Uwekezaji wa UTT liquid Fund faida yake mbona ni tofauti na uhalisia wanaousema

Uwekezaji wa UTT liquid Fund faida yake mbona ni tofauti na uhalisia wanaousema

Si ndio maana huna??

Mishauo mingi kumbe mwenzangu na mimi.
Hawa wanajishau kuwa wanajua kufanya biashara kumbe wako tuu nyumbani na wanajiita wasomi wakati elimu aijawasaidia anawekeza Bakhresa kwenye mutual fund nyie mbumbumbu msio na kitu mnapinga nakujisifia kuwa mnajua biashara kumbe amna lolote
 
Kabsa milion 5 ...kwa mpambanaji ndan ya mwaka nina hata milion 25

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

kijana,akili za kupewa changanya na zako…biashara n zaid ya vile unafkir,ingia uone wachana na hesabu za makaratasi
 
Back
Top Bottom