physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 859
- 1,036
Kweli kabisa.Na kutumia akili ni muhimu.Habari zikija zinakuja kuwa bandari yote wamepewa DP,wakati ni berth 4 kati ya 12.Na sio wamepewa,ni kuwekeza,kuwekeza ni tofauti na kupewa.Hii ni mihemko Jazz Band !!
Watu wengi hudhani kila kinachoandikwa mitandaoni ni cha kweli !!
Habari nyingi kwenye mitandao hata hiyo mitandao ya habari ya nje ni uongo tu ndio unatawala !!
Habari ni Silaha ! Kwahiyo kila mtoa habari huwa anaangalia maslahi yake katika hiyo habari anayotaka kuitoa !!
Vita vya Uchumi ! Kila muamba ngozi huvutia upande wake !! [emoji120][emoji120]
Hatushindwi kuziendesha bandari zetu wenyewe.Kweli kabisa.Na kutumia akili ni muhimu.Habari zikija zinakuja kuwa bandari yote wamepewa DP,wakati ni berth 4 kati ya 12.Na sio wamepewa,ni kuwekeza,kuwekeza ni tofauti na kupewa.
Magufuli alikataa msaada wa bure kutoka MCC wenye thamani ya Usd million 700.Watanzania sijui akili zetu zikoje.
Kwanini hatujui thamani halisi ya rasilimali zetu?
Dpw wameahidi kuwekeza usd 250 mil na kuchukua bandari yetu.
Na fedha hizo sio kama wanawekeza kwa mkupuo, bali ni kwa miaka kadhaa.
Tanzania kama nchi hatushindwi kupata kiasi hicho cha fedha.
Hata kishika uchumba cha Barrick tulichokuwa tunakidharau ni usd 300 mil.
Pia sisi wenyewe tulishafanya uwekezaji mkubwa wa kuboresha bandari ambao ni zaidi ya fedha alizoahidi Dpw.
Kwa habari zaidi fuatilia link hapo chini.
How DP World investment contributes to Tanzania's growing port potential
Dar es Salaam Port manages approximately 95% of the country's international trade, extending its reach to serve seven landlocked countries.venturesafrica.com
" Amepewa Mwekezaji"🐼Kweli kabisa.Na kutumia akili ni muhimu.Habari zikija zinakuja kuwa bandari yote wamepewa DP,wakati ni berth 4 kati ya 12.Na sio wamepewa,ni kuwekeza,kuwekeza ni tofauti na kupewa.
Hakuna Bure Duniani Zaidi ya Hewa tunayovuta tukiwa Wazima, ukiumwa hata Hewa utauziwa!Magufuli alikataa msaada wa bure kutoka MCC wenye thamani ya Usd million 700.
Aliyeturoga kafa na kaburi lake halijurikani lilipo kama la Ghaddafi na Osama.
Huyu mswahili anauza nchi vizuri akimaliza anarudi kwaoWatanzania sijui akili zetu zikoje.
Kwanini hatujui thamani halisi ya rasilimali zetu?
Dpw wameahidi kuwekeza usd 250 mil na kuchukua bandari yetu.
Na fedha hizo sio kama wanawekeza kwa mkupuo, bali ni kwa miaka kadhaa.
Tanzania kama nchi hatushindwi kupata kiasi hicho cha fedha.
Hata kishika uchumba cha Barrick tulichokuwa tunakidharau ni usd 300 mil.
Pia sisi wenyewe tulishafanya uwekezaji mkubwa wa kuboresha bandari ambao ni zaidi ya fedha alizoahidi Dpw.
Kwa habari zaidi fuatilia link hapo chini.
How DP World investment contributes to Tanzania's growing port potential
Dar es Salaam Port manages approximately 95% of the country's international trade, extending its reach to serve seven landlocked countries.venturesafrica.com
Naomba uzae na Mimi mwana mapinduzi mwenye high IQ, soon nataka kuanzisha chama kipya Cha upinzani.Subirini nizae mtoto Genius, mzalendo aje kuikomboa Tanzania.
Kwamba sisi hatuna akili za ku-operate?Usiwe na wasiwasi, hicho ni kianzio tuu!, umuhimu wa DPW na Bandari zetu sio just capital injection, ni technical know how za how to operate more efficiently and more profitably ambapo sisi wenyewe hatuwezi hata kama hizo fedha tunazo.
P
Rostam, JK na MakambaKaka Mshana, Hakuna DP world, ni watu wa humu humu ndani, hawana hela, wametumia mbinu ya Dalalli DP kutupiga.
Umemaliza kabisaKama viongozi wenu matahira mnataeajia nini?
Mnataka kuvuna embe kwenye mikorosho?
Sahihi kabisa ndiyo maana ajira za pale huwa hazitangazwiWakuu wa mashirika wanaandaliwa au kupendekezwa ili yule anaempigia debe achaguliwe, na yeye ale kupitia hapo, ama kwa kupata tenda bila vigezo, kuingiza bidhaa bila kodi, watoto wake waajiriwe, kupata mkopo nk
Hata wakurugenzi wa chini ya DG nao hupewa kwa mantiki hiyo so unakuta mfumo mzima upo kimaslahi.
Watamla nyamaSubirini nizae mtoto Genius, mzalendo aje kuikomboa Tanzania.
ulitaka awekeze kiasi gani ikiwa umempa Gati 3 pekee?Watanzania sijui akili zetu zikoje.
Kwanini hatujui thamani halisi ya rasilimali zetu?
Dpw wameahidi kuwekeza usd 250 mil na kuchukua bandari yetu.
Na fedha hizo sio kama wanawekeza kwa mkupuo, bali ni kwa miaka kadhaa.
Tanzania kama nchi hatushindwi kupata kiasi hicho cha fedha.
Hata kishika uchumba cha Barrick tulichokuwa tunakidharau ni usd 300 mil.
Pia sisi wenyewe tulishafanya uwekezaji mkubwa wa kuboresha bandari ambao ni zaidi ya fedha alizoahidi Dpw.
Kwa habari zaidi fuatilia link hapo chini.
How DP World investment contributes to Tanzania's growing port potential
Dar es Salaam Port manages approximately 95% of the country's international trade, extending its reach to serve seven landlocked countries.venturesafrica.com
Sio hatuna akili, ni hatuna uwezo in terms of ability, capacity and capability Watanzania tujifunze kukubali kuna vitu hatuwezi, tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?Kwamba sisi hatuna akili za ku-operate?
Berths 4 alizochukua hizo ndizo zikiongoza kwa ukusangaji wa mapato pale BandariniSoma vizuri link,hawaekezi bandari yote,bandari ya Dar,ina berth 12,wanawekeza 4 berths,tofautisha na kuwekeza na kuchukuwa.Kwa mfano aliyekodisha frem ya duka,amewekeza kwa mwenye nyumba,sio amechukua frem ni mali yake.Watanzania sio kila kitu tunapinga bila kutumia akili.