Uwekezaji huu wa Diamond Platnumz, kamwe hatafulia kama wengi wanavyodhani

Benki ana Bilioni 5.

Lakini awe muangalifu.Walifulia akina Whitney Houston na MICHAEL Jackson sembuse Diamond wa Mbagala.

Hayati Notorioua B.I.G alishawahi kuimba ;"More Money More Problemz".
Hao unaowasema kufulia kwao ni kwa kujitakia maana walijitumbukiza kwenye dimbwi la matumizi ya madawa ya kulevya, lazma wapoteze muelekeo.
 
Team kiba wazee wamajungu katika ubora wake
 
Ujue namimi natamani siku moja niwe upande wa wanaopenda Mtanzania mwenzao mchapakazi afulie.... Maana sijui inakuaje yani au unajisikiaje... Isije ikawa wanaenjoy peke yao.
 
Nasib Abdul ni mfano mzuri sana kwa vijana tujifunze kwake
 
Nyumba ya South Africa iko kwa jina lake?
uwekezaji wa brand ya hawara sio guaranteed..
siku mkimwagana hupati hata senti....hawara sio mke
Diamond sio mjinga kiasi hicho. Hivi ulimsikia hata ile kuwa Video Queen wa Utanipenda jamaa alimlipa pesa like anyone else ingawaje Zari mwenyewe alitaka kufanya for free! Unadhani kwanini alifanya hivyo? It's a message kwamba "this's my job and not our job!" Asije kesho na kesho kutwa akadai hata kazi walikuwa wanashirikiana!! Hata kama sijaona hati but am certain nyumba itakuwa na jina la Tiffa! Hawezi kuwa bwege aandike jina la Zari!!
 

Unaitwa nani?
 
Nikihesabu umri wangu na bwana mdogo naaweza kumlinganisha na first born wangu japokua kamzidi miaka mitatu hakika anastahili pongezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…