DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Ndio boss dodoma makazi ni gharama kuliko kula😀😀 hapo ungeanzia 200k kwenda juu
300 chumba self + sebule tu mkuu?
Aisee...!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
300 chumba self + sebule tu mkuu?
Aisee...!!!
Iwapo kutakua hamna maintenance kama mpangaji kaondoka inarudi. But hapo kuna operation cost zitakuja baada ya miaka miwili.
Pia bado anajenga ukuta. Akimaliza ataweka geti. Akimaliza wapangaji watataka paving.
So real return unakuja kuipata kuanzia miaka 8-10...
Kama 9.5m hivi kwa kila unit yenye chumba self na sebule.Kwahiyo Kwa makadirio kimoja kimekula Bei gani
Hahahahaha!! Safari ni hatua mkuu!Hongera makutupora wacha niendelee kuuza units zangu za uduvi one day yes
Yeah mkuu, uko sahihi, mahesabu ya kwenye makaratasi na reality on ground yaweza kuwa tofauti. Lakini yote kwa yote, ni uwekezaji mzuri wa long term.Iwapo kutakua hamna maintenance kama mpangaji kaondoka inarudi. But hapo kuna operation cost zitakuja baada ya miaka miwili.
Pia bado anajenga ukuta. Akimaliza ataweka geti. Akimaliza wapangaji watataka paving.
So real return unakuja kuipata kuanzia miaka 8-10...
Hahahahaha!!Hongera fanya sherehe ya uzinduzi Wana JF tuje tuserebuke na kuombea!
Dodoma makazi expensive sana aisee!Kwa Dodoma kama maneno ya Ilazo, Kisasa ungelamba hiyo200k!
Balaa sana Dodoma basi!!Ndio boss dodoma makazi ni gharama kuliko kula😀😀 hapo ungeanzia 200k kwenda juu
Sahihi kabisa!Hakuna shida huu ni uwekezaji long term
Mkuu, vipi utakuwa unalipa kodi TRA?.Karibu mkuu!
Hongera mkuu. Milioni 76 kujenga units 8 ni matumizi mazuri ya pesa naona ulitumia gharama ndogo za ujenzi ni kila unit 9,500,000 ambapo ni chumba, sebule na choo. Very fairWakuu mko vizuri?
Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.
Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa. Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).
Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana. Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).
Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).
Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili. Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit. Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!
Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.
Kodi muhimu mkuu kwa maendeleo ya nchi😂Mkuu, vipi utakuwa unalipa kodi TRA?.
Yes, huu uwekezaji hautakiwi uwe na haraka naoHiyo biashara inalipa ila inahitaji uwe na michongo mingine watu wanashindwa kuwekeza hapo sababu yakutaka faida ya haraka binafsi nipo kwenye utekelezaji wa kuwekeza kwa style hiyo japo inabidi niwe mpole make ni mikoani ila itanilea
Yeah, nilisimamia kwa karibu sana huu ujenzi, bampa to bampa!!Hongera mkuu. Milioni 76 kujenga units 8 ni matumizi mazuri ya pesa naona ulitumia gharama ndogo za ujenzi ni kila unit 9,500,000 ambapo ni chumba, sebule na choo. Very fair
Sawa mkuu umevijenga mwaka ganiKama 9.5m hivi kwa kila unit yenye chumba self na sebule.
Mkuu huo ni uwekezaji mkubwa sana dunia nzima.Kujanga nyumba na kukodisha sio uwekezaji ni biashara kichaa au kuhifadhi pesa yako ns kuichukua kidogo kidogo
Kila mtu na maisha yake na akili yake mzeeKujanga nyumba na kukodisha sio uwekezaji ni biashara kichaa au kuhifadhi pesa yako ns kuichukua kidogo kidogo