Uwekezaji wa vyumba vya kupanga, mrejesho wa uwekezaji

Uwekezaji wa vyumba vya kupanga, mrejesho wa uwekezaji

TheCrocodile

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2021
Posts
1,199
Reaction score
3,307
Wakuu mko vizuri?

Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.

Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa.

Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).

Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana.

Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).

Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).

Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili.

Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit.

Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!

Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.

IMG-20250119-WA0047(2).jpg
IMG-20250119-WA0049.jpg
 
Wakuu mko vizuri?

Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.
Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa. Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).
Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana. Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).
Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).
Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili. Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit. Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!

Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.
uwekezaji 76m
Mapato 1,200.000*12=14,400,000 kwa mwaka.
ROI 19% kwa mwaka. Huu ni uwekezaji mzuri.
 
Na mimi nitaleta mrejesho units zangu 10 zikikamilika.
Karibu sana mkuu. Naona hii kitu ni nzuri kama ukiwa na hela zako unataka kuzichimbia, na unataka return ya muda mrefu kidogo kidogo. Demand ni kubwa sana ukipata eneo zuri. Hizi za kwangu ziligombaniwa sana, zilipata watu kabla hata sijaanza finishing, tayari zilikua full.
Najikusanya tena niangushe zingine, naona nanogewa.
 
Wakuu mko vizuri?

Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.
Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa. Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).
Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana. Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).
Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).
Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili. Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit. Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!

Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.
Hii nzuri sana mkuu. Hongera sana. Uwekezaji mzuri huu ila inabidi usiwe na hela za mawazo!
 
Karibu sana mkuu. Naona hii kitu ni nzuri kama ukiwa na hela zako unataka kuzichimbia, na unataka return ya muda mrefu kidogo kidogo. Demand ni kubwa sana ukipata eneo zuri. Hizi za kwangu ziligombaniwa sana, zilipata watu kabla hata sijaanza finishing, tayari zilikua full.
Najikusanya tena niangushe zingine, naona nanogewa.
Tayari niko kwenye game.
 
Karibu sana mkuu. Naona hii kitu ni nzuri kama ukiwa na hela zako unataka kuzichimbia, na unataka return ya muda mrefu kidogo kidogo. Demand ni kubwa sana ukipata eneo zuri. Hizi za kwangu ziligombaniwa sana, zilipata watu kabla hata sijaanza finishing, tayari zilikua full.
Najikusanya tena niangushe zingine, naona nanogewa.
Within 5 yrs, utakuwa umeshasahau. Mtaji wako utakuwa umesharudi
 
Back
Top Bottom