Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Hongera sana mkuu hakika umepiga hatua kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana mkuu.Wakuu mko vizuri?
Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.
Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa. Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).
Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana. Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).
Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).
Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili. Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit. Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!
Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.
MKUU UNAONAJE UKAZIGEUZA LODGE NA CHUMBA KWA SIKU ULIPISHE ELF 30. Nawazaga lodge kuliko kupangisha kwa mwezi
Naona hii kitu ni nzuri kama ukiwa na hela zako unataka kuzichimbia, na unataka return ya muda mrefu kidogo kidogo. Demand ni kubwa sana ukipata eneo zuri. Hizi za kwangu ziligombaniwa sana, zilipata watu kabla hata sijaanza finishing, tayari zilikua full.
Najikusanya tena niangushe zingine, naona naSahihi 💯
AiseeKujanga nyumba na kukodisha sio uwekezaji ni biashara kichaa au kuhifadhi pesa yako ns kuichukua kidogo kidogo
Aah sasa nimekumbuka ni wewe, juzi usiku sana nilichangia uzi mmoja wa airBnB nikataka nimtag member anayependa real estate ila sijawahi ona anazungumzia airBnB. Vipi guest yako mkoani inaendeleaje, nilipendekeza uweke free breaksfast.Real estate business, it real pays hasa kwasisi wenye Ndoa na kazi za kuajiriwa maana hatuna muda mzuri wa kusimamia biashara binafsi
Binafsi naendelea kujifunza juu ya biashara nyumba hotel/airBnB
Nikiona Zinalipa, nitajaribu kufanya Mwaka ujao Mungu akinipa Uhai
Huo Uzi sijauona Mkuu, labda niperuzi kwenye jukwaa husikaAah sasa nimekumbuka ni wewe, juzi usiku sana nilichangia uzi mmoja wa airBnB nikataka nimtag member anayependa real estate ila sijawahi ona anazungumzia airBnB. Vipi guest yako mkoani inaendeleaje, nilipendekeza uweke free breaksfast.
Umeielewa vyema sana real estate mkuu!Real estate business, it real pays hasa kwasisi wenye Ndoa na kazi za kuajiriwa maana hatuna muda mzuri wa kusimamia biashara binafsi
Binafsi naendelea kujifunza juu ya biashara nyumba hotel/airBnB
Nikiona Zinalipa, nitajaribu kufanya Mwaka ujao Mungu akinipa Uhai
Huyu jamaa kaisanukia sana sekta ya real estate aisee!Aah sasa nimekumbuka ni wewe, juzi usiku sana nilichangia uzi mmoja wa airBnB nikataka nimtag member anayependa real estate ila sijawahi ona anazungumzia airBnB. Vipi guest yako mkoani inaendeleaje, nilipendekeza uweke free breaksfast.
Kupambana muhimu mkuu, hadi kieleweke!Huo Uzi sijauona Mkuu, labda niperuzi kwenye jukwaa husika
Nashukuru nilifanyia kazi yale maboresho yako, alhamdulillah biashara inaendelea vizuri
Nimeanza Ujenzi wa lodge ya pili
Mungu akipenda miezi 2 ijayo huenda nikaikamilisha
Kila la heri kwenu nyote wapambanaji 👏👏💪
Asante sana mkuu, Mungu ni mwema!Hongera sana mkuu hakika umepiga hatua kubwa
Lodge ni business nzuri, ukipatia eneo mkuu. Ila kwa kiwanja kilipo nilipojenga hizi units, sio sehemu nzuri kwa lodge mkuu, ni maeneo ya makazi ya watu.Mkuu
Sahii ni long term investment. Italipa tu.Yeah mkuu, uko sahihi, mahesabu ya kwenye makaratasi na reality on ground yaweza kuwa tofauti. Lakini yote kwa yote, ni uwekezaji mzuri wa long term.
Ujuaji mwingine ni wakipumbafu sana hivi anajua maana ya uwekezaji kweli huyo?😂😂Hahahaha!! Nimecheka sana
Hakuna kukata tamaa hadi kieleweke Mkuu 💪Kupambana muhimu mkuu, hadi kieleweke!
Naona business ya lodge umeilenga mkuu!
Kwa kweli ni biashara isiyo na Kona Kona nyingi kama zilivyo biashara nyingi za MjiniUmeielewa vyema sana real estate mkuu!
Hahahaha mkuu tutajenga za ghorofaHongera makutupora wacha niendelee kuuza units zangu za uduvi one day yes
Huo Uzi sijauona Mkuu, labda niperuzi kwenye jukwaa husika
Nashukuru nilifanyia kazi yale maboresho yako, alhamdulillah biashara inaendelea vizuri
Nimeanza Ujenzi wa lodge ya pili
Mungu akipenda miezi 2 ijayo huenda nikaikamilisha
Kila la heri kwenu nyote wapambanaji 👏👏💪
Uzi wa muda ila niliona juzi nikachangia hiviNimechelewa ila kama bado hujaifanya airbnb jitahidi weka uzio. Kisha weka pavements, ukoka na maua ndani bila kusahau miti ya matunda na kivuli. Weka tank la maji na emergency generator. Ungeweza zaidi weka na swiming pool. Pia samani za ndani ziwe nzuri na uweke TV kubwa, taa za kisasa nzuri. Si lazima ufanye vyote kwa pamoja ila hakikisha mwisho wa siku vyote nilivyotaja vinakuwepo, baadae Mungu akibariki unaweza jikuta ndio biashara yako hii unakuwa na apartments kadhaa.
After that una uhakika wa kupata wateja wa hela nzuri. Alafu usiseme wazungu tu, ukifanya hivyo wateja wako 90% wanakuwa wabongo wanaofanya retreat nyumbani kwao na wanaotaka faragha. Na hauitangazi airbnb peke yake hata Instagram unakuwa na wateja wengi.
All the best. Ningependa kujua ulijenga kwa gharama gani na ilikuwa mwaka gani.
Mafundi watakuwa walikupiga sana. Kama si hivyo hilo paa limekula pesa nyingiKama 9.5m hivi kwa kila unit yenye chumba self na sebule.
Hapo kwenye hoteli kunalipa sana ukiiuweka mahali sahihi.Real estate business, it real pays hasa kwasisi wenye Ndoa na kazi za kuajiriwa maana hatuna muda mzuri wa kusimamia biashara binafsi
Binafsi naendelea kujifunza juu ya biashara nyumba hotel/airBnB
Nikiona Zinalipa, nitajaribu kufanya Mwaka ujao Mungu akinipa Uhai
Mwanaume kuuza uduvi wa 300 utaolewa... according to...[emoji23][emoji23]Hongera makutupora wacha niendelee kuuza units zangu za uduvi one day yes