Uwe maarufu au la, usijifanye una hela wakati huna! Utakuja umbuka msibani

[emoji817][emoji3581]
 
Uzuri ni kwamba ushakufa hata wakikuimba huumii wala kudhalilika
 
Inasikitisha lakini mambo yao waachie wenyewe...
 
Picha zako unapigia sehemu ya nyumba kali na masofa ya bei, ukitamba ni nyumbani, msiba ukija unatamani ardhi ipasuke! Acheni hizo!! Ni uuuuungwana?
 
Wakati tupo chuo kuna binti fulani rafiki yangu alikuwa anawafanyia dharau sana watu, siku akafiwa na mama yake wanadarasa walipoenda msibani walimsema sana maisha ya kwao yalikuwa duni wakati yeye alijidai maisha mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa jirani imetokea hivo hivo kama uliyoandika hivo unakuta mtu ana madharau kufika msibani kwao hamna kitu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…