanyaswa sna na utawla huu HV amewakosea nn

Namuona huyu jamaa akiwa rais mbeleni
 
Be aware broo!😲 hicho kifungu kinaelezea power of president but sio naibu wazir mkuu,,ni kweli president anaweza kufanya chochote some time hata kutoka out of constitution but for his/her interest. Hasa kwenye hizi nchi zetu ambazo ziko matakoni mwa Dunia. Hapo amejaribu kueleza power of president namna alivyo na uwezo wa kuadd au hata kucancel any position ktk vyeo mbalimbali ambayo kimsingi hata havipo kwenye katiba.
But remember In democratically inatakiwa kuwa no one to be above the law but in Africa president kuwa above the law is normal..
NB. Acha kumfatilia kigogo mlopokaji huyo yeye mwenyew hajijui kuwa wakiume au wakike
Naona unazunguuka na jibu unalo. Hicho kifungu ndio kinampa sasa Rais uwezo wa kufanya alichofanya.
 
Nenda X kwenye page ya kigogo Inc ameweka kifungu cha sheria kinachomruhusu rais kuteua nafasi yeyote kwenye serikali.
Kilete Hhapa, hata hivyo kifungu unachokisema hakitaji nafasi specific kinataja nafasi yoyote kwa maana anaweza akateua hata naibu makamu wa rais. Hoja yangu ni kwamba nafasi ya naibu waziri mkuu haijatajwa popote kwenye katiba specifically or generally haipo kabisa inaundwa kwa mapenzi ya mtu na kwa kutumia kifungu ambacho kimempa uwezo wa kuteua yeyote. Kabla ya 2024 kuisha kati ya Bashungwa na Aweso mmoja atakuwa naibu makamu wa rais
 
Kwani ......au basi.....
Manake......ingawa...........😀na hata hivyo....🤪😝pengine...ndio maana🥸😎vilevile......🤑🤑hata wewe🤏🤏mama yako...🤌🤌...
Na wewe mwenyewe👌👌........japokuwa....au sio viip bwan...
 
Majaliwa ni mtu mwema ila alitaka kuanza kuishi kwa kuwafuatisha mafisadi na kuwasliti watanganyika
 
Kila mtu ana kumbukumbu namna Kassim alivyoipata hii nafasi. Wakati jina linasomwa kwa mara ya kwanza alikuwa nje kabisa ya bunge akiendelea na shughuli zake.

Kibinadamu kabisa hakuna aliyedhania kama waziri mkuu angekuwa Kassim sababu hakuwahi kuwa hata waziri kamili wala hakuonekana mtu wa mtandao.

Kiuhalisia ni Mungu mwenyewe ndiye alimpa hii nafasi. Apangacho Mungu mwanadamu hawezi kukitengua, asimame imara kwa imani atimize majukumu yake.

Asikubali tena kubeba uchafu wowote na kuutetea bali asimame na nchi na asimamie haki. Ni bora watesi wako wakakutoa kwenye kiti kwa kusimamia haki kuliko kuondolewa kwa aibu.

Siku zote sisi wananchi ndio mahakimu..kama sio leo kesho.
Unayemzungumzia hapa ni yule aliyetufix jamaa yko ofisini anachapa kazi?
 
Hapo nina uhakika Ma DC hawajulishwi,kumbuka sakata la juzi juzi yule aliyekataa uteuzi,halafu mimi mwaka fulani kuna mtu tulikuwa naye field kikazi akapigiwa tuu simu ameteuliwa anahitajika Dsm kuapishwa siku 2 mbele msafara ukarudia hapo hapo tulipokuwa tumefika.
Kipindi cha jiwe jambo hili lingewezekana. Lakini kawaida haiwezekani kushtushwa tu kwamba umeteuliwa nafasi fulani. Lazima ujulishwe kabla ya tangazo ili uridhie uteuzi ama ukatae kama una sababu, eg ugonjwa au kipaumbele chako kingine kama masomo au ajira nyingine nzuri zaidi.
 
Kila mtu ana kumbukumbu namna Kassim alivyoipata hii nafasi. Wakati jina linasomwa kwa mara ya kwanza alikuwa nje kabisa ya bunge akiendelea na shughuli zake.

Kibinadamu kabisa hakuna aliyedhania kama waziri mkuu angekuwa Kassim sababu hakuwahi kuwa hata waziri kamili wala hakuonekana mtu wa mtandao.

Kiuhalisia ni Mungu mwenyewe ndiye alimpa hii nafasi. Apangacho Mungu mwanadamu hawezi kukitengua, asimame imara kwa imani atimize majukumu yake.

Asikubali tena kubeba uchafu wowote na kuutetea bali asimame na nchi na asimamie haki. Ni bora watesi wako wakakutoa kwenye kiti kwa kusimamia haki kuliko kuondolewa kwa aibu.

Siku zote sisi wananchi ndio mahakimu..kama sio leo kesho.
Kumhusisha mwenyez MUNGU na mamb ya siasa za hovyo za bongo mnakosea san. Hakuna uchaguzi wa haki wala viongoz ni kuchaguana kulingana na mazingira ya kulindana!!
 
Back
Top Bottom