Chimile 255
Member
- Nov 17, 2022
- 17
- 15
JamiiForums tafadhari fuatilieni taarifa za Morogoro Kihonda kumekuwa na vijana nyakati za usiku wanagonga nyumba za watu ukifungua wanaiba na kushambulia watu kwa mapanga.
Inasemekana ni panya road. Mabalozi wa mitaa wametupa taarifa wananchi hatuna amani.
Hali imezidi kuwa Tete hakuna amani wapendwa kumechafuka mpaka sasa wameua mtu mmoja.
Inasemekana ni panya road. Mabalozi wa mitaa wametupa taarifa wananchi hatuna amani.
Hali imezidi kuwa Tete hakuna amani wapendwa kumechafuka mpaka sasa wameua mtu mmoja.