Uwekezaji Simba: Wako wapi wawekezaji wengine wawili waliotajwa kwenye kanuni za Tume ya Ushindani?

Uwekezaji Simba: Wako wapi wawekezaji wengine wawili waliotajwa kwenye kanuni za Tume ya Ushindani?

Comment yako ipo nje ya Mada. Ulipaswa kunyamaza au utokuwa Member kutokana na mawazo yako hayo
Hapana, watz tumezidi makelele sana wakati simba hohehae hukwenda kuwasaidia chochote lakini kajitokeza mtu anafanya nao biashara unapiga makelele, hivi unazani ukijitokeza leo na deal la trilioni 2 simba watakukatalia? Mna mneno mengi bila vitendo
 
Hama timu, mbona zipo nyingi tu.
 
Hapana, watz tumezidi makelele sana wakati simba hohehae hukwenda kuwasaidia chochote lakini kajitokeza mtu anafanya nao biashara unapiga makelele, hivi unazani ukijitokeza leo na deal la trilioni 2 simba watakukatalia? Mna mneno mengi bila vitendo

Kuisaidia Simba ni Jambo moja.

Kuitumia Simba kiujanjaujanja ili kufanikisha Malengo yako ni jambo jingine. Haimaanishi kila Mwenye fedha adhulumu au kuwanyonya watu kwa sababu ya shida zao. Si sawa kununua timu na kuhodhi kila kitu kiujanjaujanja. Bosi wa timu ni mwenye 51% ambaye ni Mwenyekiti wa wanachama.
FCC walikataa kuitambua nafasi ya CEO , ambayo Mo ndo ameilazimisha ili kufanikisha malengo yake.

UTAPELI
 
Kuisaidia Simba ni Jambo moja.

Kuitumia Simba kiujanjaujanja ili kufanikisha Malengo yako ni jambo jingine. Haimaanishi kila Mwenye fedha adhulumu au kuwanyonya watu kwa sababu ya shida zao. Si sawa kununua timu na kuhodhi kila kitu kiujanjaujanja. Bosi wa timu ni mwenye 51% ambaye ni Mwenyekiti wa wanachama.
FCC walikataa kuitambua nafasi ya CEO , ambayo Mo ndo ameilazimisha ili kufanikisha malengo yake.

UTAPELI
Mkuu kwanini huendi mahakamani kupinga haya? Ndio maana hizi naziita kelele ambazo haziisaidii chochote simba wala wewe
 
Kuisaidia Simba ni Jambo moja.

Kuitumia Simba kiujanjaujanja ili kufanikisha Malengo yako ni jambo jingine. Haimaanishi kila Mwenye fedha adhulumu au kuwanyonya watu kwa sababu ya shida zao. Si sawa kununua timu na kuhodhi kila kitu kiujanjaujanja. Bosi wa timu ni mwenye 51% ambaye ni Mwenyekiti wa wanachama.
FCC walikataa kuitambua nafasi ya CEO , ambayo Mo ndo ameilazimisha ili kufanikisha malengo yake.

UTAPELI
Mkuu kwanini huendi mahakamani kupinga haya? Ndio maana hizi naziita kelele ambazo haziisaidii chochote simba wala wewe
 
Mkuu kwanini huendi mahakamani kupinga haya? Ndio maana hizi naziita kelele ambazo haziisaidii chochote simba wala wewe

Kwani ukiacha kusoma huu uzi na wewe utapungukiwa nini.

Ndo maana nakuona Mganga njaa unayeamini Fedha zinaweza hata kumfanya mtu apoteze haki yake
 
Kwani ukiacha kusoma huu uzi na wewe utapungukiwa nini.

Ndo maana nakuona Mganga njaa unayeamini Fedha zinaweza hata kumfanya mtu apoteze haki yake
Kati yangu na wewe nani mganga njaa? Hata ukimuonea wivu Mo haitasaidia kupunguza umasikini wako
 
Mtaelewa tu.

Huyu si mwekezaji , ni mjanjamjanja tu

Sasa alichomfanyia CCC ni heshima?
 
Tatizo la huu mjadala yeyote anayehoji kuhusu Mambo ya kimkataba anaonekani ni Chura au utopolo na kuzimwa ghafla. Wanasimba tumeamua kutia Pamba masikioni kama tuko kwenye honeymoon tukifurahia mahusiano. What about the Dark days?

Tuliambiwa katika kanuni za huu mchakato wa uwekezaji wa Klabu ya Simba kanuni zinataka kuwe na wawekezaji watatu watakaogawana hiyo 49% . Ikumbukwe hata Bakhresa alitaka naye kuwekeza kupitia hizo kanuni akapotezewa. Swali ni kuwa huu mchakato wa uwekezaji wa Simba Sc uliwekwa kumkumbatia mtu mmoja?.. Kwa nini usitangazwe kama Hisa then watu waBID kuzinunua kupata hizo kampuni 3.

Anyway nakubali labda kuna imani kubwa kwa wanasimba kwa MO sababu pia ni mpenzi mkubwa wa mpira wa Miguu.

Tume ya Ushindani ilitaka kuwe na wawekezaji watatu kama kanuni zinavyosema. Mbona Mo ametoa 20B yeye mwenyewe kununua hizo 49% zote?

Je wanasimba hamuoni kuwa hili suala litakuwa na mgongano wa kisheria hapo mbele?, hamuoni kuwa utakuwa uwekezaji batili?

Kibaya Mtakuja na mihemko ya mabanda ya mpira kuliko kujibu hoja mtaanza kumshambulia mtoa hoja. Tufikirie Simba ya 2035 itakuwaje kama tukiingia mikataba ya hovyo mfano huu wa kuuza timu kiholela.
Kutoka maktaba
 
Back
Top Bottom