ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,114
Ni kiwanja cha mpira (stadium) au cha kujenga?
Je kina ukubwa gani?
Mbona hawa watu wanatumia hela ovyo hivi
Ni matumizi mabaya ya fedha za wanachama. Kuna wanachama wastaafu wanalipwa pesheni ya tzs 50,000 kwa mwezi na hayo maghorofa mengi hayana hata wapangaji. Hii Mifuko ya hifadhi za jamii kweli imekuwa shamba la bibi na SSRA wako tu wanajilipa mishahara makubwa! Waweke fedha zetu kwenye dhamana za serikali zenye riba kubwa ili pensheni ya chini iwe sawa na kima cha chini cha mishahara.