Uwekezaji nyumba za kupanga

Uwekezaji nyumba za kupanga

Aya binti, baki na unachokiamini,
tunasubiria wewe uje kujenga hekalu lako uwe unalipia na Kodi,

hata sisi pia tulikuwa na ujuaji Kama wewe, enzi izo Rafki yako akijenga", unamuambia Mimi siwezi kujenga kibanda Kama iko, nataka nije kujenga bongeee la sefucontina nikiwa na pesa ya pamoja,tena wiki tu nahamia"!
Mzee mwenzangu nini tena? Mjadala hapa ni nyumba za kupangisha vs biashara zingine...je uzike 60m every month upokee 300k au bora hiyo hela ukaipeleka kwenye mambo mengine?
Mfano hai ambao naupractice hii 60m mfano wewe unipe mimi😀...uhakika wa kupata 5-10m as faida kwa mwezi ni mkubwa sana...na sio mishe za dhahabu ni mishe zingine kbs..je ww kwa mwaka utakua umekusanya ngap?3.6m! Imagine!
 
Haha , hamna mkuu , namdadisi niingie huko ila info anazonipa hazi add up,
Mtu anakwambia nyumba za kuoangisha zinalipa so and so halafu hakwambii ni wapi huo mradi una shine.
Unaweza kuta amejenga kwenye kiwanja cha urithi masaki huko , akaniweka busy na yasiyowezekana.
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli kabisa

Wengine unakuta sio kiwanja tu , karithi jengo nzima, haja wekeza chochote , so pesa ikiingia kwake ni faida

Gharama zake ni ukarabati tu na pengine anaweza pita hadi miaka minne hajafanya , au mpaka wapangaj walalamike ndio anafanya
 
Real estate huwa inafanywa na developers ambazo huwa ni kampuni zenye mitaji mikubwa na ambao hujenga makazi mengi yaani estates kisha kuziuza nyumba aidha kwa cash au mortgage kwa ushirikiano na mabenki mfano mzuri wa sekta hii inavyofanyika ni hapo 254.

Hii ya kibongo bongo kwamba mtu binafsi anamtaji mdogo anajenga nyumba moja au 2 kupangisha hailipi sababu hata hao developer wakubwa wanapata faida kwa kuuza na sio kupangisha. Tatizo nchi haina sheria zinazowabana developers, sababu huko kwingine developer lazima aweke miundombinu yote ikiwemo maji safi na taka, barabarabza mtaa n.k

Kwa mazingira yetu italipa tu kama una kiwanja kwenye eneo zuri (prime location) ambapo unaweza kutoza kodi kubwa, kinyume na hapo ni kuweka mtaji tu au pesa kuzihifadh lakini sio kupata faida.

TASK FORCE soma hapa mzee mwenzangu🤗
 
Aya binti, baki na unachokiamini,
tunasubiria wewe uje kujenga hekalu lako uwe unalipia na Kodi,

hata sisi pia tulikuwa na ujuaji Kama wewe, enzi izo Rafki yako akijenga", unamuambia Mimi siwezi kujenga kibanda Kama iko, nataka nije kujenga bongeee la sefucontina nikiwa na pesa ya pamoja,tena wiki tu nahamia"!
Mbona unateseka sana,

Naona una ni provoke kwa kuniita binti ,!!! I aint that kind of people , sana sana naona huna hoja .
Have a good day bro
 
Lodge hata mie naifikiria sana kama retirement plan yangu baada ya kuhangaika sana ,

Tatizo wife !! Na ulokole wake , anazingua kweli na project za kutengeneza dhambi
Wasabato kibao wana lodge mkuu..! Wala usihofu..usifikirie ni kwaajili ya dhambi tu...all the best
 
Biashara ya nyumba inalipa kwa Kodi za dar sasaivi,

Kuna sehemu nna chumba sebule ,chumba sebule *4 kwa mwezi nakula Kodi laki na nusu kwa miezi sita sita, sawa na 3600,000/= kwingine chumba choo ndani Kodi efu sabini, vipo vyumba nane, etc.

Kwa kifupi nyumba zinalipa,inategemea umejenga maeneo gani, nyumba ni biashara kwasasa//

Ukiwasikiliza wajinga wa humu ,hutojua faida iliyopo kwenye biashara ya nyumba

We endelea na kusubiria upewe hesabu mtu katumia kiasi kujenga,
Ukija kushtuka umri umeenda na bado upo kwenye nyumba za kupanga, ela za mafao ndio unaenda kujengea au ukanunue gari bovu likumalize kabisa kwa stroke,baada ya hapo unaenda kuwa mlinzi wa kulinda kwa virungu,

mkuu biashara ya nyumba haijawai kumuungusha mtu,

Kuna watu Town hapa wanakula bata kila siku kwa hela za kodi tu, na kwa Kodi za sikuizi ukiwa na nyumba kadhaa,usishangae kila mwaka unanunua ardhi kutokana na makusanyo ya Kodi,

kuna sehemu hapa dar chumba kimoja chenye choo ndani na jiko Kodi ni 100,000/= hadi 120000/=
Hizo sehem prime unafika tuu na kujenga nyumba ya kupanga bila kununua ardhi..yaan uende mwenge au makumbusho au sinza au wap sjui sehem ambayo ni nzur kwa kupangisha upate kiwanja cha mil 2....ni hiv mkuu hyo biashara ya kupangisha hakuna aliesema mbaya...ishi ni kwamba..una malengo gan na una umri gan..mim under 33 huwez nipa 150m nikaenda jenga nyumba za kupanga..sabab ili nyumba za kupanga kwa hela hyo zikulipe vzur..lazima ununue kiwanja au uwe na kiwanja eneo zuri.na eneo zuri kupata kiwanja kikubwa si chini ya mil30...na hiko ukinunue kigambon huko mbele au kinyerez ndan ndan au goba ndan mbele huko na uhangaike kwel kupata sehem ambayo ukisema kodi 150k kwa chumba sebule mtu alipe..sio unajenga mbal huko halaf unaanza pata kod za lak laki...haya vunja hyo hela 120m unapata vidude vingap..tuseme umepata vidude 6..×150k=900k....sasa hyo lak9 kwa mwez kwa mzee mstaaf ni sawa ila si kwa mim kijana mdogo....na hapo hvyo ni viwango vya juu..huwez pata eneo prime kubwa kwa bei hyo ya 30m...labda uende chanika.na chanika upate mteja wa kulipa 150k...ni shugul....ok sasa hyo lak 9 kwa mtaj wa 150m...ni uchiz kwa kijana mwenye nguvu na elim ni biashara mbovu.

Vibanda viwil vitatu vya tigopesa mpesa vyenye mtaj usiozid mil6 au hata maduka flan ambayo yamezingatia vigezo na masharti na mtaj usiozid mil6 yanakupa hyo hela fasta hata mwez hauishi.

Kwahyo kwa kijana mwenye nguvu.kuwekeza 150m..kwenye nyumba sio akil. Ni mazoea
 
Hizo sehem prime unafika tuu na kujenga nyumba ya kupanga bila kununua ardhi..yaan uende mwenge au makumbusho au sinza au wap sjui sehem ambayo ni nzur kwa kupangisha upate kiwanja cha mil 2....ni hiv mkuu hyo biashara ya kupangisha hakuna aliesema mbaya...ishi ni kwamba..una malengo gan na una umri gan..mim under 33 huwez nipa 150m nikaenda jenga nyumba za kupanga..sabab ili nyumba za kupanga kwa hela hyo zikulipe vzur..lazima ununue kiwanja au uwe na kiwanja eneo zuri.na eneo zuri kupata kiwanja kikubwa si chini ya mil30...na hiko ukinunue kigambon huko mbele au kinyerez ndan ndan au goba ndan mbele huko na uhangaike kwel kupata sehem ambayo ukisema kodi 150k kwa chumba sebule mtu alipe..sio unajenga mbal huko halaf unaanza pata kod za lak laki...haya vunja hyo hela 120m unapata vidude vingap..tuseme umepata vidude 6..×150k=900k....sasa hyo lak9 kwa mwez kwa mzee mstaaf ni sawa ila si kwa mim kijana mdogo....na hapo hvyo ni viwango vya juu..huwez pata eneo prime kubwa kwa bei hyo ya 30m...labda uende chanika.na chanika upate mteja wa kulipa 150k...ni shugul....ok sasa hyo lak 9 kwa mtaj wa 150m...ni uchiz kwa kijana mwenye nguvu na elim ni biashara mbovu.

Vibanda viwil vitatu vya tigopesa mpesa vyenye mtaj usiozid mil6 au hata maduka flan ambayo yamezingatia vigezo na masharti na mtaj usiozid mil6 yanakupa hyo hela fasta hata mwez hauishi.

Kwahyo kwa kijana mwenye nguvu.kuwekeza 150m..kwenye nyumba sio akil. Ni mazoea

TASK FORCE mimi leonkazi yangu kukutag tu njoo usome hapa
 
Wala tusitiane unyonge na visasi,, hatujuani na hii ni forum tu
60 millions unazika ili upate faida ya 7 millions kwa mwaka , ambayo kuna uwezekano hata kodi hujalipa , ni matumizi mabaya sana ya pesa zako .
Achana nae huyo maskin tu..huyo kabahatika kurith mjengo tandika au sinza kaukarabat anavuta kodi hzo...

Sasaa hiv upate 150m..ukanunue sinza kiwanja si hela imeisha..ukienda huko kinzud anakosema salasala..kiwanja kizur cha hzo apartment kadhaa za kawaida si chin ya mil40...sasa hyo hela unabak ngap..halaf mwisho wa siku unachkua kiwanja kidogo unajenga vidude vichache mwisho wa siku kodi hzo kwa uwekezaj wa 150m unapata labda 1m n less..kwa kijana kama mim ni upumbavu..labda kama jamaa umr wake umeenda...mi mzee wangu ana nyumba hzo hazihesabik..kuna muda anasema dah hapa nimechimbia hela tu mtafaidika nyie sio mim.na ni kwel. Ila umr wake umeenda ..ila kwa kijana kama mim mbichi kuchimbia hela zote hzo ni akili ya kivivu.
 
Hizo sehem prime unafika tuu na kujenga nyumba ya kupanga bila kununua ardhi..yaan uende mwenge au makumbusho au sinza au wap sjui sehem ambayo ni nzur kwa kupangisha upate kiwanja cha mil 2....ni hiv mkuu hyo biashara ya kupangisha hakuna aliesema mbaya...ishi ni kwamba..una malengo gan na una umri gan..mim under 33 huwez nipa 150m nikaenda jenga nyumba za kupanga..sabab ili nyumba za kupanga kwa hela hyo zikulipe vzur..lazima ununue kiwanja au uwe na kiwanja eneo zuri.na eneo zuri kupata kiwanja kikubwa si chini ya mil30...na hiko ukinunue kigambon huko mbele au kinyerez ndan ndan au goba ndan mbele huko na uhangaike kwel kupata sehem ambayo ukisema kodi 150k kwa chumba sebule mtu alipe..sio unajenga mbal huko halaf unaanza pata kod za lak laki...haya vunja hyo hela 120m unapata vidude vingap..tuseme umepata vidude 6..×150k=900k....sasa hyo lak9 kwa mwez kwa mzee mstaaf ni sawa ila si kwa mim kijana mdogo....na hapo hvyo ni viwango vya juu..huwez pata eneo prime kubwa kwa bei hyo ya 30m...labda uende chanika.na chanika upate mteja wa kulipa 150k...ni shugul....ok sasa hyo lak 9 kwa mtaj wa 150m...ni uchiz kwa kijana mwenye nguvu na elim ni biashara mbovu.

Vibanda viwil vitatu vya tigopesa mpesa vyenye mtaj usiozid mil6 au hata maduka flan ambayo yamezingatia vigezo na masharti na mtaj usiozid mil6 yanakupa hyo hela fasta hata mwez hauishi.

Kwahyo kwa kijana mwenye nguvu.kuwekeza 150m..kwenye nyumba sio akil. Ni mazoea
Nadhani tusikariri tu mpesa au tgops au maduka ya nguo ..hata samaki wabichi return yake ni kubwa tu...almost 50/50!
 
Mkuu

Kwa mahesabu ya harakaharaka hapo ni umewekeza 155000000 kwa income ya 1000000 kwa mwezi sawa na 33000 kwa siku..hapo ni sawa kweli! Hujanishawishi bado.
Na bado anaanza kusubiri returns, according to his words!!
 
Back
Top Bottom