Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani mnamlazimisha mtu aishi mnavyotaka nyie na si anavyotaka yeye?Hii inawahusu wote wenye maisha ya kuigiza igiza.Unajiujua unavyo fake life.Kwenu kijijini unajua wazazi wako wanapolala,halafu wewe unajifanya huku unaishi kwenye apartment.
watu mnasubiri mpaka mpigiwe simu na wazazi wenu ili muwasaidie
Kiranga wewe unaijua hali yenu ya kule SingidaYani mnamlazimisha mtu aishi mnavyotaka nyie na si anavyotaka yeye?
Kiranga wewe unaijua hali yenu ya kule Singida
Kweli tupuUnajirusha mitandaoni maisha bora, kubadilisha magari makali, nyumba kali, Bata kwa Sana! Kumbe sirini maisha feki. Siku ya msiba mnaumbuka Mbele ya makamera!
***Msibani watu wanalia kwa mengi (aibu mixer huzuni).
Hakunaga Mchaga boyaMchaga atapambana ajenge kwao. Makabila yetu Sasa, tunahangaika na chakula cha Athuman Kichwa wazi.#tathimi_ulipotokea#
Unajua matatizo ya ndani ya hiyo familia?Your immediate family (baba+Mama mmoja) unashindwaje kuwainua na ww celebrity?
Kwa kweli mwanamme kufuatilia mwanamme mwenzako hela zake anazitumia vipi ndiyo mwanzo wa kuolewa.Mniache nifanye yangu,hela ni zangu hamjui nilipopata.
Kama umefanikiwa na husaidii kwenu we Ni mzigoUnajua matatizo ya ndani ya hiyo familia?
Au unakariri mambo kirahisi tu?
Mambo ya familia ni mengi na mazito.Kama umefanikiwa na husaidii kwenu we Ni mzigo
Watoto huficha aibu ya nyumbani kwaoMambo ya familia ni mengi na mazito.
Si haki kum judge mtu bila kujua kwa undani.
Hilo la kwanza.
La pili, mzigo ni mtu mzima ambaye hajaondoka kwa baba yake. Aliye na negative impact. Mtu mzima aliyeondoka kwa baba yake si mzigo. Unaweza kusema hasaidii kwao, lakini si mzigo.
Mtu kutosaidia kwao si sawa na kuwa mzigo. Haya ni mambo mawili tofauti.
Mzigo ni mtu mwenye negative impact kwa familia. Mtu mzima anayelishwa na baba yake ni mzigo. That is negative impact.
Mtu mzima anayemlisha baba yake, huyo ni mchangiaji kwenye hiyo familia. That is positive.
Mtu aliyejitenga na familia yake kwa sababu ambazo sisi hatuzijui, halishwi na baba yake wala hamlishi baba yake, huyo si mzigo - hana negative impact- wala si mchangiaji kwa baba yake - hana positive impact.
Wazazi wanatakiwa kujipangia maisha ya uzeeni, wasiwafanye watoto wao kuwa ni vitegauchumi vya maisha yao ya baadaye. Ukipanga hivyo halafu mtoto akafariki kabla ya mzazi utafanyaje?
Na nyie Watanzania baki msiowajua watu na familia zao kwa undani, na maisha familia hizi ilimopitia, msiwe na viherehere vya kutaka kukariri mambo na kupangia maisha watu ambao hata hamuwajui na hamjui habari za ndani za familia.
Mnaweza kulaumu mtu hajampa msaada baba yake, kumbe kuna ugomvi wa familia baba kapewa msaada kakataa.
Na hata mtu akiamua kutomsaidia baba yake mwenyewe. Ni sawa. Ni haki yake. Hela zake. Hujamsaidia kutafuta.
Sasa kwa nini unataka kumpangia mtu matumizi ya hela zake?
Akikupangia wewe matumizi ya hela zako anavyotaka yeye kinyume na unavyotaka wewe utafurahi?
Wewe unajuaje hapo ni nyumbani kwao?Watoto huficha aibu ya nyumbani kwao