Uwekezaji wa vyumba vya kupanga, mrejesho wa uwekezaji

Uwekezaji wa vyumba vya kupanga, mrejesho wa uwekezaji

Kujanga nyumba na kukodisha sio uwekezaji ni biashara kichaa au kuhifadhi pesa yako ns kuichukua kidogo kidogo
Hapana mkuu. Ni uwekezaji wa muda mrefu (long-term investiment). Inalipa sana in the long run. Sema usiwe na haraka navyo.
Cha muhimu kuwa na multiple sources of income mkuu.... Yaani usiwe unategemea kodi za nyumba ndo zikulishe, ndo usomeshe, hapana. Ila unakua na sources kama 4 hivi, mojawapo ikiwa ndo hiyo kodi. Kwa hiyo huu ni uwekezaji mzuri tu wa long term na usio na risk.
 
Hapana mkuu. Ni uwekezaji wa muda mrefu (long-term investiment). Inalipa sana in the long run. Sema usiwe na haraka navyo.
Cha muhimu kuwa na multiple sources of income mkuu.... Yaani usiwe unategemea kodi za nyumba ndo zikulishe, ndo usomeshe, hapana. Ila unakua na sources kama 4 hivi, mojawapo ikiwa ndo hiyo kodi. Kwa hiyo huu ni uwekezaji mzuri tu wa long term na usio na risk.
Hawezi kuelewa huyo hao ndio wale wanaosema kujenga nyumba ya kuishi ni kupoteza pesa Sasa jiulize yeye anaishi porini hao ndio wanajikuata wamezeekea kwenye upangaji na mfukoni hamna hata mia watoto wanaanza kumuita mchawi anawatishia laana
 
Hawezi kuelewa huyo hao ndio wale wanaosema kujenga nyumba ya kuishi ni kupoteza pesa Sasa jiuleze yeye anaishi porini hao ndio wanajikuata wamezekea kwenye upangaji na mfukoni hamna hata mia watoto wanaanza kumuita mchawi anawatishia laana
Kwa kweli😂
Nyumba ni investiment nzuri sana.
 
Hapana mkuu. Ni uwekezaji wa muda mrefu (long-term investiment). Inalipa sana in the long run. Sema usiwe na haraka navyo.
Cha muhimu kuwa na multiple sources of income mkuu.... Yaani usiwe unategemea kodi za nyumba ndo zikulishe, ndo usomeshe, hapana. Ila unakua na sources kama 4 hivi, mojawapo ikiwa ndo hiyo kodi. Kwa hiyo huu ni uwekezaji mzuri tu wa long term na usio na risk.
Nafikiri tuweke tu general mfanyabiashara usitegemee chanzo kimoja cha mapato
 
Real estate business, it real pays hasa kwasisi wenye Ndoa na kazi za kuajiriwa maana hatuna muda mzuri wa kusimamia biashara binafsi

Binafsi naendelea kujifunza juu ya biashara nyumba hotel/airBnB

Nikiona Zinalipa, nitajaribu kufanya Mwaka ujao Mungu akinipa Uhai
 
Back
Top Bottom