- Thread starter
- #41
Unaushahidi?ACHA UJINGA WAMETENGENEZA UKIMWI WAO HILI WAUZE DAWA NA KUPATA PESA......MASHETANI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaushahidi?ACHA UJINGA WAMETENGENEZA UKIMWI WAO HILI WAUZE DAWA NA KUPATA PESA......MASHETANI
Ebu eleza unachokijua ama ulichokifanyia utafiti wewe,Mkuu.
Hizi chuki zenu hazitawapeleka kokote tambua kwamba Mama Tanzania ni mkubwa kuliko yeyote yule...Usilolijua sawa na usiku wa giza.
Tutatengeneza za kwetu kiwanda Keko Pharmacy.Wahenga walisema miamba inapopigana basi nyasi ndio zinaumia. Kama ulikuwa haujuwi basi leo ngoja nikujuze.
Kwa tathimini iliofanyika baada ya Rais wa Marekani kujitoa kwenye WHO macho ya watafiti yamegeukia Africa ambao sisi niwanufaika wakubwa wa mzigo anachangia WHO. USA ana contribute mpaka USD 534m kwa mwaka. Mfano mwaka 2019 USA walichangia USD 419m kwenye fuko la WHO jambo ambalo hakuna taifa linachangia kiasi hiko.
Tanzania nimoja wa wanufaika wa michango anayotoa USA ktk fuko kuu la WHO na moja ya manufaa ni vidonge vya ARV. Tusione vile vidonge vinatengenezwa nakugaiwa bure ila thamani yake ni mpaka tshs 713k kwa kila mgonjwa na kwa tanzania tuna zaid ya wagonjwa 2.15k wakati kila mwaka kuna wastani wa wagonjwa wapya 79.9k.
Serikali zetu zimejiandaaje kutoa dawa bure bila support ya fuko la wakubwa? Hili ni swal ambalo mabunge na Serikali za Dunia ya tatu na marais lazima wakae chini nakutafuta njia mbadala. Las hivyo watu wetu watakufa na maambukiz kuongezeka kwa kiwango cha juu sana.
Nashukuru japo lugha zetu asili zina affect Kiswahili.Shule ni muhimu sana
Uwenda ❌
HU......✔
Unaikumbuka kesi ya madabida ?Tutatengeneza za kwetu kiwanda Keko Pharmacy.
Mabeberu hawana nia njema na sisi, kwanza hizo daewa zichunguzwe kabla ya kutumika hapa nchini
Ukimwi ni virus na corona pia ni virus. Kwani dawa zetu zinazotibu virus vya corona hazitibu virus vya ukimwi? Wataalam fanyeni uchunguzi.Wahenga walisema miamba inapopigana basi nyasi ndio zinaumia. Kama ulikuwa haujuwi basi leo ngoja nikujuze.
Kwa tathimini iliofanyika baada ya Rais wa Marekani kujitoa kwenye WHO macho ya watafiti yamegeukia Africa ambao sisi niwanufaika wakubwa wa mzigo anachangia WHO. USA ana contribute mpaka USD 534m kwa mwaka. Mfano mwaka 2019 USA walichangia USD 419m kwenye fuko la WHO jambo ambalo hakuna taifa linachangia kiasi hiko.
Tanzania nimoja wa wanufaika wa michango anayotoa USA ktk fuko kuu la WHO na moja ya manufaa ni vidonge vya ARV. Tusione vile vidonge vinatengenezwa nakugaiwa bure ila thamani yake ni mpaka tshs 713k kwa kila mgonjwa na kwa tanzania tuna zaid ya wagonjwa 2.15k wakati kila mwaka kuna wastani wa wagonjwa wapya 79.9k.
Serikali zetu zimejiandaaje kutoa dawa bure bila support ya fuko la wakubwa? Hili ni swal ambalo mabunge na Serikali za Dunia ya tatu na marais lazima wakae chini nakutafuta njia mbadala. Las hivyo watu wetu watakufa na maambukiz kuongezeka kwa kiwango cha juu sana.
Wewe kula Kitunguu swaumu, Kitunguu Maji chenye ganda jekundu , Pilipili kichaa, LimaoWahenga walisema miamba inapopigana basi nyasi ndio zinaumia. Kama ulikuwa haujuwi basi leo ngoja nikujuze.
Kwa tathimini iliofanyika baada ya Rais wa Marekani kujitoa kwenye WHO macho ya watafiti yamegeukia Africa ambao sisi niwanufaika wakubwa wa mzigo anachangia WHO. USA ana contribute mpaka USD 534m kwa mwaka. Mfano mwaka 2019 USA walichangia USD 419m kwenye fuko la WHO jambo ambalo hakuna taifa linachangia kiasi hiko.
Tanzania nimoja wa wanufaika wa michango anayotoa USA ktk fuko kuu la WHO na moja ya manufaa ni vidonge vya ARV. Tusione vile vidonge vinatengenezwa nakugaiwa bure ila thamani yake ni mpaka tshs 713k kwa kila mgonjwa na kwa tanzania tuna zaid ya wagonjwa 2.15k wakati kila mwaka kuna wastani wa wagonjwa wapya 79.9k.
Serikali zetu zimejiandaaje kutoa dawa bure bila support ya fuko la wakubwa? Hili ni swal ambalo mabunge na Serikali za Dunia ya tatu na marais lazima wakae chini nakutafuta njia mbadala. Las hivyo watu wetu watakufa na maambukiz kuongezeka kwa kiwango cha juu sana.
Mkuu ARV ni mziki mwingine....itakuwa ni zahma kubwa sana kama hizi dawa zikikoma!!Wewe kula Kitunguu swaumu, Kitunguu Maji chenye ganda jekundu , Pilipili kichaa, Limao
Achomaanisha ulizia combination ya dawa ya ARV utaelewa ninachokisema na ukizingatia ratiba na Kirusi chenyewe kitapotea Afrika. Watachanganyikiwa Watengeneza virusi ili kuwamaliza Waafrika.
Dawa ya kuua virusi ni kuimarisha kinga ili iweze kuviua virusi. Hakuna dawa ya kuua virusi kinachoua virus ni body immune.
Biashara za watu hizo unafikiri wenyewe watakubali uharibu biashara zao?huu ugonjwa nao tunautafutia siku
tunapiga maombi wiki hakuna cha arv wala mipira yote tunatupa kule
Hehehehehe wakijaribu tu kufanya hivyo ndipo watakapojua nguvu walizonazo waafrika wa leo, na ndipo ukimwi utakapoishia hapo hapo.Wahenga walisema miamba inapopigana basi nyasi ndio zinaumia. Kama ulikuwa haujuwi basi leo ngoja nikujuze.
Kwa tathimini iliofanyika baada ya Rais wa Marekani kujitoa kwenye WHO macho ya watafiti yamegeukia Africa ambao sisi niwanufaika wakubwa wa mzigo anachangia WHO. USA ana contribute mpaka USD 534m kwa mwaka. Mfano mwaka 2019 USA walichangia USD 419m kwenye fuko la WHO jambo ambalo hakuna taifa linachangia kiasi hiko.
Tanzania nimoja wa wanufaika wa michango anayotoa USA ktk fuko kuu la WHO na moja ya manufaa ni vidonge vya ARV. Tusione vile vidonge vinatengenezwa nakugaiwa bure ila thamani yake ni mpaka tshs 713k kwa kila mgonjwa na kwa tanzania tuna zaid ya wagonjwa 2.15k wakati kila mwaka kuna wastani wa wagonjwa wapya 79.9k.
Serikali zetu zimejiandaaje kutoa dawa bure bila support ya fuko la wakubwa? Hili ni swal ambalo mabunge na Serikali za Dunia ya tatu na marais lazima wakae chini nakutafuta njia mbadala. Las hivyo watu wetu watakufa na maambukiz kuongezeka kwa kiwango cha juu sana.
Acha Uongo mkuu,hivi uongo unakunufaisha na nini??..tumezika watu kwa ajili ya kuacha kutumia hizo dawa..ushauri wangu kwako acha kupropagate mamboKuna wengine wametumia hizi dawa na wameamua kuachana nazo na wanadunda tu
Yaani mpaka mwili unajirekebisha wenyewe na kuzoea
Kama Corona watakuwepo na watazoeleka tu
Wacha wakate kila kitu ili tujifunze kujitegemea kwani tumezidi ombaomba
Acha Uongo mkuu,hivi uongo unakunufaisha na nini??..tumezika watu kwa ajili ya kuacha kutumia hizo dawa..ushauri wangu kwako acha kupropagate mambo
Mkuu nimekwambia kifo kimetoka ndani kwetu baada ya muathirika kuacha kutumia ARV na kupelekea CD4 kushuka na hatimaye magonjwa nyemelezi ya kaanza kumuandama mwishowe umauti umemfikia..kwahyo si vizuri kuzungumza vitu vya uzushi kwa kusema kuna mama wakizungu ameachana na hizo dawa na anaendelea kudunda kama zamani na wewe umelibeba juu juu na kuja kutuletea uzushi huku...ntakupinga katika hili kwa sababu nina uhakika na ninachokisimamia.....kwani kukuambia muongo ndo nimekujibu kibarazuli,kwani neno uongo kwako ni tusi?Kama umezika baba yako sawa
Huna haki ya kuniita muongo wakati uwezo wa kusoma unao
Namjua mama wa kizungu pia ameachana na dawa hizo na ana watoto wawili mpaka leo anaishi vizuri na alihojiwa pia namjua mtz alieachana nazo
Kabla hujamuita mtu mzima muongo kwanza jiridhishe kwa kusoma au kuuliza
Ungeniuliza kwa ustaarabu ingekupunguzia pumzi yako?
Jifunze kujibu watu kwa heshima kwani ni ukomavu wa akili
Have a very nice day
Mkuu nimekwambia kifo kimetoka ndani kwetu baada ya muathirika kuacha kutumia ARV na kupelekea CD4 kushuka na hatimaye magonjwa nyemelezi ya kaanza kumuandama mwishowe umauti umemfikia..kwahyo si vizuri kuzungumza vitu vya uzushi kwa kusema kuna mama wakizungu ameachana na hizo dawa na anaendelea kudunda kama zamani na wewe umelibeba juu juu na kuja kutuletea uzushi huku...ntakupinga katika hili kwa sababu nina uhakika na ninachokisimamia.....kwani kukuambia muongo ndo nimekujibu kibarazuli,kwani neno uongo kwako ni tusi?
Siku ukipata akili utatambua kuwa hizo ARV ni pigo kwa Africa ndiyo maana zinatolewa bure hivi unadhani nia ya mzungu ni kumuokoa muafrica ? Jiulize. Kuna magonjwa mangapi watu wanaugua na dawa wanauziwa kwanini ARV ziwe Bure? Sasa hivi tumefika kwenye level ya Watu kuzaa Watoto wenye HIV ili ndiyo lengo la mzungu maana ukipata HIV ukiwa na umli wa miaka 30 na kuendelea siyo tatizo kuanza kutumia dawa utafika hata 50 yes huko ila ukianza kutumia ARV ukiwa Mdogo toka kuzaliwa umli wa ukifika 20 kifo hicho ,kizazi cha Africa kinapungua life timeWahenga walisema miamba inapopigana basi nyasi ndio zinaumia. Kama ulikuwa haujuwi basi leo ngoja nikujuze.
Kwa tathimini iliofanyika baada ya Rais wa Marekani kujitoa kwenye WHO macho ya watafiti yamegeukia Africa ambao sisi niwanufaika wakubwa wa mzigo anachangia WHO. USA ana contribute mpaka USD 534m kwa mwaka. Mfano mwaka 2019 USA walichangia USD 419m kwenye fuko la WHO jambo ambalo hakuna taifa linachangia kiasi hiko.
Tanzania nimoja wa wanufaika wa michango anayotoa USA ktk fuko kuu la WHO na moja ya manufaa ni vidonge vya ARV. Tusione vile vidonge vinatengenezwa nakugaiwa bure ila thamani yake ni mpaka tshs 713k kwa kila mgonjwa na kwa tanzania tuna zaid ya wagonjwa 2.15k wakati kila mwaka kuna wastani wa wagonjwa wapya 79.9k.
Serikali zetu zimejiandaaje kutoa dawa bure bila support ya fuko la wakubwa? Hili ni swal ambalo mabunge na Serikali za Dunia ya tatu na marais lazima wakae chini nakutafuta njia mbadala. Las hivyo watu wetu watakufa na maambukiz kuongezeka kwa kiwango cha juu sana.