Tetesi: Uwenda ARV za bure kupotea kwenye hospitali za Serikali ikiwa USA haitobadili sera yake WHO

Tetesi: Uwenda ARV za bure kupotea kwenye hospitali za Serikali ikiwa USA haitobadili sera yake WHO

noma sana!!japo hizo nguvu ambazo serikali inatumia kupambana na wpinzani ingetumia kuwekeza kwenye dawa mbadala ya kutibu virusi vya ukimwi!!kuna mzee mganga alikuwa anatibu kwa siku 14!!Alitishwa akateswa akapigwa stop!!Tuna ushahidi wa watu waliopona kwa huyo mzee!!!Maeneo ya nzega kule!!
 
Kuna wengine wametumia hizi dawa na wameamua kuachana nazo na wanadunda tu
Yaani mpaka mwili unajirekebisha wenyewe na kuzoea
Kama Corona watakuwepo na watazoeleka tu
Wacha wakate kila kitu ili tujifunze kujitegemea kwani tumezidi ombaomba
 
Hivi mlishawahi kujiuliza,ni kwa nini wapiga debe wa AIDS wanasema kwamba hayo matatizo yapo kwa wingi sana katika
nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara?
Wewe uliyefanikiwa kujiuliza swali hilo ulijijibuje?
 
Wahenga walisema miamba inapopigana basi nyasi ndio zinaumia. Kama ulikuwa haujuwi basi leo ngoja nikujuze.

Kwa tathimini iliofanyika baada ya Rais wa Marekani kujitoa kwenye WHO macho ya watafiti yamegeukia Africa ambao sisi niwanufaika wakubwa wa mzigo anachangia WHO. USA ana contribute mpaka USD 534m kwa mwaka. Mfano mwaka 2019 USA walichangia USD 419m kwenye fuko la WHO jambo ambalo hakuna taifa linachangia kiasi hiko.

Tanzania nimoja wa wanufaika wa michango anayotoa USA ktk fuko kuu la WHO na moja ya manufaa ni vidonge vya ARV. Tusione vile vidonge vinatengenezwa nakugaiwa bure ila thamani yake ni mpaka tshs 713k kwa kila mgonjwa na kwa tanzania tuna zaid ya wagonjwa 2.15k wakati kila mwaka kuna wastani wa wagonjwa wapya 79.9k.

Serikali zetu zimejiandaaje kutoa dawa bure bila support ya fuko la wakubwa? Hili ni swal ambalo mabunge na Serikali za Dunia ya tatu na marais lazima wakae chini nakutafuta njia mbadala. Las hivyo watu wetu watakufa na maambukiz kuongezeka kwa kiwango cha juu sana.

Hapo kwenye ma k k ndio umeonyesha umpompompo! Ungeweka namba kamili tu nakushauri, unaonekana wa ajabu sana umemix namba hizo! Mathalani unasema kuna jumla ya wagonjwa 2.15k kisha unasema tena wastani wa wagonjwa wapya kwa mwaka ni 79.9k, are you serious? Halafu karabati heading, duniani hakuna neno “uwenda” lipo “huenda”
 
Kwani WHO ndiyo huwa wanagawa hizo ARVs? Kwenye msaada wa HIV Marekani amekua akitoa moja kwa moja kupitia PEPFAR na amesema ataendelea kutoa misaada moja kwa moja kwa nchi husika ila hatashirikiana tena na WHO.
Kwani munahitaji misaada ya MABEBERU??
 
Hapo kwenye ma k k ndio umeonyesha umpompompo! Ungeweka namba kamili tu nakushauri, unaonekana wa ajabu sana umemix namba hizo! Mathalani unasema kuna jumla ya wagonjwa 2.15k kisha unasema tena wastani wa wagonjwa wapya kwa mwaka ni 79.9k, are you serious?
Edit usiwe mvivu kwenye 2.15k ifute "k" weka M ukishindwa kuelewa utastahili kupuuzwa.
 
Wahenga walisema miamba inapopigana basi nyasi ndio zinaumia. Kama ulikuwa haujuwi basi leo ngoja nikujuze.

Kwa tathimini iliofanyika baada ya Rais wa Marekani kujitoa kwenye WHO macho ya watafiti yamegeukia Africa ambao sisi niwanufaika wakubwa wa mzigo anachangia WHO. USA ana contribute mpaka USD 534m kwa mwaka. Mfano mwaka 2019 USA walichangia USD 419m kwenye fuko la WHO jambo ambalo hakuna taifa linachangia kiasi hiko.

Tanzania nimoja wa wanufaika wa michango anayotoa USA ktk fuko kuu la WHO na moja ya manufaa ni vidonge vya ARV. Tusione vile vidonge vinatengenezwa nakugaiwa bure ila thamani yake ni mpaka tshs 713k kwa kila mgonjwa na kwa tanzania tuna zaid ya wagonjwa 2.15k wakati kila mwaka kuna wastani wa wagonjwa wapya 79.9k.

Serikali zetu zimejiandaaje kutoa dawa bure bila support ya fuko la wakubwa? Hili ni swal ambalo mabunge na Serikali za Dunia ya tatu na marais lazima wakae chini nakutafuta njia mbadala. Las hivyo watu wetu watakufa na maambukiz kuongezeka kwa kiwango cha juu sana.
Hatupaswi kuhofu sana maana uwezekano wa Donald Trump kushinda November ni mdogo sana. Na Joe Biden akishinda, ata-overrule hiyo Executive Order immediately maana Democrats wanapatana sana na China kwa sasa.
 
Wahenga walisema miamba inapopigana basi nyasi ndio zinaumia. Kama ulikuwa haujuwi basi leo ngoja nikujuze.

Kwa tathimini iliofanyika baada ya Rais wa Marekani kujitoa kwenye WHO macho ya watafiti yamegeukia Africa ambao sisi niwanufaika wakubwa wa mzigo anachangia WHO. USA ana contribute mpaka USD 534m kwa mwaka. Mfano mwaka 2019 USA walichangia USD 419m kwenye fuko la WHO jambo ambalo hakuna taifa linachangia kiasi hiko.

Tanzania nimoja wa wanufaika wa michango anayotoa USA ktk fuko kuu la WHO na moja ya manufaa ni vidonge vya ARV. Tusione vile vidonge vinatengenezwa nakugaiwa bure ila thamani yake ni mpaka tshs 713k kwa kila mgonjwa na kwa tanzania tuna zaid ya wagonjwa 2.15k wakati kila mwaka kuna wastani wa wagonjwa wapya 79.9k.

Serikali zetu zimejiandaaje kutoa dawa bure bila support ya fuko la wakubwa? Hili ni swal ambalo mabunge na Serikali za Dunia ya tatu na marais lazima wakae chini nakutafuta njia mbadala. Las hivyo watu wetu watakufa na maambukiz kuongezeka kwa kiwango cha juu sana.
Umekosea Takwimu Mkuu ,Tuna wagonjwa takriban 2M.

BEBERU BAYA LAKINI KIATU CHAKE DAWA!!!
 
Kwani WHO ndiyo huwa wanagawa hizo ARVs? Kwenye msaada wa HIV Marekani amekua akitoa moja kwa moja kupitia PEPFAR na amesema ataendelea kutoa misaada moja kwa moja kwa nchi husika ila hatashirikiana tena na WHO.
kwa swali la kwanza soma thread yangu vizuri. Ila kwa hoja yapili itakuwa vyema good news
 
Wahenga walisema miamba inapopigana basi nyasi ndio zinaumia. Kama ulikuwa haujuwi basi leo ngoja nikujuze.

Kwa tathimini iliofanyika baada ya Rais wa Marekani kujitoa kwenye WHO macho ya watafiti yamegeukia Africa ambao sisi niwanufaika wakubwa wa mzigo anachangia WHO. USA ana contribute mpaka USD 534m kwa mwaka. Mfano mwaka 2019 USA walichangia USD 419m kwenye fuko la WHO jambo ambalo hakuna taifa linachangia kiasi hiko.

Tanzania nimoja wa wanufaika wa michango anayotoa USA ktk fuko kuu la WHO na moja ya manufaa ni vidonge vya ARV. Tusione vile vidonge vinatengenezwa nakugaiwa bure ila thamani yake ni mpaka tshs 713k kwa kila mgonjwa na kwa tanzania tuna zaid ya wagonjwa 2.15k wakati kila mwaka kuna wastani wa wagonjwa wapya 79.9k.

Serikali zetu zimejiandaaje kutoa dawa bure bila support ya fuko la wakubwa? Hili ni swal ambalo mabunge na Serikali za Dunia ya tatu na marais lazima wakae chini nakutafuta njia mbadala. Las hivyo watu wetu watakufa na maambukiz kuongezeka kwa kiwango cha juu sana.
Hata zikipotea hao USA ni mabeberu tu khaaa
 
huu ugonjwa nao tunautafutia siku
tunapiga maombi wiki hakuna cha arv wala mipira yote tunatupa kule
 
Hivi kile kiwanda cha akina Madabida kilichodaiwa kutengeneza ARV fake kilikuwa kinamuuzia nani?
 
Kutiana mtiane nyie dawa wawape USA, mtavuna mnachokipanda.
Trump alishafikiria kukata misaada ya RV, inawagharimu kama $6 billion kwa mwaka na lijamaa haoni kwanini wengine wapewe bure wakati US sio hivyo.
Siku alipotajiwa hiyo figure alishtuka akasema "I will look into it" which kwa yy akisemaga hivyo kinachofuata ni balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahenga walisema miamba inapopigana basi nyasi ndio zinaumia. Kama ulikuwa haujuwi basi leo ngoja nikujuze.

Kwa tathimini iliofanyika baada ya Rais wa Marekani kujitoa kwenye WHO macho ya watafiti yamegeukia Africa ambao sisi niwanufaika wakubwa wa mzigo anachangia WHO. USA ana contribute mpaka USD 534m kwa mwaka. Mfano mwaka 2019 USA walichangia USD 419m kwenye fuko la WHO jambo ambalo hakuna taifa linachangia kiasi hiko.

Tanzania nimoja wa wanufaika wa michango anayotoa USA ktk fuko kuu la WHO na moja ya manufaa ni vidonge vya ARV. Tusione vile vidonge vinatengenezwa nakugaiwa bure ila thamani yake ni mpaka tshs 713k kwa kila mgonjwa na kwa tanzania tuna zaid ya wagonjwa 2.15k wakati kila mwaka kuna wastani wa wagonjwa wapya 79.9k.

Serikali zetu zimejiandaaje kutoa dawa bure bila support ya fuko la wakubwa? Hili ni swal ambalo mabunge na Serikali za Dunia ya tatu na marais lazima wakae chini nakutafuta njia mbadala. Las hivyo watu wetu watakufa na maambukiz kuongezeka kwa kiwango cha juu sana.

ACHA UJINGA WAMETENGENEZA UKIMWI WAO HILI WAUZE DAWA NA KUPATA PESA......MASHETANI
 
Back
Top Bottom