Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Hongera sana mkuu umeni inspire sana kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upande wa hotel changamoto kubwa ni Mtaji, mara nyingi hotel inahitaji Mtaji Mkubwa kwenye gharama za Ujenzi na accessories zakeHapo kwenye hoteli kunalipa sana ukiiuweka mahali sahihi.
Naomba uni-tag nikajifunze kituUzi wa muda ila niliona juzi nikachangia hivi
Bora mimi muuza uduvi kuliko chawaMwanaume kuuza uduvi wa 300 utaolewa... according to...[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hahahaha!! Mungu hamtupi mja wake mkuu, cha msingi mapambano yaendelee!Hahahaha mkuu tutajenga za ghorofa
Hii business ya Airbnb inashika kasi sana kwa sasa bongo....! Sema inahitaji eneo strategic ambalo linafikika kirahisiUzi wa muda ila niliona juzi nikachangia hivi
Hakuna aliepiga mkuu, nilisimamia bampa to bampa. Sema hapo kwenye paa ni kweli, paa hizo zimekula sana hela kwa sababu ya hiyo style!Mafundi watakuwa walikupiga sana. Kama si hivyo hilo paa limekula pesa nyingi
Ni kweli, hotel inahitaji tu location sahihi, ukipatia hapo unapiga sana hela.Hapo kwenye hoteli kunalipa sana ukiiuweka mahali sahihi.
Dodoma moja hiyo mkuu?😂😂Kuna maeneo nyumba bei rahisi yaani Kodi 250k kwa mwezi 🤣 halafu kuna watu bado wanalalamika maisha magumu...
Huku kwetu ungepanisha kwa 200k hadi 250k na hakuna angelalamika hata kidogo
😂😂Usiwasikilize machawa hao. Pambana kwa uwezo wako.Mwanaume kuuza uduvi wa 300 utaolewa... according to...[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sahihi kabisa💯Bora mimi muuza uduvi kuliko chawa
huku nilipo,kwa unit moja ungepangisha kwa 250,000..Wakuu mko vizuri?
Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.
Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa. Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).
Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana. Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).
Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).
Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili. Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit. Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!
Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.
Bro nisaidie hii ramani na mie nikajenge units zangu 2 nianze kula kodiWakuu mko vizuri?
Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.
Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa. Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).
Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana. Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).
Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).
Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili. Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit. Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!
Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.
Hongera sana MkuuWakuu mko vizuri?
Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.
Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa. Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).
Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana. Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).
Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).
Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili. Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit. Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!
Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.
Haswaa🤣TheCrocodile hongera sana mkuu kwa hii hatua. Umejipata. Wewe sasa umeingia daraja la Kati la uchumi wa Tanzania.
Vipi ungepiga kodi 200k kwa mwezi usingepata wapangaji?
Next time ukijenga usiweke unit zote kwenye jengo moja kama. Ulivofanya, just spread the riskWakuu mko vizuri?
Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.
Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa. Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).
Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana. Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).
Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).
Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili. Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit. Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!
Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.