Uwekezaji nyumba za kupanga

Uwekezaji nyumba za kupanga

Mafurushi ya Mchanga
๐Ÿ ๐Ÿ ๐Ÿ ๐Ÿ ๐Ÿ ๐Ÿ ๐Ÿ ๐Ÿ ๐Ÿ 
Kujenga kusikieni...jikoni kwangu nilimleta fundi yaan zile vurugu nizotaka aweke jikoni iliangukia kwenye 5m!...
 
Nadhani tusikariri tu mpesa au tgops au maduka ya nguo ..hata samaki wabichi return yake ni kubwa tu...almost 50/50!
Yah..cha muhimu ni kucheza na principle za kuanzisha biashara.usiskip hata moja..kama research fanya..ndomana wajanja wanaanzia sokon..yaan unaingia mtaan unaangalia hapa kinahitajika nin unaweka..kuna dada mmoja yuko pale goba centre mi nanunuaga samak wabich kwake ...anauza yule dada had kuna siku nilimwambia ndugu yangu nifundishe hii biashara namii nitafte chocho langu niweke centre kama yako hvyo hvyo...na mzigo wa kuanzia ninunue kwako akasema sawa haina shida...yule dada ukienda pale watu wanajazana had unashangaa..halaf ana samak wale ma giant...samak mref kuliko freezer..kichwa kama ndoo...ni ku point location na uhitaj tu...mim skuhiz nna mbinu zangu za ku spot maeneo ya biashara ambayo nmeona ina work saanaaa.
 
Yah..cha muhimu ni kucheza na principle za kuanzisha biashara.usiskip hata moja..kama research fanya..ndomana wajanja wanaanzia sokon..yaan unaingia mtaan unaangalia hapa kinahitajika nin unaweka..kuna dada mmoja yuko pale goba centre mi nanunuaga samak wabich kwake ...anauza yule dada had kuna siku nilimwambia ndugu yangu nifundishe hii biashara namii nitafte chocho langu niweke centre kama yako hvyo hvyo...na mzigo wa kuanzia ninunue kwako akasema sawa haina shida...yule dada ukienda pale watu wanajazana had unashangaa..halaf ana samak wale ma giant...samak mref kuliko freezer..kichwa kama ndoo...ni ku point location na uhitaj tu...mim skuhiz nna mbinu zangu za ku spot maeneo ya biashara ambayo nmeona ina work saanaaa.
Samaki hata whtsap unauza huku umekaa sebulen kwako...! Kucheza na soko vzr tu...!
Thats all!
 
Kujenga kusikieni...jikoni kwangu nilimleta fundi yaan zile vurugu nizotaka aweke jikoni iliangukia kwenye 5m!...
Ukitaka ujenge bila stress....kama mdadisi ..hakikisha mambo haya unayafaham
1.hatua za ujenz..yaan unaanza phase ya kwanza kama msingi then unapandisha had lenta then unaenda maliza unapaua..hzo phase hapo kila moja ina gharama zake..fund mwingne anaweza kwambia mi msing had lenta kumaliza kias flan mfano kwa Dar hyo hatua kwa nyumba za kawaida tu vyumba vi3 .raman kawaida.mafund weng wanachkua 1.5m n less...kwa sis wazoef tunawapa had 1.2m au 1.1m..ukienda kupaua na kuendelea kila moja ina hatua zake na bei zake so ukizijua hzo hatua na bei zake fund hakusumbui.

2.ujue kuplan manunuz ya material na ujue machocho ya bei za jumla...kkoo mi nna kona zangu hzo ukienda bei unashangaa..ma gypum.sjui tiles.ma sink ya choon etc .vifaa vya umeme unaingia mtaa wa gogo pale..sjui takataka gan..vifaa vya bomba etc..nauziwa bei ya jumla kama naenda uza namim..sasa ukizijua hzo kona..unajenga nyumba nzur mtu akiiangalia anasema hii nyumba 60m..kumbe ni 45m or even less
 
Ukitaka ujenge bila stress....kama mdadisi ..hakikisha mambo haya unayafaham
1.hatua za ujenz..yaan unaanza phase ya kwanza kama msingi then unapandisha had lenta then unaenda maliza unapaua..hzo phase hapo kila moja ina gharama zake..fund mwingne anaweza kwambia mi msing had lenta kumaliza kias flan mfano kwa Dar hyo hatua kwa nyumba za kawaida tu vyumba vi3 .raman kawaida.mafund weng wanachkua 1.5m n less...kwa sis wazoef tunawapa had 1.2m au 1.1m..ukienda kupaua na kuendelea kila moja ina hatua zake na bei zake so ukizijua hzo hatua na bei zake fund hakusumbui.

2.ujue kuplan manunuz ya material na ujue machocho ya bei za jumla...kkoo mi nna kona zangu hzo ukienda bei unashangaa..ma gypum.sjui tiles.ma sink ya choon etc .vifaa vya umeme unaingia mtaa wa gogo pale..sjui takataka gan..vifaa vya bomba etc..nauziwa bei ya jumla kama naenda uza namim..sasa ukizijua hzo kona..unajenga nyumba nzur mtu akiiangalia anasema hii nyumba 60m..kumbe ni 45m or even less


Safi
 
Samaki hata whtsap unauza huku umekaa sebulen kwako...! Kucheza na soko vzr tu...!
Thats all!
Samaki ni biashara nzuri, Kuna mshkaji wangu anaifanya, anasambaza kwenye mahoteli na ana meza pale barabara ya kwendea kwa mkuu wa majeshi Waitara,

jamaa anapiga hela Kama masihara
 
Kumbe umeambiwa? Nilifikiri ndio gharama umetumia kujenga hilo jiko.
Ni hivi..nilitaka kuweka decorations jikoni kwangu nikamwita fundi akapga hesabu kila kitu 5m! Nikaghairi...nikawek nilichoweza
 
Uwekezaji wowote unaamuliwa na chanzo cha mtaji, eneo, uelewa wa mwekezaji na UMRI.
Anyway! Sipo tayari kuizika hiyo hela kwenye nyumba.
Kuna investment za wazee na vijana. Hiyo ni ya wazee
 
Ni hivi..nilitaka kuweka decorations jikoni kwangu nikamwita fundi akapga hesabu kila kitu 5m! Nikaghairi...nikawek nilichoweza
Hata mie nilitaka kusangaa wala si kushangaa! Ukidecorate jiko hukosi 30M maana marble na makabati ya mininga etc ni ghali ajabu. Nyumba za kupangisha ni upuuzi mtupu.

Natoa mfano, Zile nyumba za Dodoma NHC Iyumbu zilikuwa zinauzwa 70M; kuna ndugu yangu alikuwa mpangaji hapo analipa 300,000/= kwa mwezi.

Hivyo ukichukua 70M ukigawa kwa 300K ni miezi miezi 233.3333 kurudisha pesa yake. Ukigawa kwa 12 ni miaka 19.444. Hivyo ili hela yako irudi itachukua miaka tuseme 20.

Kwenye miaka 20 hiyo kuna repair ambayo kama wapangaji ni watunzaji ni kila miaka 5 lazima ufanye repair ambayo ni 5% ya gharama za ujenzi. Mpaka hapo, je utakubalina nami kuwa kujenga nyumba ya kupanga ni upuuzi!
 
Hata mie nilitaka kusangaa wala si kushangaa! Ukidecorate jiko hukosi 30M maana marble na makabati ya mininga etc ni ghali ajabu. Nyumba za kupangisha ni upuuzi mtupu.

Natoa mfano, Zile nyumba za Dodoma NHC Iyumbu zilikuwa zinauzwa 70M; kuna ndugu yangu alikuwa mpangaji hapo analipa 300,000/= kwa mwezi.

Hivyo ukichukua 70M ukigawa kwa 300K ni miezi miezi 233.3333 kurudisha pesa yake. Ukigawa kwa 12 ni miaka 19.444. Hivyo ili hela yako irudi itachukua miaka tuseme 20.

Kwenye miaka 20 hiyo kuna repair ambayo kama wapangaji ni watunzaji ni kila miaka 5 lazima ufanye repair ambayo ni 5% ya gharama za ujenzi. Mpaka hapo, je utakubalina nami kuwa kujenga nyumba ya kupanga ni upuuzi!
Huku nakoishi kuna mchwa balaa..so hatutumii mbao..unajengelea kwa cement!.
So nikaamua kujengelea mbwembwe zingine nikapga chini...kifup ni hasara mno! Nyumba ikukost 70m uje uipangishe kqa 300k?
 
Back
Top Bottom