Uwekezaji: PPF yaendeleza eneo la ekari 5 jijini Dar

Kiwanja ni kikubwa sana zamani kulikuwa na kampuni ya kufyatua matofali pale... Kwa eneo lile dola milion 8 siwezi kubisha
mkuu mark my word gharama ya hiyo kiwanja haiwez kuzid 1m usd tatizo ni hiyo chain ya kuanzia mwenye kiwanja ,dalali, mkurugenzi , nadhani hata katibu mkuu wa fedha anahusika hapo
haya mashirika ndio maana yanafilisika
na ndio maana rais alisema yale madeni yasilipwe kwanza yahakikiwe
 
Kiwanja ni kikubwa sana zamani kulikuwa na kampuni ya kufyatua matofali pale... Kwa eneo lile dola milion 8 siwezi kubisha
Alafu wenye viwanja na nyumba za kawaida ukanda ule watakuja piga hela sana, maana ule ukanda utakuja kuwa wa magorofa mpaka huku TCRA.
 
Nadhani tuambiwe hilo eneo hapo lina ukubwa gani?

Kwa Billioni 16 nategemea kwa bei ya kifisadi kabisa kiwanja kina ukubwa wa hekta tatu hivi. Kinyume na hapo ni wizi wa wazi kabisa.
 
Alafu wenye viwanja na nyumba za kawaida ukanda ule watakuja piga hela sana, maana ule ukanda utakuja kuwa wa magorofa mpaka huku TCRA.
Sana si umeona pale jirani landmark anajenga showroom ya maduka ya kisasa... Within 10yrs hili eneo litakuwa juu sana
 
Sana si umeona pale jirani landmark anajenga showroom ya maduka ya kisasa... Within 10yrs hili eneo litakuwa juu sana
Vipi wewe umepanga hapo au ndo wale wanaovuta pumzi waje uza nyumba/ viwanja vyao mabilioni ya hela?
 
kama 8m usd kwa exchange rate ya sasa
2200x8000000=17b
nadhani unaweza kuinunua stand ya ubungo yote na change inabaki
waache kuchezea hela zetu ndio maana hiyo mifuko inafilisika
 
Aliyeuyza kiwanja anapaswa kuchunguzwa na kulipa kodi
 

Hapo mahali hakuna uwanja wa thamani hiyo.
 
Ngoja wanaokijua hicho kiwanja waje watueleze vizuri, huwezi jua labda ni eneo lote linalopakana na barabara ya Sam Nojuma kutoka pale njia ya kwenda TRA-Mwenge mpaka kwenye taa za njia ya kuelekea Sinza makaburini!
 
Sana si umeona pale jirani landmark anajenga showroom ya maduka ya kisasa... Within 10yrs hili eneo litakuwa juu sana
halafu nyie acheni kutetea wezi mkishaa kula MLUNGULA mnakimbilia huku kuja kupima upepo watu wanasema nin. ilo eno limeshaakuwa juu sikunyingi tu hata bila kuwepo hiyo landamark maduka ya kisasa kama unavyodai na uwekezaji wa namna hiyo ni wa kijinga ni sawa na wale wa mahotel wanaotegemea wafanye biashara na serikali kwenye kumbi zao za mahotel lakin kutoa 16bilion kwa ajili ya kununua kiwa kiasichozidi 4000sqm ni matumizi mabaya ya pesa za umma nadhani hatua sahihi zitachukuliwa na DR JPM
 
Ngoja wanaokijua hicho kiwanja waje watueleze vizuri, huwezi jua labda ni eneo lote linalopakana na barabara ya Sam Nojuma kutoka pale njia ya kwenda TRA-Mwenge mpaka kwenye taa za njia ya kuelekea Sinza makaburini!
Wee unaongelea kiwanja gani?? Hiki kipp pale nafikiri kituo cha basi kivulini kwa wale wa kina sisi wa daladala, utaona kimezungusjiwa uzio na nondo zimetanda na mawinch yako juu.
 
hii kampuni na ccm ni dugu moja maana hata kipindi inajenga barabara ya tegeta jpm aliichimba mkwara lakini mwisho wa siku kanywea
 
dah umemaliza mkuu, hutowaona wale waliokuwa wakimkandia dr dau humu, wanachungulia tu
Tupeni ushahidi ya dau ushahidi upo ni audit report ya 2014/14 sasa mkianza kuchokonoa tutaweka na Picha za nyumba anazomiliki TZ na london
 
Hawa jamaa hawana uchungu na hela maana wanazikusanya bila jasho na huku mfanyakazi anayekatwa anasitaafu akiwa hana hata kibanda cha kulala, amekatwa makato makubwa na kodi zisizopimika, inauma sana!
 
Wee unaongelea kiwanja gani?? Hiki kipp pale nafikiri kituo cha basi kivulini kwa wale wa kina sisi wa daladala, utaona kimezungusjiwa uzio na nondo zimetanda na mawinch yako juu.
Kiwanja chochote maeneo hayo japo sipafahamu vizuri hakiwezi kufikia bei hiyo, labda kama UDSM wameamua kukumilikisha nusu ya eneo lao lote. Ndio maana nikasema labda kama ni kutoka kwenye traffic light za kwenda Sinza makaburini mpaka round about ya Mwenge njia panda ya kwenda TRA/NMB.
Na kumbuka hii ni pesa ya shirika la umma, labda kama wamegundua kiwanja hicho kina deposit ya almasi au gemstones.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…