Uwepo wa vijana wa ovyo mitaani ni matokeo ya wazazi wa ovyo

Uwepo wa vijana wa ovyo mitaani ni matokeo ya wazazi wa ovyo

Gaddaf i06

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2022
Posts
1,770
Reaction score
2,841
Kwa ufupi sana

Wazazi wa sasa tujitathimini!

Ukisasa umekuwa mwingi, tumejisahau!

Jukumu la malezi bora kwa watoto wetu tumeweka kando.

Vijana wa kiume wanafanya mambo ya ajabuajabu sana, nafikiri unaelewa nachokizungumza: mabinti wadogo wanafanya ya kustaajabisha!

Tusiwalaumu wala tusiwatukane, tujilaumu sisi wazazi ndivyo vyanzo! Mtoto ukimpa chakula, mavazi na malazi, unaona umemalizaa!

Mtoto anakuwa chini ya uangalizi wa h.girl, wewe baba/mama unawaza kazi na biashara zako huna time na watoto.

Sio wote, lakini wengi hatujali kabisa swala hili la malezi kama mzazi.

Uko tayari kukosoa watoto wa wenzio kuwa hawana adabu, wana viburi, wako hvi na vile wa kwako je?
 
Suala la malezi ni janga lingine la jamii nyingi hapa Tanzania, Wazazi wanawadekeza watoto mpaka wanapofikia umri wa kujitegemea wanakuwa hawajuwi kufanya chochote kwa mikono, yaan mtoto anakuwa kama mlemavu maana hakuna shighuli za mikono aliyofunzwa kwa wazazi, matokeo yake ndiyo biashara za kujiuza mitandaoni zinashamiri sababu hajuwi kazi nyingine tofauti na hiyo.
 
Siku moja nimetembelea ktk familia flani ya kitajiri pale mwanza, mtoto mdogo under 4yrs alitamka neno kali ambalo mpaka sasa nalikumbuka!

Japo hata wazazi wake walisikia, wala hakuna aliemkemea!
 
Mtoto anaanza kuvaa nusu uchi mbele ya baba na mama, je huko mitaani si atavaa uchi mazima?
 
Suala la malezi ni janga lingine la jamii nyingi hapa Tanzania, Wazazi wanawadekeza watoto mpaka wanapofikia umri wa kujitegemea wanakuwa hawajuwi kufanya chochote kwa mikono, yaan mtoto anakuwa kama mlemavu maana hakuna shighuli za mikono aliyofunzwa kwa wazazi, matokeo yake ndiyo biashara za kujiuza mitandaoni zinashamiri sababu hajuwi kazi nyingine tofauti na hiyo.
wazi kabisa!

makahaba pis kali kali wanatoka familia za kitajiri
 
Kwa ufupi sana
Wazazi wa sasa tujitathimini!
Ukisasa umekuwa mwingi, tumejisahau!

Jukumu la malezi bora kwa watoto wetu tumeweka kando...
upo sahihi kabisa mkuu (social learning theory).

Watu wanajifunza kutoka kwa watuwao wa karibu role models, haishangazi baba akiwa mlevi watoto wake kuja kuwa walevi sana. mifano ni mingi.

unakuta kijana wa kiume amevaa kikaputula cha kulalia halafu anatembea mitaani inakera sana
 
Ni ajabu Sana maisha ya kimagharibi pia nayo yachangia.
Juzi Kati mwanangu mmoja alitupia kwenye wasap status video fupi ya dadake wa damu akikata viuno na kuinama ovyoovyo. Isitoshe dadake ameumbika kwelikweli anavyoinama basi nyama zarukaruka mno hasa huko nyuma.
Nkabaki nikijiuliza huyu jamaa picha ya dadake akifanya utopolo ule kaipataje? Au ndo kaitoa wasap?
Sawa lakini ndo nae asiwe na aibu hivi? Nae kaitupia status tuione na pengine hata dadae hakumficha. Sijaelewa lengo Hapa akipostiwa pengine atajisifu. Mdogo angu anipenda.
Tubadilike asee.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
upo sahihi kabisa mkuu (social learning theory)
watu wanajifunza kutoka kwa watuwao wa karibu role models, haishangazi baba akiwa mlevi watoto wake kuja kuwa walevi sana. mifano ni mingi
unakuta kijana wa kiume amevaa kikaputula cha kulalia halafu anatembea mitaani inakera sana
Asante kwa mchango wako wa thamani!
 
Ni ajabu Sana maisha ya kimagharibi pia nayo yachangia.
Juzi Kati mwanangu mmoja alitupia kwenye wasap status video fupi ya dadake wa damu akikata viuno na kuinama ovyoovyo. Isitoshe dadake ameumbika kwelikweli anavyoinama basi nyama zarukaruka mno hasa huko nyuma...
Kwa hali hii tunakoelekea sio kuzuri.

Watoto wako walee kijeshi watakuja kukushukuru baadae

Asante kwa mchango wako
 
Back
Top Bottom