Uwekezaji nyumba za kupanga

Mkuu

Kwa mahesabu ya harakaharaka hapo ni umewekeza 155000000 kwa income ya 1000000 kwa mwezi sawa na 33000 kwa siku..hapo ni sawa kweli! Hujanishawishi bado.
unaidharau 33 wewe? ngoja uzeeke ukiwa huna pesa utaona hata elfu 2 ni kubwa,lakini kaa na hiyo 155 uliyosema uone kama utatoboa nayo uzeeni
 
unaidharau 33 wewe? ngoja uzeeke ukiwa huna pesa utaona hata elfu 2 ni kubwa,lakini kaa na hiyo 155 uliyosema uone kama utatoboa nayo uzeeni
Mkuu vitoto ivyo kichwani empty,
 
Huku nakoishi kuna mchwa balaa..so hatutumii mbao..unajengelea kwa cement!.
So nikaamua kujengelea mbwembwe zingine nikapga chini...kifup ni hasara mno! Nyumba ikukost 70m uje uipangishe kqa 300k?
Nyumba ya milioni sabini halafu mbona ni ya kawaida sana,, Tena iyo unakula Laki Tano kwa mwezi sio laki tatu,

Unajenga nyumba moja, ila ya kukaa familia mbili upande mmoja familia nyingine ,na upande mwingine familia nyingine.


upande mmoja inakuwa na vyumba viwili, kimoja ni master bedroom, sitting room, dinning room, kitchen,
Na upande mwingine pia ivyo.

aisee nyumba za kupangisha zinalipa sana,, unajikuta Kama unakula mshahara wa mbunge kwa mwezi ukiwanazo nyumba kadhaa.

ukisikiliza much know wa humu jamiiforums,,wallah utaishia kukaa nyumba za kupanga, au La utapoteza pesa zako kwa biashara za kipuuzi
 


Nakuelewa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…