Uwepo wa Panyaroad mkoa wa Morogoro

Daslama wakilia kuhusu panyaroad mnawacheka
Zamu ya mkoani sasa mnalala mapema zaidi ya kuku.

Ikiwa mnatoka kwenye jamii Moja,jamii mnayofahamiana basi mnaweza kutambua wenye hiyo michezo ya ajabu,kaeni,shirikianeni,tafuteni njia Nina hakika mtaweza kutatua lakini Kwa upande wa mamlaka/police si rahisi kugundua kwa haraka zaidi mtajikuta mnabebwa ambao hata sio wahusika ilimradi umekutwa umenyoa kiduku,denge,umevaa suruali kama sindano na shati kama pazia watakuambia wewe ni panyaroad/kibaka ,sehemu nyingine kama kawaida wameweka polisi jamii,sungusungu.

Anzeni nyie mkishirikisha mamlaka husika na kama matukio mengi yanafanyika usiku basi mtapata njia ya kudhibiti na kuwafahamu wahusika wanaofanya matukio kwa muda huo
 
Solution ni Kuanzisha Ulinzi Shirikishi katika Mitaa yetu kila Balozi awe na Sungusungu wake. Wahalifu ni Wanamtaa na Sungusungu ni Wanamtaa
 
Lamobeni matakko yao kisha muwainamishe hao madogo.

Msicheke na nyani watawazoea au wangese.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…