Uwepo wa kitu kimoja sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja

Uwepo wa kitu kimoja sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!
Naomba nijadili na ninyi hili jambo ambalo limetutokea juzi Mimi na rafiki yangu.
Miaka kadhaa iliyopita nimewahi kusimuliwa na jamaa mmoja ambaye scientific calculator yake ikiwa nyumbani kwake na kuna rafiki yake aliitumia kwenye paper chuoni kwa kipindi kimoja.
Yaani the same time iko chuo na nyumbani. Ila sehemu moja baada ya kuisha matumizi yake ika disappear na kubaki sehemu moja tu (nyumbani).
Sasa juzi tukiwa night shift tulihitaji ufunguo wa ofisi fulani, tulienda mahali funguo zinatunzwa Mimi nikauchukua na kumpa rafiki yangu akaenda kufungua akafanya hiyo kazi akatoka na kuufunga mlango. Anasema aliirudisha funguo mahali pake ila Mimi sikumbuki.
Baadaye aliuhitaji tena ule ufunguo ila alipokwenda kwenye kabineti la funguo hakuuona, akaniuliza Mimi nikamjibu kuwa sielewi chochote kwani wewe ndiye ulikuwa na huo ufunguo akasema aliurudisha mbele yangu.
Tukaanza kuutafuta kwa muda mwingi bila mafanikio.
Tukalala, alfajiri tukaanza kuutafuta tena hatukufanikiwa.
Asubuhi tumeshindwa kuondoka mapema kwasababu issue ya funguo, tunamsubiri boss tumuombe za akiba mlango ufunguliwe watu wa day shift waendelee na majukumu.
Mara anakuja mdada mmoja tukamuuliza una funguo za ofisi fulani akajibu ndio huu hapa niliubeba kwa bahati mbaya.
Nikaucheki ndio uleule ambao tunautumia mara zote na ndio uleule ambao ulikuwa kwenye kabineti usiku.
Tulipigwa na mshangao sana.
Vipi hii hali imewahi kukukuta na inaitwaje kitaalamu?
 
Hkuna kitu kama hicho kitu kuji clone magically, hapo ni tatizo la kumbukumbu tu

Ukitaka kujiridhisha kama ofisi yenu ina CCTV camera jaribu kuangalia hizo feeds kama hutamuona huyo mdada akichukua funguo mlipoweka
Ila inawezekana kwa vitu vidogo sana, (quantum scale), hisabati za quantum mechanics zimethibitisha kwamba particle moja inaweza kuwa katika sehemu mbili kwa wakati mmoja.
 
Habari!
Naomba nijadili na ninyi hili jambo ambalo limetutokea juzi Mimi na rafiki yangu.
Miaka kadhaa iliyopita nimewahi kusimuliwa na jamaa mmoja ambaye scientific calculator yake ikiwa nyumbani kwake na kuna rafiki yake aliitumia kwenye paper chuoni kwa kipindi kimoja.
Yaani the same time iko chuo na nyumbani. Ila sehemu moja baada ya kuisha matumizi yake ika disappear na kubaki sehemu moja tu (nyumbani).
Sasa juzi tukiwa night shift tulihitaji ufunguo wa ofisi fulani, tulienda mahali funguo zinatunzwa Mimi nikauchukua na kumpa rafiki yangu akaenda kufungua akafanya hiyo kazi akatoka na kuufunga mlango. Anasema aliirudisha funguo mahali pake ila Mimi sikumbuki.
Baadaye aliuhitaji tena ule ufunguo ila alipokwenda kwenye kabineti la funguo hakuuona, akaniuliza Mimi nikamjibu kuwa sielewi chochote kwani wewe ndiye ulikuwa na huo ufunguo akasema aliurudisha mbele yangu.
Tukaanza kuutafuta kwa muda mwingi bila mafanikio.
Tukalala, alfajiri tukaanza kuutafuta tena hatukufanikiwa.
Asubuhi tumeshindwa kuondoka mapema kwasababu issue ya funguo, tunamsubiri boss tumuombe za akiba mlango ufunguliwe watu wa day shift waendelee na majukumu.
Mara anakuja mdada mmoja tukamuuliza una funguo za ofisi fulani akajibu ndio huu hapa niliubeba kwa bahati mbaya.
Nikaucheki ndio uleule ambao tunautumia mara zote na ndio uleule ambao ulikuwa kwenye kabineti usiku.
Tulipigwa na mshangao sana.
Vipi hii hali imewahi kukukuta na inaitwaje kitaalamu?
Hakuna muujiza hapo, ni memory yako/yao inawacheza shere.
 
Mimi kijijini kwetu alikuepo mzee m1 amefariki kama wiki mbili hivi zilizopita,yeye alikuwa na uwezo wakuishi sehemu mbili tofauti
Mf: unamuona kabisa anaenda msikitini kuswali na wanaopita shambani kwake wanamuona huko shambani akiendelea na shughuli zake,
Na Kuna mzee mwingine alikuwa mlinzi, alikuwa ana uwezo wakulinda sehemu 4 zilizo mbalimbali na kokote uendako unamkuta
Haya mambo yapo
 
Ni kitu kinachowezekana na kwenye sayansi kinaitwa quantum science/physics.

Hata wanasayansi wameshaanza kutengeneza quantum computer pia ambazo zitakuwa na uwezo na speed mara matrilioni ya computer za kawaida.

Yaani kazi ambayo computer ya kawaida itahitaji miaka mia kuweza kufanya hiyo kazi basi quantum computer itahitaji sekunde moja tu kufanya hiyo kazi😁😁😁
images (3).jpeg
 
Mimi kijijini kwetu alikuepo mzee m1 amefariki kama wiki mbili hivi zilizopita,yeye alikuwa na uwezo wakuishi sehemu mbili tofauti
Mf: unamuona kabisa anaenda msikitini kuswali na wanaopita shambani kwake wanamuona huko shambani akiendelea na shughuli zake,
Na Kuna mzee mwingine alikuwa mlinzi, alikuwa ana uwezo wakulinda sehemu 4 zilizo mbalimbali na kokote uendako unamkuta
Haya mambo yapo
Kwahiyo huyo mzee alikuwa akilipwa MISHAHARA 4.
😝😝😝
 
Mimi kijijini kwetu alikuepo mzee m1 amefariki kama wiki mbili hivi zilizopita,yeye alikuwa na uwezo wakuishi sehemu mbili tofauti
Mf: unamuona kabisa anaenda msikitini kuswali na wanaopita shambani kwake wanamuona huko shambani akiendelea na shughuli zake,
Na Kuna mzee mwingine alikuwa mlinzi, alikuwa ana uwezo wakulinda sehemu 4 zilizo mbalimbali na kokote uendako unamkuta
Haya mambo yapo
mi mwenyewe hapa jf naonekana majukwaa nane tofauti kwa wakati mmoja, haya mambo yapo
 
Sure ndugu.
Ningekuwa mwenyewe tu ningesema ni uchovu labda ila tulikuwa wawili
Kwenye saikolojia kuna kitu kinaitwa "emotional judgement". Hata mkiwa watu kumi na tano mnaweza kufikia maamuzi kwa "emotion" ya wakati huo mliyojijengea vichwani mwenu na sio lazima iwe ndio uhalisia.

Mfano, mmoja akipiga miayo wengine waliopo nao "huwaambukizwa" wakapiga miayo. Hizo ni minds zetu zinacheza na emotions of the moment.

Natumai nimeeleweka.
 
mi mwenyewe hapa jf naonekana majukwaa nane tofauti kwa wakati mmoja, haya mambo yapo
Jukwaa la walevi ndilo jukwaa ambalo ukiwa unajihisi wewe ndiye umemwajiri Maxlello awe mkurugenzi wa jf na wew uko busy kupitia majukwaa yote
 
Yan demu wako upo nae geto na wakati huo huo yupo kwangu....dah raha sana
 
Back
Top Bottom