Tetesi: Uwenda ARV za bure kupotea kwenye hospitali za Serikali ikiwa USA haitobadili sera yake WHO

Tetesi: Uwenda ARV za bure kupotea kwenye hospitali za Serikali ikiwa USA haitobadili sera yake WHO

Kwanza unapopinga kitu au comment yoyote ni vizuri kumjibu au kuuliza inakuwaje na kumuita mtu muongo is a bit harsh na kumkosea mtu sana
Wewe una ushahidi huo na Mimi nina ushahidi pia wa mama mmoja mtz ambae amezitumia kwa mda mrefu na kumletea athari na akaachana nazo kabisa na mpaka sasa anaishi maisha ya kawaida kabisa ingawa anaenda hospitali na kuangalia mara kwa mara CD4 zake
Uwe na siku njema
Sina tabia ya uongo ndio maana limenikera mara nyingine jaribu kujibu bila jazba kwani humu wamo watu wa kila rika na kila aina
Mkuu samahani kwa kukukwaza kutokana na lugha yangu.lakini nilichotaka kukuambia ya kwamba huo ugonjwa ukiacha kutumia dawa na ikiwa ulishawahi kutumia hizo dawa unakwenda na maji...hivyo vidonge vya ARV vinasaidia kusizisha virus vya ukimwi visizaliane kwa wingi na kupelekea hivyo virusi kutokushambulia chembe hai za mwili.ukweli unabaki upo pale huo ugonjwa sio poa na unaua pindi utakapoacha kutumia dawa za kupunguza makali.

Kuhusu kujibu hoja hilo linajulikana kuwa tuna rika tofauti humu jukwaani lakini hayiondoi thana ya kwamba mtu akisema kitu ambacho hakipo kwenye uhalisia asijibiwe kulingana na muktadha wa hiyo hoja uliyowasilishwa,pili hakujibiwa kwa jazba isipokuwa umeweka thana,kwahilo kwako litabaki ni thana..kumthania mtu ni dhambi.
 
Hivi mlishawahi kujiuliza,ni kwa nini wapiga debe wa AIDS wanasema kwamba hayo matatizo yapo kwa wingi sana katika
nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara?
Sababu ni ARV za bure huo ni mtego mgumu kwa kichwa cha muafrica kutambua angarau ARV zingekuwa zinauzwa dozi ya mwezi sh30000
 
Mkuu samahani kwa kukukwaza kutokana na lugha yangu.lakini nilichotaka kukuambia ya kwamba huo ugonjwa ukiacha kutumia dawa na ikiwa ulishawahi kutumia hizo dawa unakwenda na maji...hivyo vidonge vya ARV vinasaidia kusizisha virus vya ukimwi visizaliane kwa wingi na kupelekea hivyo virusi kutokushambulia chembe hai za mwili.ukweli unabaki upo pale huo ugonjwa sio poa na unaua pindi utakapoacha kutumia dawa za kupunguza makali.

I accept your apology
Naelewa na nimekuelewa vizuri sana
Kwani hoja tunapinga kwa hoja
Barikiwa sana
 
I accept your apology
Naelewa na nimekuelewa vizuri sana
Kwani hoja tunapinga kwa hoja
Barikiwa sana
Kongole sana mkuu....tunapojadili jambo hatuna maana ya kuleta ligi zisizo na mantiki isipokuwa kuna mambo yatupasa kuweka sawa.... Najua ienda tumepishana umri hapa jukwaani kikubwa tuendelee kujifunza aina za majadiliano hapa jukwaani..polite/unpolite language can be used on discussion regarding with matters presented on forum..

I sincerely appreciate you, have a nice day
 
Kongole sana mkuu....tunapojadili jambo hatuna maana ya kuleta ligi zisizo na mantiki isipokuwa kuna mambo yatupasa kuweka sawa.... Najua ienda tumepishana umri hapa jukwaani kikubwa tuendelee kujifunza aina za mijadiliano hapa jukwaani..polite/unpolite language can be used on discussion regarding with matters presented on forum..

I sincerely appreciate you, have a nice day

Thanks again
Nafikiri uzee pia unanifanya niwe mpole na kutumia hekima pia [emoji23][emoji23]
Najua umeelewa
 
Wahenga walisema miamba inapopigana basi nyasi ndio zinaumia. Kama ulikuwa haujuwi basi leo ngoja nikujuze.

Kwa tathimini iliofanyika baada ya Rais wa Marekani kujitoa kwenye WHO macho ya watafiti yamegeukia Africa ambao sisi niwanufaika wakubwa wa mzigo anachangia WHO. USA ana contribute mpaka USD 534m kwa mwaka. Mfano mwaka 2019 USA walichangia USD 419m kwenye fuko la WHO jambo ambalo hakuna taifa linachangia kiasi hiko.

Tanzania nimoja wa wanufaika wa michango anayotoa USA ktk fuko kuu la WHO na moja ya manufaa ni vidonge vya ARV. Tusione vile vidonge vinatengenezwa nakugaiwa bure ila thamani yake ni mpaka tshs 713k kwa kila mgonjwa na kwa tanzania tuna zaid ya wagonjwa 2.15k wakati kila mwaka kuna wastani wa wagonjwa wapya 79.9k.

Serikali zetu zimejiandaaje kutoa dawa bure bila support ya fuko la wakubwa? Hili ni swal ambalo mabunge na Serikali za Dunia ya tatu na marais lazima wakae chini nakutafuta njia mbadala. Las hivyo watu wetu watakufa na maambukiz kuongezeka kwa kiwango cha juu sana.
Tuna dawa za asili. Kama corona tumeiweza iweje tushindwe kutapa mbadala wa ARVs.

Sisi ni wazee wa tiba mbadala aka wapiga nyungu.

TBC waanze kutafuta waganga na kufanya nao vipindi kama ilivyokuwa kwenye corona.
 
Wahenga walisema miamba inapopigana basi nyasi ndio zinaumia. Kama ulikuwa haujuwi basi leo ngoja nikujuze.

Kwa tathimini iliofanyika baada ya Rais wa Marekani kujitoa kwenye WHO macho ya watafiti yamegeukia Africa ambao sisi niwanufaika wakubwa wa mzigo anachangia WHO. USA ana contribute mpaka USD 534m kwa mwaka. Mfano mwaka 2019 USA walichangia USD 419m kwenye fuko la WHO jambo ambalo hakuna taifa linachangia kiasi hiko.

Tanzania nimoja wa wanufaika wa michango anayotoa USA ktk fuko kuu la WHO na moja ya manufaa ni vidonge vya ARV. Tusione vile vidonge vinatengenezwa nakugaiwa bure ila thamani yake ni mpaka tshs 713k kwa kila mgonjwa na kwa tanzania tuna zaid ya wagonjwa 2.15k wakati kila mwaka kuna wastani wa wagonjwa wapya 79.9k.

Serikali zetu zimejiandaaje kutoa dawa bure bila support ya fuko la wakubwa? Hili ni swal ambalo mabunge na Serikali za Dunia ya tatu na marais lazima wakae chini nakutafuta njia mbadala. Las hivyo watu wetu watakufa na maambukiz kuongezeka kwa kiwango cha juu sana.
Dawa zinatoka usaid na mashirika mengine
Pia trump amesema ataelekeza pesa kwenye mashirika mengine ya afya
Usisahau lakini china wamesema watalipa wao hiyo pesa aliwanyima wamarekani
 
Mleta mada usitishe watu, misaada ya humanitarian haiwezi kuacha kutolewa. HIV is an infectious disease, ARV zimefanikiwa ku contain ugonjwa usisambae kwa kasi. Wakiacha kupitia bure maambukizi ya kirusi yatafika mpaka Ulaya na Marekani.
pointless
 
Back
Top Bottom