Uwekezaji wa vyumba vya kupanga, mrejesho wa uwekezaji

Uwekezaji wa vyumba vya kupanga, mrejesho wa uwekezaji

Next time ukijenga usiweke unit zote kwenye jengo moja kama. Ulivofanya, just spread the risk
Bora uwe na majengo mawili yenye units ne nne
Kibaha yote kwa sasa ina viwanda vingi sana vya wachina na nyumba za kupanga zina uhitaji mkubwa sana,
Angalia vizuri mkuu hizo picha, utagundua kuwa hapo kuna majengo mawili, kila jengo lina units 4, na ndo nilichoeleza kwenye uzi wangu. Itakua picha labda zimekuchanganya, sio kwamba zote 8 ziko kwenye jengo moja! t blj
 
Angalia vizuri mkuu hizo picha, utagundua kuwa hapo kuna majengo mawili, kila jengo lina units 4, na ndo nilichoeleza kwenye uzi wangu. Itakua picha labda zimekuchanganya, sio kwamba zote 8 ziko kwenye jengo moja! t blj
Ok sijaangalia vzr, nilikuwa nakushauri maana nina investment kama hiyo hapo kongowe na niliwahi kufanya kosa hilo hapo mwanzo
Japo nimejikita san kwenye self contained rooms only at half the price of your rent, ana half the costs of your investment
 
Ok sijaangalia vzr, nilikuwa nakushauri maana nina investment kama hiyo hapo kongowe na niliwahi kufanya kosa hilo hapo mwanzo
Japo nimejikita san kwenye self contained rooms only at half the price of your rent, ana half the costs of your investment
Ok, hongera sana mkuu, tutakua ni majirani sana maeneo ya hapo. Hata hizi ziko maeneo ya huko huko. Hizi nimezitenganisha. Hata ukuta nitakavyojenga nitazitenganisha na kuweka ukuta katikati yake, na kutakua na mageti mawili, kila jengo na geti lake! Maeneo ya Kibaha uhitaji wa makazi ya low to middle costs ni mkubwa sana kwa sababu kuna viwanda vingi sana, na hakuna makazi yenye ubora kwa ajili ya wale wafanyakazi, wengi huwa wanahangaika kutafuta makazi mazuri. Hapo ndo nilipoona gap. Hizi nyumba zilijaa booking ya kupangishwa kabla hata hazijaisha!
 
TZS 1,200,000 kwa nwezi, kwa mwaka ni TZS 14,400,000 na hii ni iwapo wapangaji watakuwepo kwa miezi yote 12, hapo ujaweka gharama za ukarabati.

Kama gharama za ujenzi ni 80,000,000 itachukua kama miaka 5 na nusi kurudisha hiyo pesa (gharama za ukarabati hazijawekwa na miaka yote hiyo kuwepo na wapangaji na kodi ibakie 150,000)
 
Ok, hongera sana mkuu, tutakua ni majirani sana maeneo ya hapo. Hata hizi ziko maeneo ya huko huko. Hizi nimezitenganisha. Hata ukuta nitakavyojenga nitazitenganisha na kuweka ukuta katikati yake, na kutakua na mageti mawili, kila jengo na geti lake! Maeneo ya Kibaha uhitaji wa makazi ya low to middle costs ni mkubwa sana kwa sababu kuna viwanda vingi sana, na hakuna makazi yenye ubora kwa ajili ya wale wafanyakazi, wengi huwa wanahangaika kutafuta makazi mazuri. Hapo ndo nilipoona gap. Hizi nyumba zilijaa booking ya kupangishwa kabla hata hazijaisha!
Spot on, kibaha kwa sasa ni hot cake kwa nyumba za kupangisha,
Nilienda huko nikajenga nyumba kwa ajili ya makazi baadaye uwanja ukabaki na kwa kuwa nilikuwa sijapanga kuhamia nikaamua nijenge vyumba vya kuoangisha, asee vilipata order kabla hata sijamaliza, ndo nikanogewa, sijahamia bado ila naamini nikijipanga vzr uzee wangu unaeza usiwe na mushkel mana sekta binafsi tunazurura bila pensio
 
Spot on, kibaha kwa sasa ni hot cake kwa nyumba za kupangisha,
Nilienda huko nikajenga nyumba kwa ajili ya makazi baadaye uwanja ukabaki na kwa kuwa nilikuwa sijapanga kuhamia nikaamua nijenge vyumba vya kuoangisha, asee vilipata order kabla hata sijamaliza, ndo nikanogewa, sijahamia bado ila naamini nikijipanga vzr uzee wangu unaeza usiwe na mushkel mana sekta binafsi tunazurura bila pensio
Kumbeee aisee Aaliyyah naomba hicho kiwanja changu nije ge magheto ya kataa ndoa
 
Back
Top Bottom