Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Ww bila shaka utakuwa ni dalali.TheCrocodile hongera sana mkuu kwa hii hatua. Umejipata. Wewe sasa umeingia daraja la Kati la uchumi wa Tanzania.
Vipi ungepiga kodi 200k kwa mwezi usingepata wapangaji?
Wanaosema ni ndogo, hao ambao wako mazingira ya kati, pia kujaa kabla ya kuisha inategemea wahitaji.Wakati wengine wanasema ni ndogo hiyo nimeweka[emoji38][emoji38]. Na pia zilijaa kabla ya kuisha. Although kwa maeneo ya kule ni kweli hiyo ni matawi ya juu kweli. Kodi za kule nyingi around 80k- 100k.
Hahahha..mkuu kwani kama shughuli inakuingizia kipato halali, shida ipo wapo?Ww bila shaka utakuwa ni dalali.
😂😂 Hizo walengwa ni watu wa daraja la kati na la juu mkuu. Nakuelewa though. Kuna jamaa fulani ni bodaboda waliulizia kipindi zinajengwa, kuambiwa kodi wakasema parefu sana kwao, so hawakuweza.Wanaosema ni ndogo, hao ambao wako mazingira ya kati, pia kujaa kabla ya kuisha inategemea wahitaji.
Kibaha kwa kodi ya 150k ni parefu mnoo, haijalishi upya wa majengo. Aaah wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe hii kazi haikufai, Kwa maana utajikuta unaacha kazi ya msingi na kwenda madirishani "kupiga deo" kuona wateja wanavyopelekeana moto 😜Kwema kabisa. Naomba kazi hapo lodge kwako
Jamaa smart sana wewe 🤣🤣🤣🤣Wewe hii kazi haikufai, Kwa maana utajikuta unaacha kazi ya msingi na kwenda madirishani "kupiga deo" kuona wateja wanavyopelekeana moto 😜
Milioni 243 zako bado hujazijengea tu? Hizi ningenunua kiwanja cha 800sqm Goba kwa 45m. Inayobaki ningeweka 5 units (2-bedroom,open living area with kitchen). Kila mwezi kwa zote ningelaza 3m bila kutumia nguvu.Jamaa smart sana wewe 🤣🤣🤣🤣
Hamna shida kabisa.Hahahha..mkuu kwani kama shughuli inakuingizia kipato halali, shida ipo wapo?
Asante sana sana nitajitahidi sanaZingatia sana kuweka akiba kabla hujatumia hela. Wengi huwa wanaweka akiba baada ya kutumia mshahara wake kwa mfano. Mimi niliweka utaratibu ambao mshahara unapoingia, zaidi ya nusu inakatwa na kupelekwa kwenye fixed account ambayo sina access nayo hata iweje. Save kadri ya uwezo wako, baada ya muda utapata kiasi ambacho unaweza fanya kitu.
Umenipa wazo zuri sana. Nitafutie kiwanja basiMilioni 243 zako bado hujazijengea tu? Hizi ningenunua kiwanja cha 800sqm Goba kwa 45m. Inayobaki ningeweka 5 units (2-bedroom,open living area with kitchen). Kila mwezi kwa zote ningelaza 3m bila kutumia nguvu.
sawa sawa mkuu.Kati ya Lodge na Nyumba za kupangisha, ni Lodge pekee ndiyo inalipa Kwa kibiashara.
Ukiweza pitia Uzi wangu, nilielezea undani wa hizo biashara Kwa kuangalia muda unaotumika katika kurejesha Mtaji utakaotumika katika uwezekezaji.
Nikipata Utulivu nitakutag uusome ule Uzi
sawa sawaLodge faida yake kubwa ni moja cash then service, pia hakuna usumbufu wa kuharibika vitu, kusumbuana kodi
Yeaaah naelewa pia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hizo walengwa ni watu wa daraja la kati na la juu mkuu. Nakuelewa though. Kuna jamaa fulani ni bodaboda waliulizia kipindi zinajengwa, kuambiwa kodi wakasema parefu sana kwao, so hawakuweza.
Hii unit moja inaweza gharimu kiasi ganiMilioni 243 zako bado hujazijengea tu? Hizi ningenunua kiwanja cha 800sqm Goba kwa 45m. Inayobaki ningeweka 5 units (2-bedroom,open living area with kitchen). Kila mwezi kwa zote ningelaza 3m bila kutumia nguvu.
High end finish 40mHii unit moja inaweza gharimu kiasi gani
Afadhali leo nimemjua member wa JF wa kwanza kiuhalisia, nimempangiehia my small wife hapo. Tukikutana sijui itakuwaje maana mwezi mtukufu unaanza! Dah ngoja nikukwepe hadi mwezi uishe.Wakuu mko vizuri?
Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.
Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa.
Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).
Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana.
Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).
Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).
Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili.
Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit.
Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!
Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.
View attachment 3241776View attachment 3241777
Kila la heri Mkuusawa sawa mkuu.
Uzee dawa Mkuu 🤗Jamaa smart sana wewe 🤣🤣🤣🤣